Uhusiano kati ya vazi la bikini (thong) na tabia ya mtu

Bikin kwa mwanamke, ni sawa na kofia kwa mwanaume. Changanua mwenyewe
 
Unajua tunatofautiana malezi mwenzako mimi nimezoea kuona mwanamke akivaa chupi,underskirt, shumizi,kishida mpaka ufanikiwe kuona japo mstari wa tako umefanya la ziada na mwanamke huona aibu ,ila hawa wa bikini wakiinama tu ni shida shanga zilee na macho kodo ,wewe unafikiria mimi nitamchukuliaje kama sio shankupe

Hii haiwahusu wale dady can i borrow your car ?
hahaha tunaitaga "e-ngishida" ki local zaidi
 
Jaman mbona hawa viumbe wanachambuliwa sana??? mimi nahis watu huvaa bikin kutokana na vazi analovaa, kwa mfano ka anataka kutoka na suruali akivaa bikin sio mbaya. Na hizi tabia za kuchimbua vitu mpaka vya ndani namna hii mmeanza lini?

Haina uhusiano wowote na tabia ya mtu ila kupenda tu kwa mtu mwenyewe.
Mbona ww umejitoa?
 
Hivi ni nini maana halisi ya BIKINI??? Naona kila mara hili neno linatumika sivyo sielewi ni kwa nini watu wanachanganya kati ya "Bikini" na "G-string". Navyofahamu mimi bikini ni nguo ya kuogelea ya mwanamke (swim suit) inayovaliwa beach. ambayo ni chupi+bra=bikini. Na hiyo chupi is not necessarily iwe na kikamba kama g- string. Inaweza kuwa ya kawaida lakini ili mradi iwe ya mpira not cotton.
Kwa mjadala unavyoendelea naona hapa kinachozungumziwa ni G-string not bikini.
Nawasilisha
At least umewafundisha kabisa,maana watu wengi hawajui nini maana ya bikini,hawajui THONG na G STRING ni kitu kimoja,bikini ni vazi la kuogelea tu tena polyester.
 
hahahahahhahaha mbavu zangu mie.

if I may ask hii thread imeichumbua wapi tena?
 
mimi sivaagi kabisa bhana. nimekuelewa ulikuwa unaelezea nini.

mimi hewa muhimu bhana ndo mpango mzima
inaonekana huko mtaani kwenu hakuna wanaume aisei yaana wanakubali hewa iingie badala wao ndo waingie imeniuma sana*
 
Back
Top Bottom