Sasa mkuu kwamfano ungekuwa ndio wewe ungewachukulia hatua gani? Manake sometimes nafikiria hata nimuajiri mlinzi kwaajili ya kazi hiyo tu
Wadau bila kupoteza muda naomba tujadiliane kuhusu hili,
Kuna mtu mmoja mwenye matatizo ya akili(kichaa) alikuwa anakuja kwenye restaurant yangu sasa kutokana huruma za kibinadam nikawa namwambia muhudumu ampe tu chakula,
basi kidri siku zinavyozidi kwenda akawa anakuja kilasiku, na ikitokea labda mimi sipo au labda nikimkaushia(asipopewa msosi) huwa anaanza kuwasumbua wateja kwa kuwaomba hela au anakaa kwenye viti muda mrefu sana, kiasi mpaka anaziba siti za wateja wengine,
Hilo sio tatizo, sasa tatizo linakuja skuizi kuna mwingine nae anakuja so wanakuwa wawili, na anafanya action kama anazofanya kichaa mwenzake,
Wakuu sio kwamba sipendi kuwasaidia ila naona sasa watanivurugia mauzo pamoja na kunifukuzia wateja,
hasahasa ukizingatia appearance zao.
Naombeni mnishauri nifanye nini?
Nahisi nikiwafukuza wateja watanichukulia sina utu.
Sometimes unakuta nimekaa na marafiki zangu tunakula alafu ghafla unaona yule kichaa huyoo anaingia anakaa kwenye kiti, basi unakuta roho inaniuma kumfukuza nataka lakini nahisi itajenga bad image kwa marafiki hivyo nabaki kumtazama tu.
Hebu nishaurini wadau manake nisipokuwa makini Resta yangu itafilisika.
Ushauri mzuri, lakini nahisi angewafukuza tu yeye mwenyewe ili mazoea yaondokeTafta mtu Mvuta bangi mpe mchongo mzma akiona wanakuja awatimue we kaa mbali sehem ambayo watu hawakuoni wenzio ndo wanavyofanyaga hivyo
hah hah mkuu unataka kusema huyo wa pili sio kichaaa???Mkuu huyu kichaa wa mwanzo nilikuwa namuona kitambo tangu ndo naanza kuijenga restaurant,
Ila huyu mwingine ni mpya machoni mwangu
ndo zao hizo siku hizi imentoka juzi hiyo Niko sehemu kaomba ela akapewa akaja mara kaja mwingineEndelea tu kuwaita vichaa wakati wenzio washakusoma na wanaendelea kupiga msosi wa bure. Muda si mrefu utakuwa unalisha familia nzima ya 'vichaa'.
ndo zao hizo siku hizi imentoka juzi hiyo Niko sehemu kaomba ela akapewa akaja mara kaja mwingine![]()
![]()
nkamuambia mwenzio katoka sasa hivi hapa