TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
Kama mwananchi unayohaki ya kujadili utekelezaji Wa serikali yako kwa maana ya kile inachokifanya kama ni kizuri au kibaya, tena unbalance na siyo kubaki kuponda tu ndipo unaonekana mwenye akili timamu siyo kutaka kujadili.mambo.ambayo kimsingi kuna mamlaka ambazo zinahusika kushughulika nayo kwa niaba yako kama mwananchi. Au haujui unachokisema hapa mbunge wako, diwani wako wrote wanakijua? Nenda kwa hao wakueleweshe badala ya kutuletea u-_kil.aza wako humuUnakuwa mjinga sasa,katiba imetoa room kwa wananchi kujadili mustakabali wa taifa lao mahali popote!Iwe mitandaoni,kwenye radio,TV au mikutano yote sawa!
Mpango wa serikali hupelekwa bungeni,ndio maana nasema hakuna dira ya kutufikisha huko!Kuwa kama mwenye elimu,usitie akili zako mfukoni