Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,282
- 1,772
Karibu Kila Mkoa na zingine zimekamilika 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/DGn665ptYKw/?igsh=dnE4dmdsZDRuYTQ=
View: https://www.instagram.com/reel/DGoHqE1O6vp/?igsh=MXZqd3BtYmRheGlneQ==
Juzi tuu hapo alikuwa kuzindua ujenzi wa bwawa kubwa la mkomazi Kwa Ajili ya irrigation 👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DGe5zhGNt6n/?igsh=MXJwM2hieWhnMHN2ZA==
View: https://www.instagram.com/p/DGgdSxeOjZK/?igsh=ZWk4aG9jNWpvNGZj
Mwisho,Kwa taarifa Yako tuu hakuna Rais aloyewahi weka pesa nyingi kwenye Kilimo kama Samia.
Nyie endeleeni na ujinga wenu kwenye vijiwe.
Huo mradi wa mkomazi ndio kwanza ameweka jiwe la msingi, utakamilika lini? Samia anamiaka takribani 3 madarakani kajengalini hiyo miradi 115? Hizi zote kampeni za kisiasa tu hamna kitu hapo. Ni kama tulivyoambiwa tuko uchumi wa kati.