Video: Mange Kimambi anasema uhuru wetu ni muhimu sana kuliko mabilioni anayookoa Magufuli

Mkuu nakuomba uwe unaangalia BBC two!
Nani haangalii!? Tunaona na hawaonyeshi sessions zote live isipokuwa kipindi cha maswali na majibu tu, acha uongo kabisa, na marekani ni CH gani ya bunge live mwanzo mwisho ?
 
Acha ujinga wewe, Mbowe ameleta hotuba uharo bungeni, hebu fuatilia mchango wa Zitto Kabwe linganisha na"wazee wa live" uone nani ana akili. Akili ndogo haiwezi kushindana na akili kubwa, endeleeni kuimba wimbo wa live na mzungushe sana mikono muone kama maendeleo yatakuja.
Ungehusisha akili yako kidogo tu usingethubutu kuandika hayo,kwahiyo bunge kutokua live ndio maendeleo yatakuja!!
 
Ila elf 7 kipindi hiki cha Magufuli ningumu sana kuipata inatakiwa utumike kweli kweli sasa kwa hiki ulichoandika sina hakika kama siku itakuwa imeingia Enzi...ya mkwere muda huu ungekuwa unarukaruka kama Ndama
Na uhakika elimu yako ht form four yako ni ya mashaka sana hlf pia we ni mkimbizi
 
Na uhakika elimu yako ht form four yako ni ya mashaka sana hlf pia we ni mkimbizi
Dalili za MTU alieshindwa hoja ndio kama hizo ulizoandika Keisha habari yako....Ukweli nikwamba ili upate elf,7 kwenye CCM ya MAGUFULI lazima umaanishe sio blah blah mlikuwa mnafanya kwa mkwere!,,,,mi nakushauri jambo la maana ili usife Njaa...shauri yako!
 
Hakuna sababu yeyote ile ya kuonesha bunge live ....wabunge tuwaone live majimboni wakihamasisha wananchi kwenye mambo ya maendeleo na siyo kuwaona kwenye video TU!
 
Kweli watanzania kazi IPO! Enzi za serikali za kiimla zimepitwa na wakati jamani...
 
anataka uhuru wa kutukana na kudhalilisha watu mitandaoni kama anavyofanyaga watu mnaomfuatilia huyo mtukanaji mtakuwa na nyie mnamatatizo ya akili
Duu umeenda mbali sana mkuu try to thing wisely.Kumbuka Fumbo mfumbue mjinga........
 
Huyo mangi kimanga ana akili isiyo na akili kabisa! Anyway imekula kwake; tumuache aisome namba!
Si siku zote mtu anaongea pumba anachoongea kina sense only for those who understand na si kwa faida yake tu it is for all si wanasema zama za uwazi na uwajibikaji jamani
 
Tanzania ya Magufuli na ccm ni kitu kimoja?Kuna remix ya hatari!
Kunyima haki ya sikiliza/kuangalia Bunge kwa vizingizio vya kubana matumizi na kutumia muda wa bunge kufanya shughuli zingine,ni ufinyu wa akili na mbinu duni kuukabili upinzani.
 
T
Acha ujinga wewe, Mbowe ameleta hotuba uharo bungeni, hebu fuatilia mchango wa Zitto Kabwe linganisha na"wazee wa live" uone nani ana akili. Akili ndogo haiwezi kushindana na akili kubwa, endeleeni kuimba wimbo wa live na mzungushe sana mikono muone kama maendeleo yatakuja.
tai ....ra ewew.
 
sasa kama hayupo confortable na hiyo nguo si avae nyingine,.,,, naona inamvuka anajitahidi kuipandisha ....
 
Hata saa mbovu kuna muda inasoma majira ya kweli.

lol!! kweli lakini, ..... " Bunge Live ndio ilifanya CCM kupotea kabisa Dar" ... hawajakurupuka mkuu! madudu ya ESCROW tuliyaona bila ku editiwa anyways ............

ila next time kama anataka kuja public hivi atafute decent cloth ambayo haitamsumbua hii naona inavuka mabegani na kuipandisha kila mara ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom