cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 86,997
- 139,710
Haponiiiii!!haya mganga
Haponiiiii!!haya mganga
Lini walisema?Ali Kamwe mara ya mwisho alisema yupo fiti kwaasilimia sabini.ripoti yupo salama kabisa ni jukumu la kocha kumchezesha kwa maelezo ya ally kamwe
NENDA KAMSIKILIZE TENA KWENYE INTERVIEW ZA HIVI KARIBUNILini walisema?Ali Kamwe mara ya mwisho alisema yupo fiti kwaasilimia sabini.
POLE SANA MKUU NA UKIONA HUELEWI NI BORA UKANYA GANZI KABISA KULIKO KULA GANZIKuna nyuzi nyingine JF ni za kusoma na kula ganzi...
Hisia zinapozidi uwezo
KOCHA WENU KAONDOKA HUKOHaponiiiii!!
Nilimsikiliza.......NENDA KAMSIKILIZE TENA KWENYE INTERVIEW ZA HIVI KARIBUNI
Kenge kwenye ubora wako.Pacoume ni moja kati ya mchezaji pendwa katika kikosi cha Yanga SC, siyo pendwa kwa kocha bali hata kwa mashabiki kutokana na kipaji chake cha kusakata kabumbu .
Cha kushangaza kumetokea sintofahau kila kukicha msemaji wa yanga Ally kamwe ansema kuwa Pakome yupo tayali na ni mzima wa afya lakini kila yanga wakicheza hata kwenye SUB au benchi jina lake halipo kabisa.
SWALI; je Yanga Sc kuna kitu kipo nyuma ya pazia juu ya Pacoume kinachofanya asicheze??
na kama hakuna mbona kupitia msemaji wa Yanga SC anadanganya mashabiki kuwa kocha ndiyo ana maamuzi ya kumchezesha ila hali yake ipo salama na kocha hamchezeshi??
Viongozi wa Yanga Sc mnapaswa kutolea ufafanuzi juu ya mchezaji Pacome na siyo kuwaeleza mashabiki maneno ya propaganda kama aliiomba dakika 20 kwenye dabi na kocha alimnyima mara Pakome yupo safi kiafya sasa mashabiki wanashindwa kuelewa kwa uzushi wa propaganda huo.
Wakati huohuo Guede ameanza kuwaka. Kazi mnayo. 😁😁haponii majeruhi huyoo, hiyo ndo bas nitolee mazimaa.
Utasikia ameomba ruhusa akatibiwe kwao, ndo byee byee TZ
hao walitolewa maelezo na tuliwaona wanaigia uwanjani kasoro nkane asiyehitajika na kocha lakini wengine wamecheza ,mbona pakome haonekani habri zake zimekua ni za kuunga unga hakuna taarifa maalumu kumuhusuMbona huulizi Metacha, Nkane, Mauya, Farid what so special kwa Pacome
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Akili za kijinga kabisa.... Kama amepigwa ban Kwanini yanga hajapokonywa point?, adhabu inatokewa kwa mchezaji badala ya timu?.huyo jamaa kapigwa ban ya fifa viongozi wenu hawataki kuweka wazi wana fichaficha
Uliwahi kuona FIFA inaficha mambo?Mbona nasikia anahusika na kesi za Fifa
Karen sasa yupo na D Voice hana habari tena na PacomeKaren Simba atatoa ufafanuzi baadae
nasikia alimpiga caren ile staili ya kusimama huku kaubeba mzigo akaanguka naye akavunja ligaments za pacome ndio majeraha mazimana hayo majeruhi haponii kamwee.
wajitokeze watueleze kwa nini pakome hacheziAkili za kijinga kabisa.... Kama amepigwa ban Kwanini yanga hajapokonywa point?, adhabu inatokewa kwa mchezaji badala ya timu?.
mkuu huyo kaongea na kasikia tu kama wewe unavyosikiaa sikia tu waje hadharani watuambie pakome kwa nini hachezi