Pre GE2025 Upuuzi mkubwa: Inakuwaje Rais asiyekubalika anashinda uchaguzi mwaka mmoja kabla ya uchaguzi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,315
5,058
Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia hakubaliki kwa 80%.

Kundi lake linalosemekana liko Msoga Bagamoyo ni mafisadi.

Anatoa pesa nyingi ili kuwasaidia wanannzchi zinaliwa na mafisadi. Anashindwa kudhibiti ufidadi sababu amezungunkwa na wapigaji..

Inakuaje? Kwa upuuzi na upumbavu. Rais anayekumbatia mafisadi tunaambiwa tayari ameshinda uchaguzi 2025?
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia hakubaliki kwa 80%.

Kundi lake linalosemekana liko Msoga Bagamoyo ni mafisadi.

Anatoa pesa nyingi ili kuwasaidia wanannzchi zinaliwa na mafisadi. Anashindwa kudhibiti ufidadi sababu amezungungwa na wapigaji..

Inakuaje? Kwa upuuzi na upumbavu. Rais anayekumbatia mafisadi tunaambiwa tayari ameshinda uchaguzi 2025?
Si mwenyewe alisema mkimpigia kura au msipompigia ana uhakika wa kushinda, au ?
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia hakubaliki kwa 80%.

Kundi lake linalosemekana liko Msoga Bagamoyo ni mafisadi.

Anatoa pesa nyingi ili kuwasaidia wanannzchi zinaliwa na mafisadi. Anashindwa kudhibiti ufidadi sababu amezungungwa na wapigaji..

Inakuaje? Kwa upuuzi na upumbavu. Rais anayekumbatia mafisadi tunaambiwa tayari ameshinda uchaguzi 2025?
Wamekunyima bk7 yako?
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia hakubaliki kwa 80%.

Kundi lake linalosemekana liko Msoga Bagamoyo ni mafisadi.

Anatoa pesa nyingi ili kuwasaidia wanannzchi zinaliwa na mafisadi. Anashindwa kudhibiti ufidadi sababu amezungungwa na wapigaji..

Inakuaje? Kwa upuuzi na upumbavu. Rais anayekumbatia mafisadi tunaambiwa tayari ameshinda uchaguzi 2025?
Hiyo asilimia themanini (80%) umeipata wapi mkuu?
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia hakubaliki kwa 80%.

Kundi lake linalosemekana liko Msoga Bagamoyo ni mafisadi.

Anatoa pesa nyingi ili kuwasaidia wanannzchi zinaliwa na mafisadi. Anashindwa kudhibiti ufidadi sababu amezungungwa na wapigaji..

Inakuaje? Kwa upuuzi na upumbavu. Rais anayekumbatia mafisadi tunaambiwa tayari ameshinda uchaguzi 2025?
Ha haa haa,nadhani hizo asilimia ni chache,zilipaswa kuwa 99.9 ,ni ukweli usiopingika kuwa mama hakamatiki,miundombinu,huduma za afya,maji kila kitongoji,nani kama mama,bado mimi mfanyakazi madaraja yanapanda kwa wakati,ndani ya miaka mitatu nimepanda madraja mawili chini ya Mama samia,nimetumika toka mkapa,kikwete na Magufuli haya mambo sikuwahi kuyaona.

Pongezi kwa Mama
 
Hakuna mkuu wa nchi anayefanya ziara nje ya nchi yake akakaa zaidi ya wiki. Ni kujishushia heshima, kwanza baada ya kukutana na mwenyeji wako unakutana na nani hizo siku zilizobaki?
 
Ha haa haa,nadhani hizo asilimia ni chache,zilipaswa kuwa 99.9 ,ni ukweli usiopingika kuwa mama hakamatiki,miundombinu,huduma za afya,maji kila kitongoji,nani kama mama,bado mimi mfanyakazi madaraja yanapanda kwa wakati,ndani ya miaka mitatu nimepanda madraja mawili chini ya Mama samia,nimetumika toka mkapa,kikwete na Magufuli haya mambo sikuwahi kuyaona.

Pongezi kwa Mama
Pongezi kwa mama ni katika awamu yake nyumba nyingi zaidi ya 700 zomevunjwa hapa Kibaha tu kiwanja namba 34 Mitamba na kuwaacha watu wakilala nje,hakuna fidia wala nini.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mkuu wa nchi anayefanya ziara nje ya nchi yake akakaa zaidi ya wiki. Ni kujishushia heshima, kwanza baada ya kukutana na mwenyeji wako unakutana na nani hizo siku zilizobaki?
Sasa si anazidisha na siku zakula bata na akina Lulu.
 
Safari hii wananchi tumeamka na tupo tayari kuukataa ujinga wowote kwa maneno na matendo.
Yeyote atakayejaribu kuhujumu uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, atanyonyolewa mpaka nywele zake za uvunguni.
Rai yangu ni kwamba, wasijaribu tena kuleta ujinga.
 
Ki ukweli kabisa, huyu mtu hakubaliki hata kidogo. Hata watoto wadogo hamkubali huyu mtu.
 
Watanzania waache maswala ya huruma sasa, mtu akizingua beba jiwe au chochote kilicho karibu mpige, hapo 2025 atoke hata kwa mawe.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Rais Samia hakubaliki kwa 80%.

Kundi lake linalosemekana liko Msoga Bagamoyo ni mafisadi.

Anatoa pesa nyingi ili kuwasaidia wanannzchi zinaliwa na mafisadi. Anashindwa kudhibiti ufidadi sababu amezungunkwa na wapigaji..

Inakuaje? Kwa upuuzi na upumbavu. Rais anayekumbatia mafisadi tunaambiwa tayari ameshinda uchaguzi 2025?
Crap
 
Back
Top Bottom