sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,609
- 4,716
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.hakuna nguvu ya umma tanzania, kuna nguvu ya umma yakushbikia simba na yanga
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.hakuna nguvu ya umma tanzania, kuna nguvu ya umma yakushbikia simba na yanga
Uoni kuwa ni haramu kutoza asili mia kubwa ya 20% kwa muda mfupi?Kwa biashara ipi?Acha kukopa hakuna wa kukukata hio riba.
Kwani umelazimishwa kukopa?
Sasa hizi ndio comments zinazokufaa kutoa great thinkerUnataka bando lishuke bei ucheki connection ya dadako??!!!
Puuui! Aibu naona mimi.
😂😂😂Kwani si mliambiwa mtapewa unafuu kwenye tozo ya miamala ya fedha lakini watafidia kwingine? Ndio huku kusiko kwa wanyonge.
Acha ujinga we NAPE NAUYEUna kichwa chepesi sana mkuu. Na akili yako itakuwa na usonji. Kati ya bando na mambo ninayopendekeza ni yapi yana uzito? Huoni kuwa katiba na sheria vikibadilishwa malalamiko Mengi yataisha automatically?
Kama huwezi kujenga hoja ondoka JF nenda Facebook kwa wajinga wenzio. Humu kuna watu makini kama sisi tunaotanguliza maslahi ya taifa.
Siyo wewe unayelilia bando lipungue ili uangalie "connection" ya dadako
Samia:Hivi kwanini lawama zinaenda kwa mawaziri tu ila rais Samia hahusishwi hata kwa kushindwa kugusia malalamiko ya wananchi kwa aliyewateuwa?
Uwajibikaji wake huwa unaishia hapo.Samia:
"Kuna vijikelele kelele vya bando. Hili nalo tunalichukua tukalitizame".
Hawataki kumkera bi tozo. Ila bi tozo ni katili na dikteta tena ni kiongozi mbovu kupindukia.Morerators wa JF ni machoko sana
Njoo nikuunge GB 5.5 kwa Shiling elf 6000 Tumia ndani ya wiki mbili.. nipigie 0713606060
Kwani kuna analolijua huyo zaidi ya safari za nje ya nchi!?Uwajibikaji wake huwa unaishia hapo.
Nakupataje ?Njoo nikuunge GB 5.5 kwa Shiling elf 6000 Tumia ndani ya wiki mbili.. nipigie 0713606060
Nakupataje ?