Majibu yenu waalimu ni lazima yaendane...sikushangai...We utakuwa una akili fupi kama Kimb.ndo maana umekuja na kijiharufu kichafu huku jf
Majibu yenu waalimu ni lazima yaendane...sikushangai...We utakuwa una akili fupi kama Kimb.ndo maana umekuja na kijiharufu kichafu huku jf
Habarini za weekend wanaJF;
Nimesikitishwa sana na hizi video au post ambazo Mwalimu anapost au anasambaza mitandaoni huku akiwa anafundisha, tena anaonesha jinsi gani mwanafunzi anayemfundisha ambavyo haelewi ambae ni Mtoto mdogo under 10, najiuliza hivi maadili mliofundishwa huko vyuoni yanawaelekeza mfanye hivi.
Je wazazi wa hao watoto wakiwafungulia mashitaka mtasema mnaonewa,
Assume ni mwanao Unaingia mitandaoni unakuta video inaonesha jinsi gani alivyo bashite,
Assume baada ya miaka 30 Uyo Mtoto anakuja kuwa mwanasiasa na video Kama hizi hujui kwa kiasi gani utamdhalilisha?
Ombi kwenu walimu watendeeni watoto wetu Kama mnavyotaka wa kwenu watendewe, Kama mnaona ni sawa rudini vyuoni mkasome hata business administration inatosha![]()
![]()
![]()
video
Video zimegoma ku-upload