Ulitakaje? Wote ni wawakilishi wetu, ulitaka wapigane? Kuungana ni ukomavu wa kisiasa na hii ni taa nyekundu kwa uongozi kwamba wabunge kwa umoja wao Hata kama wanakaa kimya lakini wanajitambuaBunge linaendelea,wabunge wa upinzani ambao ndio upande wangu wamezidiwa ujanja na CCM kabisa safari hii.yaani nimewadharau sana kwa kutoweza kulijua hili.
Hivi ni lini CCM waliungana na wapinzani pale bungeni katika kuamua jambo kwa pamoja? Eti safari hii wameazimia kwa pamoja hoja ya waitara kwamba Paul Makonda na Dc wa Arumeru waitwe kwenye kamati ya maadili ya bunge kwa kulidharau bunge.
Hivi nyie wabunge wetu hamjaweza kujitafakari kwa kina kwamba ni kwa nini ccm wakubaliane 100% na nyie?
Juzi Mh.Zito Kabwe si alitoa hoja binafsi kwamba bunge lijadili kwa nini wabunge wakamatwe hovyo wakiwa eneo la bunge? Je hao ccm walitoa ushirikiano?
Bunge live hakuna,wapinzani mlipaza sauti sana,je hao ccm walitoa ushirikiano?
Hakuna mikutano ya vyama vya siasa,mmelalamika sana je hao ccm walitoa ushirikiano?
Ni mambo mengi yenye tija kwa taifa huwa mnayapigania sana hadi wakati mwingine mnasusa na kutoka ndani ya bunge,lakini hao wabunge wa CCM hawajawahi kuwapa support. Iweje kwa hili wawe upande wenu?
Tena hili halina hata tija yoyote kitaifa.Hivi hili lina maana kuliko la katiba mpya? Mbona hawakuwasupport?
Yaani mmeshindwa kuelewa kwamba nyie mmefanywa kama daraja hapo? Daah,kweli akili ni nywele kila mmoja ana zake.
Huna lolote,huna hoja ya maana.Bunge linaendelea,wabunge wa upinzani ambao ndio upande wangu wamezidiwa ujanja na CCM kabisa safari hii.yaani nimewadharau sana kwa kutoweza kulijua hili.
Hivi ni lini CCM waliungana na wapinzani pale bungeni katika kuamua jambo kwa pamoja? Eti safari hii wameazimia kwa pamoja hoja ya waitara kwamba Paul Makonda na Dc wa Arumeru waitwe kwenye kamati ya maadili ya bunge kwa kulidharau bunge.
Hivi nyie wabunge wetu hamjaweza kujitafakari kwa kina kwamba ni kwa nini ccm wakubaliane 100% na nyie?
Juzi Mh.Zito Kabwe si alitoa hoja binafsi kwamba bunge lijadili kwa nini wabunge wakamatwe hovyo wakiwa eneo la bunge? Je hao ccm walitoa ushirikiano?
Bunge live hakuna,wapinzani mlipaza sauti sana,je hao ccm walitoa ushirikiano?
Hakuna mikutano ya vyama vya siasa,mmelalamika sana je hao ccm walitoa ushirikiano?
Ni mambo mengi yenye tija kwa taifa huwa mnayapigania sana hadi wakati mwingine mnasusa na kutoka ndani ya bunge,lakini hao wabunge wa CCM hawajawahi kuwapa support. Iweje kwa hili wawe upande wenu?
Tena hili halina hata tija yoyote kitaifa.Hivi hili lina maana kuliko la katiba mpya? Mbona hawakuwasupport?
Yaani mmeshindwa kuelewa kwamba nyie mmefanywa kama daraja hapo? Daah,kweli akili ni nywele kila mmoja ana zake.
Ndege mjanja siku zote unamnasa na tundu bpooovuKuna Wabunge wanataka kuzuia hii vita ya madawa ya kulevya kupitia maazimio ya bunge.
