Usiamini mitandao: Private Jet ile ilikuwa ya mchongo!

Anaongelewa Lugumi kama sijakosea
Sawa, shukurani. Nilitoka kapa kabisa, kwani si ni huyu huyu tajiri[Lugumi] ambaye ana collection kubwa ya magari na hivi karibuni ametajwa kujenga ghorofa kwa ajili ya watoto wa mitaani? Ila Bongo kila mtu anadai kuwa na 'Exclusives' za mastaa😂😂
 
Sawa, shukurani. Nilitoka kapa kabisa, kwani si ni huyu huyu tajiri[Lugumi] ambaye ana collection kubwa ya magari na hivi karibuni ametajwa kujenga ghorofa kwa ajili ya watoto wa mitaani? Ila Bongo kila mtu anadai kuwa na 'Exclusives' za mastaa😂😂
Ndio huyo huyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom