Vifurushi vya data vinapunguzwa lakini gharama inabaki palepale, kwa nini Serikali haidhibiti jambo hili?

Ndomana wanapenda kuona watu wanabakia kujadili mambo ya simba yanga,mondi zch konde kjala
Ep ya mbso nk

Ova
 
Una kichwa chepesi sana mkuu. Na akili yako itakuwa na usonji. Kati ya bando na mambo ninayopendekeza ni yapi yana uzito? Huoni kuwa katiba na sheria vikibadilishwa malalamiko Mengi yataisha automatically?

Kama huwezi kujenga hoja ondoka JF nenda Facebook kwa wajinga wenzio. Humu kuna watu makini kama sisi tunaotanguliza maslahi ya taifa.

Siyo wewe unayelilia bando lipungue ili uangalie "connection" ya dadako
Acha ujinga we NAPE NAUYE
 
Watajuaje habari zenu za Bando wakati wenzenu wanatumia Wireless-Fidelity(WI-FI) kuanzia kwenye Ofisi za Umma hadi Majumbani mwao ambayo ni Unlimited.

Nyinyi ndio mna bando limited pekee
 
OFA OFA OFA ZA LEO BEI CHEE SAWA NA BURE KWA HALOTEL Malipo baada ya kazi,

GB ZA HALOTEL WIKI 2
GB5=5,000
GB6=6,000
GB7=7,000
GB8=8,000
Gb10=10000.

GB ZA HALOTEL MWEZI
Gb10= 10000
GB15=15000
GB20=20,000
GB25=24,000
Gb30=27,000
GB40=35,000
Gb45=38,000
Gb60=49,000
Gb90=70,000
Gb120=95,000
Ni chapu.. Uaminifu ndo siraha yetu, mambo iko huku we una subiri nini usajili sasa laini ya halotel leo usipitwe na uhondo, kabla bei hazijabadika
0618279799
0712776823
 
Back
Top Bottom