JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,454
- 9,757
Angalia hii Picha afu nambie iwapo mwamba angekuwa hai Dodoma pangekuwa pamefikia hatua gani?
Ujenzi huu ulitakiwa Kuanzia mara baada tu ya Ujenzi w msikiti wa BAKWATA pale Kinondoni. Mfadhiri alishaahidi kutoa pesa.. mfalume wa Morocco.
Ushauri wangu kwa Ikulu; Fuatilieni hii ahadi.
Ujenzi huu ulitakiwa Kuanzia mara baada tu ya Ujenzi w msikiti wa BAKWATA pale Kinondoni. Mfadhiri alishaahidi kutoa pesa.. mfalume wa Morocco.
Ushauri wangu kwa Ikulu; Fuatilieni hii ahadi.