Udikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka Ukweli!. Dawa ya Uongo ni Ukweli.

Mkuu Pasco kwanza naitwa Petro na si Petiro. Halafu,unapojibu usiwe unadharau au kukejeli watu kaka. Tazama ulivyonikejeli na kunidharau
Pita, Peter, Petro,Petiro ni jina lile lile kama ilivyo kwa Josefu, Joseph, Yosefu, Yusufu ni mtu yule yule na Jemsi, James, Yakobo, Yakubu ni mtu yule yule na Joni, John, Yahana, Yohane, Yohani ni mtu yule yule ila nakiri kuna wengine tunasumbuliwa na kasumba ya uzingu anayejiita Petro akiitwa Petiro hapendi kwa hili samahani!.

Sijajibu kwa tharau wala kejeli ila jf was ment to be the home of great thinkers, sasa wewe mtu wa LL.M kushindwa kubaini mantiki ya uzi huu, leaves much to be desired! .

Kwa vile watu humu tunatofautiana sana uwezo wa kusoma na kuelewa the motives behind baadhi ya mabandiko then tuna wajibu wa ku simply ili kila mtu aweze kuelewa kwa level yake ndio maana nikauliza kama bado hujaelewa naweza kukufafanulia kwa low level zaidi na zaidi hadi unielewe! .

Mimi nilikutana na thread ambayo sijaielewa kabisa, huwa najipitia zangu bila kuchangia chochote, na ndio maana tuna majukwaa mengi huu na yote yana wapenzi wake mfano leo nimekaribishwa MMU nikakukuta kuko very interesting. Nitakuwa nashinda kule! .

All and all, I apologise, if it makes you feel bad.
Pasco
 
Pita, Peter, Petro,Petiro ni jina lile lile kama ilivyo kwa Josefu, Joseph, Yosefu, Yusufu ni mtu yule yule na Jemsi, James, Yakobo, Yakubu ni mtu yule yule na Joni, John, Yahana, Yohane, Yohani ni mtu yule yule ila nakiri kuna wengine tunasumbuliwa na kasumba ya uzingu anayejiita Petro akiitwa Petiro hapendi kwa hili samahani!.

Sijajibu kwa tharau wala kejeli ila jf was ment to be the home of great thinkers, sasa wewe mtu wa LL.M kushindwa kubaini mantiki ya uzi huu, leaves much to be desired! .

Kwa vile watu humu tunatofautiana sana uwezo wa kusoma na kuelewa the motives behind baadhi ya mabandiko then tuna wajibu wa ku simply ili kila mtu aweze kuelewa kwa level yake ndio maana nikauliza kama bado hujaelewa naweza kukufafanulia kwa low level zaidi na zaidi hadi unielewe! .

Mimi nilikutana na thread ambayo sijaielewa kabisa, huwa najipitia zangu bila kuchangia chochote, na ndio maana tuna majukwaa mengi huu na yote yana wapenzi wake mfano leo nimekaribishwa MMU nikakukuta kuko very interesting. Nitakuwa nashinda kule! .

All and all, I apologise, if it makes you feel bad.
Pasco
Sawa mkuu,nikubali kuwa sijaelewa. Kumradhi!
 
Hii inadhihirisha Rais hana udikteta wowote, ni mtu wa haki na mfuata sheria na taratibu. la sivyo angeamuru tu kuzimwa!Lakini hafurahishwi na kejeli naye kama mtu mstaarabu angependa constructive arguments.
Kejeli huletwa na kejeli. Baba akiwa na kejeli watoto ndio itakuwa lugha yao rasmi. Mwambieni kuwa lugha yake ya kejeli kwa watz ndio inachochea kejeli kwake. Unapowaita wengine vilaza kwa mfano, unakaribisha kukejeliwa, na uliowakwaza kwa mtindo uleule. Hotuba zilizojaa jazba, chuki na vitisho kwa wapinzani ambao nao wapo kisheria hazitomfanya apendwe na hao anawasemea 'mbofumbofu'.
Udikteta ni matendo ya kuvunja sheria zilizopo na kusigina katiba. Mpaka SASA hakuna maelezo isipokuwa vitisho vya polisi.
Maelezo yangekuwapo nina hakika kwa vile Mkulu anavyopenda kuumbua, yangetolewa tu. Msajili wa vyama kimya, Waziri wa Sheria kimya, Mwanasheria Mkuu hata haileweki kwa nini Hakutoa hivyo vifungu zaidi ya vitisho kuhusu madhara yatakayoletwa na kipigo cha polisi. Na ndivyo mlivyokuwa mkifanya wengi wa lumumba.
Mkulu hataki wengine wafanye siasa, eti wanamkwamisha sijui kwa vipi? Wataka aitwejee?
AMEN
 
