Uhusiano kati ya vazi la bikini (thong) na tabia ya mtu

Bikin kwa mwanamke, ni sawa na kofia kwa mwanaume. Changanua mwenyewe
 
hahaha tunaitaga "e-ngishida" ki local zaidi
 
Mbona ww umejitoa?
 
At least umewafundisha kabisa,maana watu wengi hawajui nini maana ya bikini,hawajui THONG na G STRING ni kitu kimoja,bikini ni vazi la kuogelea tu tena polyester.
 
hahahahahhahaha mbavu zangu mie.

if I may ask hii thread imeichumbua wapi tena?
 
mimi sivaagi kabisa bhana. nimekuelewa ulikuwa unaelezea nini.

mimi hewa muhimu bhana ndo mpango mzima
inaonekana huko mtaani kwenu hakuna wanaume aisei yaana wanakubali hewa iingie badala wao ndo waingie imeniuma sana*
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…