Viwanja vya Ndege Vitano Vimekamilika, Miaka Mitatu ya Rais Samia

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,994
961

VIWANJA VYA NDEGE VITANO VIMEKAMILIKA, MIAKA MITATU YA RAIS SAMIA.

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amesema katika kipindi cha miaka mitatu Serikali imefanikiwa kukamilisha viwanja vya Ndege 5 ambavyo ni Kiwanja Cha Ndege cha Geita, Mwanza, Mtwara, Songwe na Songea.

Waziri Bashungwa ameeleza hayo jijini Dodoma tarehe 5 Aprili, 2024 katika hafla ya kuangazia mafanikio ya miaka mitatu ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Sekta ya Ujenzi.

Ameeleza miradi mingine ya Viwanja vya ndege vipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji ikiwemo Kiwanja Cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato, Kiwanja cha Ndege cha Iringa, Kiwanja cha Ndege cha Kigoma (Awamu ya tatu), Kiwanja cha Ndege Moshi, Kiwanja cha Musoma, Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga, Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga na Kiwanja cha Ndege cha Tabora (Awamu ya tatu).VIWANJA VYA NDEGE VITANO VIMEKAMILIKA, MIAKA MITATU YA RAIS SAMIA.

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa amesema katika kipindi cha miaka mitatu Serikali imefanikiwa kukamilisha viwanja vya Ndege 5 ambavyo ni Kiwanja Cha Ndege cha Geita, Mwanza, Mtwara, Songwe na Songea.

Waziri Bashungwa ameeleza hayo jijini Dodoma tarehe 5 Aprili, 2024 katika hafla ya kuangazia mafanikio ya miaka mitatu ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Sekta ya Ujenzi.

Ameeleza miradi mingine ya Viwanja vya ndege vipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji ikiwemo Kiwanja Cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato, Kiwanja cha Ndege cha Iringa, Kiwanja cha Ndege cha Kigoma (Awamu ya tatu), Kiwanja cha Ndege Moshi, Kiwanja cha Musoma, Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga, Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga na Kiwanja cha Ndege cha Tabora (Awamu ya tatu).
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.11.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.11.jpeg
    150.6 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.12.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.12.jpeg
    135.3 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.12(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.12(1).jpeg
    162.4 KB · Views: 8
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.13.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.13.jpeg
    159.7 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.13(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.13(1).jpeg
    154 KB · Views: 6
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.13(2).jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.13(2).jpeg
    186.7 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.14.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.14.jpeg
    163.9 KB · Views: 7
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.15.jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.15.jpeg
    172.9 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.15(1).jpeg
    WhatsApp Image 2024-04-05 at 18.48.15(1).jpeg
    171.2 KB · Views: 6
Ni jambo zuri. Air Tz waanzishe 'low cost airline' kwa idadi hii ya viwanja wanaweza kupata soko kubwa sana la ndani.

Uzuri ndege zinazoweza kufanya hii biashara wanazo.
 
Ni jambo zuri. Air Tz waanzishe 'low cost airline' kwa idadi hii ya viwanja wanaweza kupata soko kubwa sana la ndani.

Uzuri ndege zinazoweza kufanya hii biashara wanazo.
Naunga Mkono hoja yako 🤝
 
Back
Top Bottom