ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 65,091
- 74,656
Nawakumbusha tuu Baadhi ya mambo ambayo Serikali ya Rais Samia imeyafanya kwenye Kilimo Ili Kuzalisha Kwa Wingi na Kwa Tija. Soma zaidi hapa Tanzania Yaipiku Nigeria Kama Mzalishaji namba 2 wa Mahindi Afrika.Maono ya Rais Samia Kufanya 🇹🇿 Ghala La Chakula Afrika Kutimia.
View: https://youtu.be/0A4FNDoizJI?feature=shared
1. Imetoa ruzuku ya mbolea na pembejeo Kwa miaka 3
2. Imeonheza Bajeti ya Kilimo mara dufu
3. Imejenga na inajenga zaidi ya hactares 500k za irrigation
4. Imeajiri maelfu ya Wataalamu wa Kilimo kuanzia Maafisa Ugani Hadi wahandisi.
5. Imeongeza Bajeti ya Utafiti Kwa Wataalamu.
6. Imenunua Vitendea kazi wa Wataalamu wa Kilimo kuanzia magari,pikipiki,vipima udongo,vishwambi nk
7. Imefufua na kuimarisha Tume ya Umwagiliaji
8. Imetafutia masoko ya bidhaa mbalimbali za Kilimo wakulima
9. Inanunua mazao ya wakulima,eg NFRA &CPB ndio soko kuu la mahindi ya Wakulima
10. Imejenga na inaendelea na ujenzi wa maghala ya kuhifadhia mazao Ili walau iwe na uwezo wa kutunza tani mil.3 za nafaka.
11. Imeanzisha mradi wa BBT Kilimo,mifugo,Uvuvi,Madini nk.
12. Inatoa mbolea mbegu za mazao Bure eg Korosho,ngano ,Chikichi nk
13. Ameanzisha mfumo wa Mauzo ya mazao kimtandao Tanzania Merchandile Exchange "TMX" hakuna makanjanja tena au madalali.
14. Ameanzisha mnad wa Chai ndani ya Nchi,hakuna Kupeleka Mombasa
15. Tanzania Kwa Sasa ni namba 2 wa Kuzalisha tumbaku na Korosho Afrika
16. Ameimarisha bei za mazao yote
17. Ameongeza mtaji wa Benki ya Kilimo ,Sasa pesa zipo na wakulima wanakopa.kwa riba nafuu.
18. Amepunguza riba za mikopo kwenye Kilimo kutoka 18% Hadi 9%
19. Ameanzisha programu ya Kusambaza matrekta 10,000 Kwa wakulima "Mechanisation drive"
20. Amerejwsha maonesho ya Kilimo Nanenane Kwa kuyafanya ya Kimataifa na Kujenga Viwanja vya Maonesho vya Kimataifa Dodoma na Mbeya.
Pia soma Miaka 3 ya Rais Samia, Mageuzi ya Kilimo cha Korosho yaleta neema. Uzalishaji waongezeka mara 2, Wakulima wavuna Trilioni 1.1, haijawahi tokea
View: https://youtu.be/tqvtrPSCl0U?feature=shared
My Take
Nawakumbusha tuu Rais Samia ni Game Changer wa Uchumi wa 🇹🇿 na ataendelea kuweka na kuvunja rekodi zake mwenyewe.
Haters mnaitwa kutoa povu ila ndio hivyo Samia ameshindikana.
View: https://www.instagram.com/p/DFo2hQloxmP/?igsh=YzhyYnkzeXI0dDF5
Ile Ndoto ya Rais Samia ya Kufanya Tanzania kuwa Ghala la Chakula Cha kulisha Afrika inaenda kutimia. Waweza soma hapa pia Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji
View: https://www.instagram.com/reel/DFU1P6riddR/?igsh=MTJmd3k0cTcyMDd0NA==
View: https://youtu.be/0A4FNDoizJI?feature=shared
1. Imetoa ruzuku ya mbolea na pembejeo Kwa miaka 3
2. Imeonheza Bajeti ya Kilimo mara dufu
3. Imejenga na inajenga zaidi ya hactares 500k za irrigation
4. Imeajiri maelfu ya Wataalamu wa Kilimo kuanzia Maafisa Ugani Hadi wahandisi.
5. Imeongeza Bajeti ya Utafiti Kwa Wataalamu.
6. Imenunua Vitendea kazi wa Wataalamu wa Kilimo kuanzia magari,pikipiki,vipima udongo,vishwambi nk
7. Imefufua na kuimarisha Tume ya Umwagiliaji
8. Imetafutia masoko ya bidhaa mbalimbali za Kilimo wakulima
9. Inanunua mazao ya wakulima,eg NFRA &CPB ndio soko kuu la mahindi ya Wakulima
10. Imejenga na inaendelea na ujenzi wa maghala ya kuhifadhia mazao Ili walau iwe na uwezo wa kutunza tani mil.3 za nafaka.
11. Imeanzisha mradi wa BBT Kilimo,mifugo,Uvuvi,Madini nk.
12. Inatoa mbolea mbegu za mazao Bure eg Korosho,ngano ,Chikichi nk
13. Ameanzisha mfumo wa Mauzo ya mazao kimtandao Tanzania Merchandile Exchange "TMX" hakuna makanjanja tena au madalali.
14. Ameanzisha mnad wa Chai ndani ya Nchi,hakuna Kupeleka Mombasa
15. Tanzania Kwa Sasa ni namba 2 wa Kuzalisha tumbaku na Korosho Afrika
16. Ameimarisha bei za mazao yote
17. Ameongeza mtaji wa Benki ya Kilimo ,Sasa pesa zipo na wakulima wanakopa.kwa riba nafuu.
18. Amepunguza riba za mikopo kwenye Kilimo kutoka 18% Hadi 9%
19. Ameanzisha programu ya Kusambaza matrekta 10,000 Kwa wakulima "Mechanisation drive"
20. Amerejwsha maonesho ya Kilimo Nanenane Kwa kuyafanya ya Kimataifa na Kujenga Viwanja vya Maonesho vya Kimataifa Dodoma na Mbeya.
Pia soma Miaka 3 ya Rais Samia, Mageuzi ya Kilimo cha Korosho yaleta neema. Uzalishaji waongezeka mara 2, Wakulima wavuna Trilioni 1.1, haijawahi tokea
View: https://youtu.be/tqvtrPSCl0U?feature=shared
My Take
Nawakumbusha tuu Rais Samia ni Game Changer wa Uchumi wa 🇹🇿 na ataendelea kuweka na kuvunja rekodi zake mwenyewe.
Haters mnaitwa kutoa povu ila ndio hivyo Samia ameshindikana.
View: https://www.instagram.com/p/DFo2hQloxmP/?igsh=YzhyYnkzeXI0dDF5
Ile Ndoto ya Rais Samia ya Kufanya Tanzania kuwa Ghala la Chakula Cha kulisha Afrika inaenda kutimia. Waweza soma hapa pia Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji
View: https://www.instagram.com/reel/DFU1P6riddR/?igsh=MTJmd3k0cTcyMDd0NA==