Wanabodi,
Baada ya rais Magufuli kuombea malaika watoke mbinguni kuja kuifunga mitandao ya kijamii yenye uongo na Uzushi kama humu jf, wana mitandao wote resiponsible hatuna budi kuunga mkono juhudi za rais wetu mpendwa Mhe Dr John Pombe Joseph Magufuli, kuitumia mitandao ya kijamii more responsibility kwa nia njema (in good faith) ya kujenga, kuwa wakweli na hata tukikosoa tukikosoa constructively kwa kukosoa ili kujenga na sio kukosoa ili kubeza.

Uongo ukisemwa sana bila kukanushwa mwisho wake unageuka kuwa ndio ukweli, hivyo dawa ya uongo ni ukweli, uongo ukiletwa humu, kama kuna mwenye ukweli autoe tuu hapo hapo ili kutoupa fursa uongo huo kuendelea kusema.

Nakiri kupandisha uzi huu baada ya kuwa inspired na bandiko la mwana jf huyu.
Mkuu Sema, naunga mkono hoja.
Dawa ya uongo uzushi na upotoshaji ni ukweli, utoaji majibu kwa uharaka na usahihi.

Uongo ukisemwa sana bila kukanushwa mwisho unageuka ukweli na mfano mdogo ni hii dhana ya udikiteta, ni uwongo tuu na uzushi kumzushia rais wetu mpendwa Mhe Dr John Pombe Joseph Magufuli kuwa ni dikiteta kwa kitendo tuu cha kupiga marufuku mikutano ya hadhara.

Uzushi huu ulianzia humu jf na mwanzilishi namjua!, haukukanushwa, uzushi huu ukadakwa na Chadema mara wanaibuka na ukuta, haukukanushwa sasa hadi sasa neno dikiteta limeanza kuwa rasmi.

Iwapo Ikulu yetu ingekuwa na mtu wao humu jf na wakaukanusha mara moja uzushi ule kwa kuusema ukweli jina la udikiteta isingekuwepo.

Katiba imetoa uhuru wa kukusanyika na kufanya mikutano ya hadhara, rais alipopiga marufuku mikutano hiyo ilikuwa ni kazi ndogo tuu watu wake kuingia humu na kueleza Mhe rais Magufuli amepiga marufuku hiyo kwa kutumia mamlaka yake kwa mujibu wa kifungu fulani fulani, basi kusingekuwepo hoja ya udikiteta wala ukuta, lakini kitendo cha mpaka leo hii ninapoandika hapa hakuna kanusho lolote lenye kuonyesha mamlaka ya rais kutenda kinyume cha maelekezo ya katiba, kunapelekea uwongo huo wa udikiteta kuonekana kama ndio ukweli wenyewe.

Kila uongo ukiachwa unageuka ukweli na ukikanushwa unafutika.
Pasco
Uzi wako ni mrefu Lakin nashukuru nimesoma hadi mwisho! Ila ulichoandika kinahitaji mtu aje kukanusha pia, maana kuna baadhi ya maandiko umeyachukua kama citation Lakin huna uhakika!

Mosi!
Ukiandika uzi mwingine kama huu uende direct Kwenye point.

Pili!
Unadhani hao TCRA hawapo humu? Mengi yanayojadiliwa humu (99% ) yanaukweli ndani yake!.
 
Uzi wako ni mrefu Lakin nashukuru nimesoma hadi mwisho! Ila ulichoandika kinahitaji mtu aje kukanusha pia, maana kuna baadhi ya maandiko umeyachukua kama citation Lakin huna uhakika!

Mosi!
Ukiandika uzi mwingine kama huu uende direct Kwenye point.

