Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Mimi ningemchagua Vkeisy2006 kama ni female
Hahahahaha
Wela wela welaaaaaaaaaaaaa
Aibu yangu aibu yao
NN mwanzisha mada I wish uliweka conditions mojawapo ikiwa mtu akishatajwa (picked) asitajwe tena. Naona ishakuwa fujo sasa kila mtu sasa anamtaka Preta Preta noma hii hapa sio Manzese wakuu. Ila the good thing ni kwamba I was the first to pick Preta so mliofuata wote imekula kwenu tafuteni wengine, of course bado yeye Preta mwenyewe ndio mwamuzi wa mwisho.
Kama vile sijaelewa swali ..ngoja nipate b/fast kwanza ?Mtoa mada Kama nikitaja kina dada wenzangu sawa si sawa?.................................
Double Diff au DA SOPHY plz
Masaki.... should i take that as an insult? manake mie siwezi kuwa alternative bwana :becky:Nyamayao, who else? Akiwa busy nitatoka na Noname!
Double Diff au DA SOPHY plz
Masaki.... should i take that as an insult? manake mie siwezi kuwa alternative bwana :becky:
Nguli mbona wewe unaogopa kumsema unaetaka kutoka nae.....
Umeona Senksi niliyokugongea? Naamini umeelewa maana yake.nigependa kutoka na X pin,he is really funny,he will be drunk but i will have good time...sorry dada charity kama nimekukwaza...
teh teh teh.......:hug:
Shem NN u made my day yaani nimecheka mpaka basi ngoja niende lunch.
wa kwetu mi nimeamua kuwa sista mpaka nitakapoamua vinginevyo.........
Naona umepanga kuachwa na mapadri. Twende kazi...................
Ngabu mbona wewe unaogopa kumsema unaetaka kutoka nae.....