Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,341
- 69,866
Ukahaba mkoani Dar es Salaam na nchi hii kwa ujumla unafanyika kila mahali, sio katika madanguro ya Mwananyamala tu. Ukahaba unafanyika katika Lodges, Hoteli kubwa, maofisini kwa watu, katika magari na hadi nyumbani kwa watu.
Kwanini vita vya ukahaba hapa Dar vimelenga madanguro tu ya aina ya Mwananyamala ambayo yanaonekana ni ya masikini hoehahe wa kipato badala haya maeneo yote kwa ujumla?
Usawa katika kudhibiti ukahaba ulipasawa kujumuisha kutaka nyumba zote za kulala wageni hata hotel kubwa zisiruhusu mwanaume na mwanamke wasio na cheti cha ndoa kulala chumba kimoja, kupiga marufuku wanaume kuhonga katika mapenzi au kutoa pesa kwa wanawake wasio wake wa ndoa baada ya kufanya mapenzi.
Kwanini vita vya ukahaba hapa Dar vimelenga madanguro tu ya aina ya Mwananyamala ambayo yanaonekana ni ya masikini hoehahe wa kipato badala haya maeneo yote kwa ujumla?
Usawa katika kudhibiti ukahaba ulipasawa kujumuisha kutaka nyumba zote za kulala wageni hata hotel kubwa zisiruhusu mwanaume na mwanamke wasio na cheti cha ndoa kulala chumba kimoja, kupiga marufuku wanaume kuhonga katika mapenzi au kutoa pesa kwa wanawake wasio wake wa ndoa baada ya kufanya mapenzi.