Pili!
Unadhani hao TCRA hawapo humu? Mengi yanayojadiliwa humu (99% ) yanaukweli ndani yake!.
Mkuu Juve, nyuzi zangu ni ndefu sio kwa bahati mbaya, bali ili ujumbe wangu uwafikie wale walengwa tuu wa levels hizo!, bila mtu kunisoma mwanzo mwisho, one can not connect the dots hivyo wengi hutoka kapa na Kisutu kamwe hutanisikia lakini ujumbe unawafikia tena I hit them hard where it hurts most!.
Pasco
 
Wanabodi,
Baada ya rais Magufuli kuombea malaika watoke mbinguni kuja kuifunga mitandao ya kijamii yenye uongo na Uzushi kama humu jf, wana mitandao wote resiponsible hatuna budi kuunga mkono juhudi za rais wetu mpendwa Mhe Dr John Pombe Joseph Magufuli, kuitumia mitandao ya kijamii more responsibility kwa nia njema (in good faith) ya kujenga, kuwa wakweli na hata tukikosoa tukikosoa constructively kwa kukosoa ili kujenga na sio kukosoa ili kubeza.

Uongo ukisemwa sana bila kukanushwa mwisho wake unageuka kuwa ndio ukweli, hivyo dawa ya uongo ni ukweli, uongo ukiletwa humu, kama kuna mwenye ukweli autoe tuu hapo hapo ili kutoupa fursa uongo huo kuendelea kusema.

Nakiri kupandisha uzi huu baada ya kuwa inspired na bandiko la mwana jf huyu.
Mkuu Sema, naunga mkono hoja.
Dawa ya uongo uzushi na upotoshaji ni ukweli, utoaji majibu kwa uharaka na usahihi.

Uongo ukisemwa sana bila kukanushwa mwisho unageuka ukweli na mfano mdogo ni hii dhana ya udikiteta, ni uwongo tuu na uzushi kumzushia rais wetu mpendwa Mhe Dr John Pombe Joseph Magufuli kuwa ni dikiteta kwa kitendo tuu cha kupiga marufuku mikutano ya hadhara.

Uzushi huu ulianzia humu jf na mwanzilishi namjua!, haukukanushwa, uzushi huu ukadakwa na Chadema mara wanaibuka na ukuta, haukukanushwa sasa hadi sasa neno dikiteta limeanza kuwa rasmi.

Iwapo Ikulu yetu ingekuwa na mtu wao humu jf na wakaukanusha mara moja uzushi ule kwa kuusema ukweli jina la udikiteta isingekuwepo.

Katiba imetoa uhuru wa kukusanyika na kufanya mikutano ya hadhara, rais alipopiga marufuku mikutano hiyo ilikuwa ni kazi ndogo tuu watu wake kuingia humu na kueleza Mhe rais Magufuli amepiga marufuku hiyo kwa kutumia mamlaka yake kwa mujibu wa kifungu fulani fulani, basi kusingekuwepo hoja ya udikiteta wala ukuta, lakini kitendo cha mpaka leo hii ninapoandika hapa hakuna kanusho lolote lenye kuonyesha mamlaka ya rais kutenda kinyume cha maelekezo ya katiba, kunapelekea uwongo huo wa udikiteta kuonekana kama ndio ukweli wenyewe.

Kila uongo ukiachwa unageuka ukweli na ukikanushwa unafutika.
Pasco
Sitajibu kipengele kwa kipengele.
Ila nakuuliza swali la jumla. Unaposema kila kitu hakikukanushwa una maana gani? Yaani wakanushaji wote niliokuwa nawasikia, ina maana nilikuwa nawasikia mwenyewe? Watu mpaka leo hii wana kesi mahakamani kwa kutamka hilo neno dikteta, bado wewe unasema hapakuwa na wakanushaji? Wewe ulikuwa likizo nje ya dunia au?
 
Mkuu Juve, nyuzi zangu ni ndefu sio kwa bahati mbaya, bali ili ujumbe wangu uwafikie wale walengwa tuu wa levels hizo!, bila mtu kunisoma mwanzo mwisho, one can not connect the dots hivyo wengi hutoka kapa na Kisutu kamwe hutanisikia lakini ujumbe unawafikia tena I hit them hard where it hurts most!.
Pasco
Ila ni bora uandike kitu kifupi kitamu mkuu!
Sio Lazima ujaze daftari ndio ufaulu Mtihani.
 
