Love is gambling, not with money but with your heart. You can always get money back, but you might not get your heart back.
Unaandika kama umeukalia ukuni?mbna hlo dogo makubwa yapo...hakika wasichana ni hatar xana i hate them very much
Na hii avarta yako ni very interesting........
Ni sawa hata alivyokupiga chini na kutafuta mwanaume wa ukweli, kwani mwanaume wa ukweli huwa halii hovyo kama wewe bali hutatua matatizo, kulikuwa hakuna haja ya kuleta jambo la kijinga kama hilo hapa huyo demu alishakusoma akaona kwamba hapo hamna kitu!
fanya kazi tafuta hela, pata hela utapata demu, mgongeee akikukinaisha mtose, chukua mwingine hivyo hivyo cycle inaendelea, usimpende yeyote yule zaidi ya watoto wako na nafsi yako...hutakaa ujue kitu kinaitwa sijui maumivu ya mapenziHabar zenu wanajf, leo nilikuwa nacht na rafiki yangu mmoja aliyeko nje ya nchi,katka maongz yetu akaniambia kuwa kapata mchumba Tz nikamwambia akanitajia jina nikalifananisha na la mpenzi wangu, ndipo nilipomwambia anitumie picha ili nimjue shemeji yangu rahaaulah kanitumia picha ya mpenz niliyekuwa nampenda sna na kuamin kuw niko pekee yangu, Ikabidi nimdadisi jinsi alivyopata namba yake yy akiwa nje ya nchi, akaniambia kuwa kuna group moja la wasap ndo alipopat namba yake na kuanza kumtemea sumu kali. Kijana mwenzenu hapa nahisi moyo kuchomoka kwa maumivu niliyonayo japo rafk yangu huyo sijamueleza chochot kuhusiana na mpenz wangu huyo. Ushaur tafadhari nifanyeje?
mbna hlo dogo makubwa yapo...hakika wasichana ni hatar xana i hate them very much
Ninachowakumbusha vijana kuwa wakae chini na kijitafakali....kwani hayo wanayolimbukia leo sio mageni hapa duniani ,watu walishayafanya na kuona hayana faida.....kwani dunia imeshachafuka.....maradhi ni mengi.....na starehe za muda mfupi zisikufanye uyaangamize maisha yako.....
KULA 5We bado unapendana na watoto wa kike??.....Hawa ni kitumia na kuwaacha tu
With care, ama mpime kabla ya kumla au KONDOM MBELEKama bado hujamuoa mfanye tu mchepuko!Hamna haja ya kuachana nae wewe ukiwa na hamu piga!
Kama bado hujamuoa mfanye tu mchepuko!Hamna haja ya kuachana nae wewe ukiwa na hamu piga!
Magonjwa tutatibu mkuu!HIV huko Sydney wamegundua dawa ehehehVp,unasahau kuwa kuna Magonjwa mkuu.
Magonjwa tutatibu mkuu!HIV huko Sydney wamegundua dawa eheheh