Ikipika wewe chemsha Ili kuweka mambo sawa mkuu Haina haja ya povu la chuki.Hii sirikali ya mama kwa kupika takwimu haijambo, yale yalee tu ya mwendazake!
Misifa kibao huku unafuu wa maisha mtaani hakuna!.
Wewe taahira kabisa, kaa ufe masikini na chuki zako. Utakufa life kibaya Sana wewe na familia yako. Nakutakia uendelee kuteseka na bahasha lako na vyeti vyako. Sisi sote tumesoma kama wewe, watu wanajiajiri kwenye kilimo, wewe fia chadema yako na CCM yako alafu uone. Watu kama nyinyi ni bora mfe, munachangia u masikini wa nchi yetuImeongeza ajira kiasi gani?
Imepunguza ukosefu wa ajira kiasi gani?
Imeongeza GDP per capita kiasi gani?
Imepunguza deni la nchi kwa kiasi gani?
Imepunguza kiwango cha umaskini kwa kiasi gani?
Imepunguza mfumuko wa bei kwa kiasi gani?
Wewe ni punguani,uchawa ndio nini?Niulize tu: Hivi Jamiiforum inatembelewa na watu wa mataifa jirani wanaotuzunguka?- Kenya, Uganda, Sudan, Rwanda, Burundi Congo, Zambia, Malawi etc. Hivi wanatuonaje waTanzania? uchawa, Tanzania ni tajiri, mgao wa umeme itakuwa historia, Tanzania ya pili kwa mahindi africa, jeshi letu la 6 kwa ubora duniani, mama, mama, mama etc. Na umasikini uko palepale. Aibu!
Muda mwingine tukubaliane na ukweli ukiwa mjini huwez jua kinachoendelea huko mikoani.Hii sirikali ya mama kwa kupika takwimu haijambo, yale yalee tu ya mwendazake!
Misifa kibao huku unafuu wa maisha mtaani hakuna!.
Hapo ndio umeandika nini Sasa?Ukitaka kujua everything is bullshit, ingia kwenye exchange yao wanayosema is a game changer, data za mwisho kuwa posted ni almost 4 years ago, acheni propaganda fanyeni kazi
Hao punguani sio kwamba hawajui ila hawataki kusikia Samia amefaniliwa ndicho kinawatesa so hapa unakisumbua kuelimisha ,Mimi Niko nao humu jf nawafahamu vizuri Huwa naenda nao Kwa Lugha Ile watakayoelewa Kwa lazima.Muda mwingine tukubaliane na ukweli ukiwa mjini huwez jua kinachoendelea huko mikoani.
Mfano tu hata kuangalia kwa upande wa ufuta kwa mikoa ya kusini yule mtu aliyelima mwaka 2023/2024 acre 3 mwaka 2024/2025 kaongeza mara mbili hasa kutokana na uwepo wa bei nzuri sasa kwa mtu wa mjini huwez liona
Haina ubishiMitano tena kwa Mama Samia
Ukute ndo msosi wa waliokuzaaChakula cha wanyama hicho mfano cow, sheep, goat ... nk
Waliokuzaa weweUkute ndo msosi wa waliokuzaa