Hii inadhihirisha Rais hana udikteta wowote, ni mtu wa haki na mfuata sheria na taratibu. la sivyo angeamuru tu kuzimwa!Lakini hafurahishwi na kejeli naye kama mtu mstaarabu angependa constructive arguments.
Anafuata nini kwenye mitandao ya kijamii?
 
Ila ni bora uandike kitu kifupi kitamu mkuu!
Sio Lazima ujaze daftari ndio ufaulu Mtihani.
Sisi wengine ni ma story teller, Watanzania ni wavivu kusoma. Chase nimezisoma nikiwa primary, secondary nikawa nasoma Ludlum, Forth, Mario Puzzle and the like. Wanataka short and clear wapo na wasomaji wa in between the lines tupo. Huwezi ku drive home serious sensitive point home kwa few lines, lazima uandike ndefu kuwaingiza chaka wale jamaa zetu.
Pasco
 
Sisi wengine ni ma story teller, Watanzania ni wavivu kusoma. Chase nimezisoma nikiwa primary, secondary nikawa nasoma Ludlum, Forth, Mario Puzzle and the like. Wanataka short and clear wapo na wasomaji wa in between the lines tupo. Huwezi ku drive home serious sensitive point home kwa few lines, lazima uandike ndefu kuwaingiza chaka wale jamaa zetu.
Pasco
hahaha
Sawa mkuu, wanyooshe!.
 
Wanabodi,
Baada ya rais Magufuli kuombea malaika watoke mbinguni kuja kuifunga mitandao ya kijamii yenye uongo na Uzushi kama humu jf, wana mitandao wote resiponsible hatuna budi kuunga mkono juhudi za rais wetu mpendwa Mhe Dr John Pombe Joseph Magufuli, kuitumia mitandao ya kijamii more responsibility kwa nia njema (in good faith) ya kujenga, kuwa wakweli na hata tukikosoa tukikosoa constructively kwa kukosoa ili kujenga na sio kukosoa ili kubeza.

Uongo ukisemwa sana bila kukanushwa mwisho wake unageuka kuwa ndio ukweli, hivyo dawa ya uongo ni ukweli, uongo ukiletwa humu, kama kuna mwenye ukweli autoe tuu hapo hapo ili kutoupa fursa uongo huo kuendelea kusema.

Nakiri kupandisha uzi huu baada ya kuwa inspired na bandiko la mwana jf huyu.
Mkuu Sema, naunga mkono hoja.
Dawa ya uongo uzushi na upotoshaji ni ukweli, utoaji majibu kwa uharaka na usahihi.

Uongo ukisemwa sana bila kukanushwa mwisho unageuka ukweli na mfano mdogo ni hii dhana ya udikiteta, ni uwongo tuu na uzushi kumzushia rais wetu mpendwa Mhe Dr John Pombe Joseph Magufuli kuwa ni dikiteta kwa kitendo tuu cha kupiga marufuku mikutano ya hadhara.

Uzushi huu ulianzia humu jf na mwanzilishi namjua!, haukukanushwa, uzushi huu ukadakwa na Chadema mara wanaibuka na ukuta, haukukanushwa sasa hadi sasa neno dikiteta limeanza kuwa rasmi.

Iwapo Ikulu yetu ingekuwa na mtu wao humu jf na wakaukanusha mara moja uzushi ule kwa kuusema ukweli jina la udikiteta isingekuwepo.

Katiba imetoa uhuru wa kukusanyika na kufanya mikutano ya hadhara, rais alipopiga marufuku mikutano hiyo ilikuwa ni kazi ndogo tuu watu wake kuingia humu na kueleza Mhe rais Magufuli amepiga marufuku hiyo kwa kutumia mamlaka yake kwa mujibu wa kifungu fulani fulani, basi kusingekuwepo hoja ya udikiteta wala ukuta, lakini kitendo cha mpaka leo hii ninapoandika hapa hakuna kanusho lolote lenye kuonyesha mamlaka ya rais kutenda kinyume cha maelekezo ya katiba, kunapelekea uwongo huo wa udikiteta kuonekana kama ndio ukweli wenyewe.

