ukizungumza mambo ya msingi kwa lugha isiyo na staha, matokeo yake ni kupuuzwa tu. mstaarabu hawezi kubabaika kuamua kufuata au kutokufuata maoni au mtazamo wa aina hii, anakupuuza tu halafu inaisha hivyo hivyoNchi ya one man show.
Haya yalianzia kwa Kikwete, akaja Magu akayapalilia, na sasa Mama ndo imekuwa mwongozo rasmi.
Hakuna anayeheshimi Katiba na Sheria tena. Rais amekuwa ndiye Katiba, Sheria na Utawala Bora.
View attachment 2960403
Tafakari
Chukua hatua...
Je waliopo madarakani wanapoifanyia uhuni Katiba tunapaswa kuwapa maua yao?ukizungumza mambo ya msingi kwa lugha isiyo na staha, matokeo yake ni kupuuzwa tu. mstaarabu hawezi kubabaika kuamua kufuata au kutokufuata maoni au mtazamo wa aina hii, anakupuuza tu halafu inaisha hivyo hivyo
sasa hapo nikufundishe staha na ustaarabu au niignore tu vile vile...Je waliopo madarakani wanapoifanyia uhuni Katiba tunapaswa kuwapa maua yao?
Tuanze kuwapuuza wanaoikosea Katiba na Sheria za nchi.
Mwabukusi alinunuliwa na wapingaji wa mkataba wa Bandari wale akina Karamagi kwa Tsh 400 Millioni.Nchi ya one man show.
Haya yalianzia kwa Kikwete, akaja Magu akayapalilia, na sasa Mama ndo imekuwa mwongozo rasmi.
Hakuna anayeheshimi Katiba na Sheria tena. Rais amekuwa ndiye Katiba, Sheria na Utawala Bora.
View attachment 2960403
Tafakari
Chukua hatua...
Msomi gani anabwabwaja tu huyuNchi ya one man show.
Haya yalianzia kwa Kikwete, akaja Magu akayapalilia, na sasa Mama ndo imekuwa mwongozo rasmi.
Hakuna anayeheshimi Katiba na Sheria tena. Rais amekuwa ndiye Katiba, Sheria na Utawala Bora.
View attachment 2960403
Tafakari
Chukua hatua...
Viroboto mumeguswaMwabukusi alinunuliwa na wapingaji wa mkataba wa Bandari wale akina Karamagi kwa Tsh 400 Millioni.
Bahati mbaya ameshindwa kuzuia mkataba na wapambe wake akina Dr Slaa na Mdude_Nyagali . Sasa anatafuta kuwa relevant tena. Huyo ni mlevi mbwa tu mpuuzeni
Warioba hana katibaNchi ya one man show.
Haya yalianzia kwa Kikwete, akaja Magu akayapalilia, na sasa Mama ndo imekuwa mwongozo rasmi.
Hakuna anayeheshimi Katiba na Sheria tena. Rais amekuwa ndiye Katiba, Sheria na Utawala Bora.
View attachment 2960403
Tafakari
Chukua hatua...
Lugha isiyo na staha ni ipi?.Ata wakipuuza wanakua wamemkomoa nani?.Hizi nafasi zinapitaga.kama unashindwa kufanya mazuri kwa ajili ya nchi yako kwa nafasi uliyobahatika kuhudumu usifikiri unamkomoa mtu,kwasababu wakati wako wakuondoka utafika na utaondoka utasahaulika na maisha yataendelea na nchi itaendelea kuwepo.ukizungumza mambo ya msingi kwa lugha isiyo na staha, matokeo yake ni kupuuzwa tu. mstaarabu hawezi kubabaika kuamua kufuata au kutokufuata maoni au mtazamo wa aina hii, anakupuuza tu halafu inaisha hivyo hivyo
Jibu hoja.Acha kujificha kwenye mambo yasiyotuhusu kwasababu ya ujinga wako.Mwabukusi alinunuliwa na wapingaji wa mkataba wa Bandari wale akina Karamagi kwa Tsh 400 Millioni.
Bahati mbaya ameshindwa kuzuia mkataba na wapambe wake akina Dr Slaa na Mdude_Nyagali . Sasa anatafuta kuwa relevant tena. Huyo ni mlevi mbwa tu mpuuzeni
Na kuota mizizi wakati wa SamiaWakati wa Kikwete ujinga huo haukuwepo ulianza wakati wa Magu.
ukipuuzwa unabaki hivyo hivyo na ghadhabu zako.Lugha isiyo na staha ni ipi?.Ata wakipuuza wanakua wamemkomoa nani?.Hizi nafasi zinapitaga.kama unashindwa kufanya mazuri kwa ajili ya nchi yako kwa nafasi uliyobahatika kuhudumu usifikiri unamkomoa mtu,kwasababu wakati wako wakuondoka utafika na utaondoka utasahaulika na maisha yataendelea na nchi itaendelea kuwepo.
Utawala wa Kikwete haukuwahi kuwa na ujinga huu.Haya yalianzia kwa Kikwete, akaja Magu akayapalilia, na sasa Mama ndo imekuwa mwongozo rasmi.
Kwahiyo unapuuza mambo ya msingi na kuzidi kupuyanga kwakuwa tu mzungumzaji/mshauri katumia lugha isiyo ya staha? Unafikiri atakayeonekana mpuuzi zaidi machoni pa watu wanaojitambua ni nani?ukizungumza mambo ya msingi kwa lugha isiyo na staha, matokeo yake ni kupuuzwa tu. mstaarabu hawezi kubabaika kuamua kufuata au kutokufuata maoni au mtazamo wa aina hii, anakupuuza tu halafu inaisha hivyo hivyo
Huu upumbavu kamuambie huyo mnayemuita mama Kila kukicha nyie wajinga wa ccm. Samia na viroboto wake wanakula Kodi ya wananchi na hawana hata senti Moja wanayotumia kutoka mifukoni mwao. Wakitaka kunyenyekewa wakaendeshe biashara zao, wafanyakazi wao waliowaajiri watawanyenyekea.ukizungumza mambo ya msingi kwa lugha isiyo na staha, matokeo yake ni kupuuzwa tu. mstaarabu hawezi kubabaika kuamua kufuata au kutokufuata maoni au mtazamo wa aina hii, anakupuuza tu halafu inaisha hivyo hivyo