Wapinzani nao bila kujua wamewaunga mkono kwa nguvu zote.
Nimeshangaa kweli eti heshma ya wabunge wanaitafuta kupitia kuwatetea watuhumiwa wa madawa ya kulevya. Kwa nini isiwe wakati wenzao wanakamatwa na kutupwa ndani na hata kunyimwa dhamana.
Nilitegemea wabunge wa upinzani waunge mkono hii vita badala yake wao ndio wanakua mbele kuhujumu harakati za kupunguza viashara haramu ya nadawa.
Hujui ulitendalo, ukibalehe kisiasa utaacha kutuandikia pumbaBunge linaendelea,wabunge wa upinzani ambao ndio upande wangu wamezidiwa ujanja na CCM kabisa safari hii.yaani nimewadharau sana kwa kutoweza kulijua hili.
Hivi ni lini CCM waliungana na wapinzani pale bungeni katika kuamua jambo kwa pamoja? Eti safari hii wameazimia kwa pamoja hoja ya waitara kwamba Paul Makonda na Dc wa Arumeru waitwe kwenye kamati ya maadili ya bunge kwa kulidharau bunge.
Hivi nyie wabunge wetu hamjaweza kujitafakari kwa kina kwamba ni kwa nini ccm wakubaliane 100% na nyie?
Juzi Mh.Zito Kabwe si alitoa hoja binafsi kwamba bunge lijadili kwa nini wabunge wakamatwe hovyo wakiwa eneo la bunge? Je hao ccm walitoa ushirikiano?
Bunge live hakuna,wapinzani mlipaza sauti sana,je hao ccm walitoa ushirikiano?
Hakuna mikutano ya vyama vya siasa,mmelalamika sana je hao ccm walitoa ushirikiano?
Ni mambo mengi yenye tija kwa taifa huwa mnayapigania sana hadi wakati mwingine mnasusa na kutoka ndani ya bunge,lakini hao wabunge wa CCM hawajawahi kuwapa support. Iweje kwa hili wawe upande wenu?
Tena hili halina hata tija yoyote kitaifa.Hivi hili lina maana kuliko la katiba mpya? Mbona hawakuwasupport?
Yaani mmeshindwa kuelewa kwamba nyie mmefanywa kama daraja hapo? Daah,kweli akili ni nywele kila mmoja ana zake.
Tatizo una.mahaba yaliyopitilizaHujui ulitendalo, ukibalehe kisiasa utaacha kutuandikia pumba
Na "aliye-quote"Me not inclusive. Upumbavu wenu, wewe na nani?
kabisa mkuu, mana nakumbuka nilivyokuwa mkereketwa wa chadema halafu leo hii wanafanya madudu haya nashindwa kuelewa kabisa, Dr Slaa ana akili sana na ameona mbali mana ilikuwa ni kujidharirisha....!!!!!Ndio maana ukaambiwa usimuamini binadamu
Utaelewaje wakati umejaa mahabaMbona sijaelewa kitu hapa zaidi yakuona ulivyoandika kimajungu.
Soma mala mbilimbili.hata Dr slaa alipokuwa anaondoka ile ar 1sep,wengi hamkumuelewa.ukiwa na mahaba sana huwezi kuelewa maana unachotaka ni kuona tunawasifia tuSijakuelewa kabisa ulichoandika
Lumumba bk7 katika ubora wako.Sawa mkuu,unaweza kunihisi uwezavyo.Mungu wangu anajua..hata hivo sishangai,Chadema mtu akiwa na mawazo mbadala huwa anaitwa hivo
Si unaona unavyoshabihiana na bk7 wenzako.Wanashangaza
Tunaposema vijana wa Lumumba ni mazezeta tunamaanisha. Umemsikia Sugu? Ndivyo mlivyo.Tunaposema wapinzani ni nyumbu huwa tunamaanisha