Kila uongo ukiachwa unageuka ukweli na ukikanushwa unafutika.
Pasco

Dikteta ni kiongozi anaeongoza pasi na kufuata katiba aliyoapa kuilinda.

Mikutano ya kisiasa imeainishwa katika katiba yetu. kiongozi anaefuta mikutano hii kwa vyama vya upinzani huku yeye akifanya . IT'S OBVIOUS Juma Pumba Maharagwe NI DIKTETA.
 
Dikteta anajulikana!Kama ukimtukana au kumsema vibaya ukiwa mlimani, hufiki mataa ya ubungo tayari utakuwa marehemu!Huwezi kumtukana Dikteta hadharani halafu bado ukaendelea kula kuku mtaani!Hakuna udikteta Tanzania, wala hakunan chembe ya dalili!Tuna uhuru wa kuzungumza chochote, hata kama unatukana huna hatia mpaka mahakama iseme!Ndio maana watu wanautumia uhuru huu vibaya sana
Ndo maana neno bwege limekua tusi la kupeleka mtu mahakamani
 
Hoja na ushauri wako uko vizuri Pasco... Labda nao wanatunga uongo ilihali wako busy kufanya kazi kimya kimya... Maana washajua wapinzani wetu ni watu wa kelele badala ya kutoa mawazo mbadala na kwa heshima.
Mfano kununua ndege na kukenga daraja huko beach wakati hakuna chanjo hospitali. Kweli wanapiga kazi kimyakimya
 
Kejeli huletwa na kejeli. Baba akiwa na kejeli watoto ndio itakuwa lugha yao rasmi. Mwambieni kuwa lugha yake ya kejeli kwa watz ndio inachochea kejeli kwake. Unapowaita wengine ****** kwa mfano, unakaribisha kukejeliwa, na uliowakwaza kwa mtindo uleule. Hotuba zilizojaa jazba, chuki na vitisho kwa wapinzani ambao nao wapo kisheria hazitomfanya apendwe na hao anawasemea 'mbofumbofu'.
Udikteta ni matendo ya kuvunja sheria zilizopo na kusigina katiba. Mpaka SASA hakuna maelezo isipokuwa vitisho vya polisi.
Maelezo yangekuwapo nina hakika kwa vile Mkulu anavyopenda kuumbua, yangetolewa tu. Msajili wa vyama kimya, Waziri wa Sheria kimya, Mwanasheria Mkuu hata haileweki kwa nini Hakutoa hivyo vifungu zaidi ya vitisho kuhusu madhara yatakayoletwa na kipigo cha polisi. Na ndivyo mlivyokuwa mkifanya wengi wa lumumba.
Mkulu hataki wengine wafanye siasa, eti wanamkwamisha sijui kwa vipi? Wataka aitwejee?
AMEN
Wangemkwamisha kununua ndege. Kwa kumkumbusha kuna ya msingi ya kufanya zaidi ya ndege
 
Ombi langu kwa Rais.
"Aachane na harakati zake za kuminya demokrasia."
Awaache watu wazungumze kwa uhuru.Yeye achuje mbivu na mbichi.Aache mijadala ya bunge irushwe mubashara.
Tunaunga juhudi za Rais kupambana na ufisadi, kurudisha nidhamu ya utumishi wa umma na kubana matumizi.
 
Mfano kununua ndege na kukenga daraja huko beach wakati hakuna chanjo hospitali. Kweli wanapiga kazi kimyakimya
Watu hawalingani na tofauti ipo tu siku zote. Mkuu kasema pesa bado ipo, badala ya kuwaambia wabunge wenu mpate mgao katika zahanati zenu, nyie ni kukebehi tu.
 
Watu hawalingani na tofauti ipo tu siku zote. Mkuu kasema pesa bado ipo, badala ya kuwaambia wabunge wenu mpate mgao katika zahanati zenu, nyie ni kukebehi tu.
Pesa bado ipo na chanjo bado hakuna!! Chagua cha kuamini. Kama bado hujapata, changanya na kauli "kuna watu wameficha pesa" kisha ng'amua kama bado pesa ipo.

Kwamba watu hawalingani hakuondoi jukumu la serikali kuweka chanjo hospitali, kununua madawati na vifaa vya elimu, kujenga madaraja vjjn, n.k.
 
Back
Top Bottom