Walimu kwanini mnawadhalilisha watoto?

Hatuwajadili wanafunzi tunajadili walimu wenye hizo Tabia chafu
"Walimu" ni wengi kada ya ualimu ina wema na wabaya. Wanafunzi vile vile. Ukijumuisha kwa maneno kwamba "walimu" ina maana nchi nzima.
Generalization huwa haitumiki kwa namna kama unayoitumia wewe, na kama ni utafiti juu ya hilo umeufanyia wapi na kwa kutumia sample za aina ipi?
Taratibu mkuu.
 
"Walimu" ni wengi kada ya ualimu ina wema na wabaya. Wanafunzi vile vile. Ukijumuisha kwa maneno kwamba "walimu" ina maana nchi nzima.
Generalization huwa haitumiki kwa namna kama unayoitumia wewe, na kama ni utafiti juu ya hilo umeufanyia wapi na kwa kutumia sample za aina ipi?
Taratibu mkuu.
ingekuwa ni kosa moja analitenda mtu mmoja tusingesema hivyo tatizo ni makosa mengi na ni watu tofauti Ndio maana nimetumia wingi ni walimu Sio Mwalimu mmoja

Tulia mkuu
 
Maadili gani haya umefunzwa na wazazi wako ya kutukana watu?,au wewe ni mtoto uliyekulia mitaani??!!!
niliyemtukana nani???

walimu wa hovyo hovyo hawa wavaa kata kei tuwape jina gani zuri?


wapumbavu tu.


mwalimu kutwa kuchapana na wanafunzi, na kunyang'anyana visichana.
 
Walimu alikuwa mwalimu Nyerere na Yesu pekee ...hawa wasiku hizi ni waganga njaa tu.
walimu wenye vichwa vyepesi ni rahisi sana kuwabaini.

yuko na mavijiti mikononi masaa arubaini kutafuta wa kuchapana nae.

shule inakuwa kama vita.

huwa mara nyingine naona ualimu ni upumbaffu tu.

fundisha utoke uende kwako ukalale.


kutwa kupambana na wanafunzi tu hakuna wanalofanya.
 
mimi ni mwalimu ngoja nipite kimya hapa.. maana inaonyesha hamjui mlisemalo
kati ya yote mnayonikera ni kung'ang'ana na wanafunzi.

hivi huwa hamuwezi mkafundisha mkaondoka mpaka mpambanee weeeee...

i wonder why are you so obssesed!!

miaka yangu miwili advance imenifanya niwadharau sana walimu...

wako kama watoto vile, very foolish!
 
"Walimu" ni wengi kada ya ualimu ina wema na wabaya. Wanafunzi vile vile. Ukijumuisha kwa maneno kwamba "walimu" ina maana nchi nzima.
Generalization huwa haitumiki kwa namna kama unayoitumia wewe, na kama ni utafiti juu ya hilo umeufanyia wapi na kwa kutumia sample za aina ipi?
Taratibu mkuu.

ingekuwa ni kosa moja analitenda mtu mmoja tusingesema hivyo tatizo ni makosa mengi na ni watu tofauti Ndio maana nimetumia wingi ni walimu Sio Mwalimu mmoja

Tulia mkuu
Jibu unalolitoa halijitoshelezi.
Walimu wengi wanaanzia wangapi?
Mi ni mwalimu na sina tabia hizo. Siwezi kumwonesha mwanafunzi mwingine maksi za mwenzake.
Unaniweka kundi gani?
Ungetumia "baadhi ya walimu" lakini sio "walimu"
Busara zitakusaidia na kukupa heshima.
 
