Wabunge wa Upinzani Watoka Bungeni tena, ni baada ya kunyimwa nafasi ya Muongozo

Kumbe lengo lao kuuza sura kupitia TV na siyo kuwawakillisha wapiga kura wao. Haooooooooooo, wamewkwenda zao kula Bata.
 
Lizaboni hivi wwe ni mtu bado ama ni robot? Kama bado wewe mtu, unapata gani ya kukosa taarifa za bunge?

Unafahamu bunge linaumuhimu gani kwa maisha ya Watanzania? Hivi unajua ni shilingi ngapi za watanzania ambazo wangenunulia uji wa ugali, dawa za malaria na hata kulipia gharama za watoto wao washule zinatumika kuendesha shughuli za bunge?

Kwa nini unakubali kupeleka kichwa na ubinadamu wako likizo? Hofu yako nini lakini katika kutetea haki?

Unasikitisha sana Lizaboni.


Kubenea ni mpuuzi kama wapuuzi wengine. Amewaweka akina Mbowe mfukoni
 
Naona pale mwenyekiti wao anawahimiza wasaini fasta wawahi kula bata
 
Wakati wa Bunge Maalum la Katiba,Wajumbe wote wa vyama vya upinzani vya CHADEMA,CUF,NLD na DP walitoka nje ya Bunge na kususia mjadala juu ya Rasimu ya Katiba. Hao waliotoka ndio waliounda UKAWA ingawa DP ilijitoa baadaye.


Wajumbe wa UKAWA walipotoka,mjadala uliendelea. Wajumbe wa CCM waliendelea na hatimaye kuipitisha Katiba Inayopendekezwa. Leo,Wabunge wa upinzani wametoka nje ya Bunge na kususia mjadala juu ya Hotuba ya Rais aliyoitoa mwaka jana.

Mjadala unaendelea Bungeni ukiwahusisha Wabunge wa CCM tu. Wakati ule mipasho na matusi yalíwatoa wapinzani. Leo hii,wapinzani wametoka kwasababu ya ubabe wa kiti cha Spika. Hakika,Bunge Maalum la Katiba limerejea na linaendelea. What goes around,comes around.
 
Tunakoelekea ni Udikteta mtupu. Wateteeni ccm wenzenu tu ila wananchi huku tanawaona upuuzi mnaoufanya. Dr Tulia hujiamini hata kidogo..
Kama ulifuatilia mchakato ule hadi yeye kufika hapo kwenye unaibu utamjua tu ni mtu wa namna gani.
 
Nilitegemea bunge hili litaweka kando maswala ya ushabiki wa ki vyama badala yake sioni zaidi kutegemea mipasho na vurugu kila siku. Speaker anapaswa kuwa strong na kuendesha bunge kwa kanuni otherwise this time tutaona vurugu zaidi
 
Hata wanalofanya sasa ukawa ni kututetea sisi wananchi wao tuone bunge live, viva ukawa viva, mpaka kieleweke. Bora mlivyotoka muwaache wajadili wenyewe kwanza aibu zimewajaa hata kubaki peke yao!
 
Kumbe lengo lao kuuza sura kupitia TV na siyo kuwawakillisha wapiga kura wao. Haooooooooooo, wamewkwenda zao kula Bata.
Kuna wachangiaji humu naona vichwa vyao ni sawa na nazi koroma, UKAWA wanachofanya ni kutetea Watanzania nyie mnawakebehi kwa vile mwisho wenu wa kufikiri ni kwenye pua zenu. Na mnaona kwamba ujinga na upuuzi unaofanywa na wabunge wa Ccm ni sawa. Ila jueni kwamba wabunge wa Ccm ndio wanao kwenda bungeni kuhalalisha posho kwa kusema ndiyooo za kinafiki. Wakija kwenu wanawapigia magoti muwape kura na kuwa ahidi utumishi ulio tukuka. Baada ya kura wao ni chama kwanza nyie baadae. Ukawa wao ni wananchi kwanza chama baadae[
 
Back
Top Bottom