excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,694
- 15,992
Unaambiwa enzi hizo Dar es Salaam kulikuwa na mito mikubwa kabisa pamoja na maziwa(lakes)
Tazama hii ramani ya beberu mjerumani inakupa picha kamili
Kulikuwa na ziwa Tandale😅
Ziwa Mwananyamala😂
Ziwa Magomeni😅
Mto Sinza😅
Dar es Salaaam inahitaji MKOLONI arudi tena kuipanga upya maana yeye ndio anaifahamu vyema (joking)
Tazama hii ramani ya beberu mjerumani inakupa picha kamili
Kulikuwa na ziwa Tandale😅
Ziwa Mwananyamala😂
Ziwa Magomeni😅
Mto Sinza😅
Dar es Salaaam inahitaji MKOLONI arudi tena kuipanga upya maana yeye ndio anaifahamu vyema (joking)