Jibu unalolitoa halijitoshelezi.
Walimu wengi wanaanzia wangapi?
Mi ni mwalimu na sina tabia hizo. Siwezi kumwonesha mwanafunzi mwingine maksi za mwenzake.
Unaniweka kundi gani?
Ungetumia "baadhi ya walimu" lakini sio "walimu"
Busara zitakusaidia na kukupa heshima.
Siwezi kutumia umoja (Mwalimu) Huku nimeona video Zaidi ya tano lazima niseme wingi (walimu) kwasababu wapo wengi
 
Siwezi kutumia umoja (Mwalimu) Huku nimeona video Zaidi ya tano lazima niseme wingi (walimu) kwasababu wapo wengi
Nasisitiza, "baadhi" badala ya "walimu"
Au ungesema "walimu wengi". Nchi ina walimu wengi wazuri kuliko wabaya. Ukiacha chuki utalikubali hili.
Siungi mkono udhalilishaji na ukiukaji wa maadili, lkn sikubaliani nawe kuwahukumu walimu wote kwa kosa la hao watano uliowaona.
 
Wakiambiwa inaonekana wanaonewa
Kila amtukanaye mwalimu ana mapepo. Hakuna mwalim kilaza ndio maana alisomea kazi hiyo na akafaulu. Pia hakuna mwalm wa sec ambaye alifeli ndio akaenda kusomea ualimu, kuna walimu wana Division I zao wamesomea ualimu leo mnasema ni vilaza hizo ni kauli za kipumbavu......samahani kwa hili cyo tusi.

Ungeniambia kuna baadhi ya walimu hawana maadili mema pengine ni kutokana na malez walivyolelewa kwenye familia zao na jamii inayowazunguka imewafanya wawe hivyo.

Pili lazima ujaribu kutathmin mfumo wa elimu ya sasa na zamani tulivyosoma sis ni tofauti. Zaman kati ya wanafunzi 50 darasani wanafaulu 3 au 1 lakin sasa hivi darasa lina wanafunzi 100 wote wanafaulu kwenda secondary halafu hajui kusoma hata kunakili notes ubaoni ni hawezi. Unadhani hapo kilaza ni mwalimu au mwanafunzi?

Mnaomtusi mwalimu leo mnajitakia matatizo ambayo kamwe kujiondoa kwayo lazima uingie gharama maana Mungu anawaona.

Mwalimu ndiye amebeba hatima nzuri ya maono ya mtoto. Je wanafunzi wanaofaulu leo na kujiunga form 5 na 6 na kufanya viziri hadi Universities hao wamefundishwa na mashetani?

Mungu anawaona. Ipo siku hawa walimu mnaowatusi leo mtakuja kuwakumbuka, mtawatafuta hamtawaona wakati watoto wenu watakuwa kwenye uhitaji wa walimu kama hawa.

Napinga kabisa kwamba walimu ni vilaza bali walimu wameenda shule, wana div 1au2. Nani atakwenda Chuo kikuu ma div 3?

Chungeni sana vinywa vyenu visije vikasababisha mkose mema ya nchi na mbingu pia.
Waalimu ni janga la uadilifu wa watoto nchini, yaani waalimu wengi ni vilaza na malimbukeni...samahani kwa hiyo kauli. Unajua huu mchezo wa kuchukua maksi za chini ndio wasomee ualimu...haiko sawa. Yaani kwenye Whatsap Nina waalimu ambao wanapost vipicha vya watoto yaani anafundisha anamuita Mtoto mmoja anaklmuelekeza ampige picha akiwa anafundisha...au anamuita mwalimu mwenzie ampige picha...au ampige picha akiwa anawachapa watoto...yaani waalimu ni shidaaaa!!!.. Sijui lakini huko tuendako....ila kwasasa waalimu ni vilaza
 
Jibu unalolitoa halijitoshelezi.
Walimu wengi wanaanzia wangapi?
Mi ni mwalimu na sina tabia hizo. Siwezi kumwonesha mwanafunzi mwingine maksi za mwenzake.
Unaniweka kundi gani?
Ungetumia "baadhi ya walimu" lakini sio "walimu"
Busara zitakusaidia na kukupa heshima.
afadhali wewe ni muungwana kuliko wengine wengi ambao ni asilimia kubwa.

shida yangu mimi kwenu ni kuhusu uonevu na upigaji hovyo wa wanafunzi .

mmezidi sana kushughulika na maswala ya hovyo sana.

