STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,246
- Thread starter
- #41
Mkuu umeongea points, Yani wananikera sometimes hata ukiwapa chakula hawaridhiki wanakuja tena, alafu wanaanza kuomba omba hela wateja, yani wananikosesha raha,Ukicheka na Nyani utavuna mabua,wateja watapakimbia hapo mgahawani kwako siku sio nyingi.
Huo usumbufu na uchafu wao utakuwa kero kwa wateja na wahudumu.Hawajaanza kudhuru watu na kupiga mayowe hovyo?watakuletea nuksi mgahawa utakuwa kama kibanda tu.
Fukuza fukuza!Acha kuwachekea wamekuja kukufanyia chuma ulete hao...