Viongozi wa Yanga SC ni muda wenu sasa kutoa ufafanuzi kwa mashabiki kwa nini Pacoume hachezi na wakati alishapona majeraha

We jamaaa sizan kama unajua mpira kweliii nina mashaka sana na uwezo wako katika upande huo.

Sishangai kuona hili nalo unasema Eti viongozi waseme pacome why hachezi damn😁😁😁

Uliwahi kuja na Nyuzi za GAMONDI Ameua maana ya kikosi kipana mara hafanyi Rotation kocha alikuja kujibu haya kisomi sana na hata mi nilion hizo akili ulizo nazo ni za mtaani sana na za mtu anaeendeshwa na mihemuko.

Saiv umekuja na la PACOME je ukija kujua kua PACOME alikua na Injury mbaya ambayo asingepona vizur ingeharibu career yake utasema vipi?

Yanga sio Familia yako ujue kila kitu wala Yanga sio Mkeo kua kila kitu uambiwe kua its like this.

Nyie si ndio mara Aziz Ki na Diarra baada ya CAF mlikua mnashinikiza Viongozi waseme wapo wapi?
Kis ujinga wa kishabiki mmeambiwa wameondoka.

Hizi akili CCM watawale tu.
 
Pacoume ni moja kati ya mchezaji pendwa katika kikosi cha Yanga SC, siyo pendwa kwa kocha bali hata kwa mashabiki kutokana na kipaji chake cha kusakata kabumbu .

Cha kushangaza kumetokea sintofahau kila kukicha msemaji wa yanga Ally kamwe ansema kuwa Pakome yupo tayali na ni mzima wa afya lakini kila yanga wakicheza hata kwenye SUB au benchi jina lake halipo kabisa.

SWALI; je Yanga Sc kuna kitu kipo nyuma ya pazia juu ya Pacoume kinachofanya asicheze??
na kama hakuna mbona kupitia msemaji wa Yanga SC anadanganya mashabiki kuwa kocha ndiyo ana maamuzi ya kumchezesha ila hali yake ipo salama na kocha hamchezeshi??

Viongozi wa Yanga Sc mnapaswa kutolea ufafanuzi juu ya mchezaji Pacome na siyo kuwaeleza mashabiki maneno ya propaganda kama aliiomba dakika 20 kwenye dabi na kocha alimnyima mara Pakome yupo safi kiafya sasa mashabiki wanashindwa kuelewa kwa uzushi wa propaganda huo.
Kenge kwenye ubora wako.

Nenda kwenye YANGA APP utapata taarifa zake
 
Yanga ni moja ya timu inayoongoza Afrika nzima kama siyo duniani kuwa na migogoro ya kimkataba na wachezaji wake, ikishindana kwa karibu na Tabora na Singida BS.

Simba na Azam wangeongeza umafia na njaa ya ubingwa wangechokonoa hadi wakajua hiyo hukumu ya FIFA inasemaje na kujua inaathiri vipi mechi za Yanga ambazo imeshacheza msimu huu achilia mbali hizi anazokosa sasa hivi. Ingelikuwa ni Simba wako kwenye position hii, aisee Yanga wanavyojua propaganda na kushikilia jambo, wangelibeba hili hadi TFF waombe poo
 
Back
Top Bottom