nilipokuwa advance nilikuwa nashuhudia vituko kweli, walimu wanakimbia kimbia hovyo na mabakora.


hakuna comfortability kabisa ya wanafunzi kusoma.

siku zote nashauri adhabu za viboko zifutwe atleast kuanzia wanafunzi wa kidato cha tatu.

wale wachini nadhani labda ndio wanahitaji kubustiwa kidogo, (kidogo)

hamuwezi kutengeneza maadili kwa watu waliobalehe, mtawafanya wawe sugu na waoga waoga tu mwishowe wanafeli.

kama ni mathematics fundisha mathematics ondoka.


hii tabia ya kurarua wanafunzi na viboko visivyo na idadi ni kati ya vitendo vibaya sana vya kikoloni.
 
Uzuri wa mwalimu ni kwamba anakuwa kama mzazi.
i wonder why you are so Obsessed
Nakutakia maisha mema
unachosahihisha nini hapo!??

kwamba unataka nitumie affirmative badala ya interrogative statement??

no wonder you feed our students with mucus.

hamjui hata mnachofundisha!!
 
Kila amtukanaye mwalimu ana mapepo. Hakuna mwalim kilaza ndio maana alisomea kazi hiyo na akafaulu. Pia hakuna mwalm wa sec ambaye alifeli ndio akaenda kusomea ualimu, kuna walimu wana Division I zao wamesomea ualimu leo mnasema ni vilaza hizo ni kauli za kipumbavu......samahani kwa hili cyo tusi.

Ungeniambia kuna baadhi ya walimu hawana maadili mema pengine ni kutokana na malez walivyolelewa kwenye familia zao na jamii inayowazunguka imewafanya wawe hivyo.

Pili lazima ujaribu kutathmin mfumo wa elimu ya sasa na zamani tulivyosoma sis ni tofauti. Zaman kati ya wanafunzi 50 darasani wanafaulu 3 au 1 lakin sasa hivi darasa lina wanafunzi 100 wote wanafaulu kwenda secondary halafu hajui kusoma hata kunakili notes ubaoni ni hawezi. Unadhani hapo kilaza ni mwalimu au mwanafunzi?

Mnaomtusi mwalimu leo mnajitakia matatizo ambayo kamwe kujiondoa kwayo lazima uingie gharama maana Mungu anawaona.

Mwalimu ndiye amebeba hatima nzuri ya maono ya mtoto. Je wanafunzi wanaofaulu leo na kujiunga form 5 na 6 na kufanya viziri hadi Universities hao wamefundishwa na mashetani?

Mungu anawaona. Ipo siku hawa walimu mnaowatusi leo mtakuja kuwakumbuka, mtawatafuta hamtawaona wakati watoto wenu watakuwa kwenye uhitaji wa walimu kama hawa.

Napinga kabisa kwamba walimu ni vilaza bali walimu wameenda shule, wana div 1au2. Nani atakwenda Chuo kikuu ma div 3?

Chungeni sana vinywa vyenu visije vikasababisha mkose mema ya nchi na mbingu pia.
Mkuu pole sana.
Wanaopenda kutukana walimu wao huenda ni wale waliokuwa wakorofi darasani au wazito kuelewa na wakafeli mitihani. Ili kuhalalisha hali yao, wanawaona walimu wao wabaya.
Hapa wanalipa kisasi(wanawaadhibu walimu wao kisaikolojia)
Mtu aliyekuwa mwanafunzi mwema na anajitambua, hawezi kuwatukana walimu wote. Huwa na mwalimu wa somo fulani au mwalimu fulani tena wa shule alikosoma.
 
unachosahihisha nini hapo!??

kwamba unataka nitumie affirmative badala ya interrogative statement??

no wonder you feed our students with mucus.

hamjui hata mnachofundisha!!
Nasahihisha WORD ORDER(Subj-verb inversion) na SPELLING, nincompoop!
QN: Why are you so obsessed?
Statement: I wonder why you are so obsessed.
Namwonea huruma mwl wako unaedharau wakat u-mzito kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom