Utumbuaji wafanyakazi 10000 kumzamisha Magufuli 2020

Nayo hii inatoka kwa great thinker au?? Bas toa hzo kura 20000 za mume na mke waliopita kwenye panga hilo... Halaf tuzitoe pale kwenye milion nane tuangalie atabaki na ngapi...

Tatizo mnadhan anawakomoa watanzania,au labda yy hajui kua kuna uchaguz mwez 2020,,nakuhakikishia atapata kura nying kuliko mwanzo na mtalalamika tena hatumtambui na tumeibiwa kura.. ...

Ili suruali au gauni likamilike lazima kitambaa kikatwe katwe vipande ..
Umefikilia kwa akili ndogo sana, umezidisha mara mbili kweli, una akili kichwani mwako?
 
Back
Top Bottom