Sina haja ya kudhihirisha uwezo wangu wa kihesabu........! kama ile ni hesabu itakuwa kwenye ''sud''!
Then the best u can do is to shut up!
Sina haja ya kudhihirisha uwezo wangu wa kihesabu........! kama ile ni hesabu itakuwa kwenye ''sud''!
kwani wewe unatukuzwa kwa jambo gani?? that's right...MANENO!!! tena maneno yako ya hovyo hovyo ambayo saa nyingine yanatia matatani mustakabala wa suala la usalama wa nchi ktk siku za usoni.
YNIM
Asante...............! Wakati mwingine mambo kama haya yanakatisha tamaa sana. Questioning our credibility......generalisation!
wewe bingwa wa kupembua nionyeshe hilo tusi mbona wazunguka mbuyu tu?
huwezi kuzungumzia kupanda au kushuka kwa lukaza johson bila kumhusisha adad rajab bosi wa zamani wa polisi na sasa balozi huko zimbabwe
huwezi kuzungumzia kupanda au kushuka kwa lukaza johson bila kumhusisha adad rajab bosi wa zamani wa polisi na sasa balozi huko zimbabwe
Kauli tamu ya "Nguvu mpya, Kasi mpya" imetunufaisha vipi watanzania hadi sasa?
Hivi makampuni ya Lukaza yanaendelea na shughuli zake kama kawaida?
Mwakimbi hebu tumegee mahusiano ya Lukaza na afande Adadi lau kiduchu tu na wengine watajazia kwani haba na haba hujaza kibaba,
Hakuna ubishi kuwa hivi vyama vya upinzani havikidhi matarajio ya wananchi kama tulivyotegemea; mara nyingi badala ya kuungana na kupambana na chama tawala vimekuwa vikipingana kwa faida ya CCM. Tunafahamu kuwa kuna chama kama Chadema huku Bara kinafanya kazi nzuri yakusifika na CUF pia kule Pemba wanafanya kazi nzuri; lakini pale wananchi wanapotegemea kuwa vyama vitaungana na kuwa na nguvu dhidi ya chama tawala haiwi hinyo; mpaka wananchi wanahisi kuwa vyama kama cha Mtikila na NCR mageizi kuwa ni mapandikizi ya CCM yanayotumiwa kuvuruga umoja wa vyama vya upinzani na ushahidi ni jinsi ilitokea kule Tarime vyama hivyo kusimamisha wagombea wakati walijua wazi hawakuwa na wafuasi kama CHADEMA!!
Nnachofahamu mimi Adadi kuna kipindi alikuwa anamdai Johnson, jamaa akawa jeuri kulipa Adadi akamtumia majambazi. Well baadae nadhani walilipana maana Johnosn alikuja kuuziwa tena gari aina ya prado na Adadi na Johson kwa sababu siku hizi hayuko kwenye that level hiyo gari amempa/ amemuuzia mmoja wa wafanyakazi wake. Hata ile nyumba ya Adadi pale Mbezi beach jogoo inasadikika alinunuliwa na Johnson.