Mtandao wa kampuni za Usafiri kwa njia ya TEHAMA (UBER), yenye matawi yake jijini Francisco Marekani, umezindua programu ya maalum ya simu na kompyuta itakayowaunganisha madereva na wasafiri wao hapa nchini.
Meneja wa kampuni hiyo Alon Lits, amesema, juhudu za kufungua progamu hii nchini Tanzania, ni kufuatia ukuaji wake kiuchumi, ambapo vitendo vya wizi, kuvamiwa na kupoteza mizigo havitakuwepo tena.
Kwa Tanzania ni nchi ya pili kati Afrika mashariki kuingizwa kwa huduma hii ikitanguliwa na Nairobi nchini Kenya, ambapo imefanikiwa kwa kiwango cha juu.
Wakati wa uzinduzi wa huduma hii hapa nchini, Bwana Lits alisema kuwa "Utumiaji wa huduma hii utamuhitaji mtu kupakua programu hii kwenye simu au kompyuta itakayompa maelekezo ya moja kwa moja kuwasiliana na dereva ili afuatwe sehemu alipo, hakuna haja tena ya kuhangaika kusubiri magari kwa muda mrefu."
Naye ofisa mawasiliano wa kampuni hiyo Bwana Samantha Allenberg, aliongeza kuwa, UBber itamwezesha mtu kutafuta usafiri huku akiwa sehemu yoyote ile hata nyumbani au ofisini kwa kutumia GPS ili kumwezesha dereva kufika mahali anapotakiwa kumkuta mteja wake.
Chanzo: Mwananchi
Nimehariri bandiko langu mkuu. Naamini sasa umeelewa.Mkuu fafanua vizuri ni kitu gani hicho wengine hatujui
Mkuu, ni usafiri wa TAXI kwa njia ya mitandao.. uzunduzi wa shirika jipya !!Mkuu fafanua vizuri ni kitu gani hicho wengine hatujui
Uber drivers who use their own cars.
Ubbber wataingia hadi mitaa ya uswahilini kweli, maana mita zao zinaweza kushindwa kusoma kwenye barabara mbaya.June 15, 2016
Uber has officially launched its services in Dar es Salaam, Tanzania. This is the 9th African country and 475th city on Uber’s global network.
As usual, users in Dar es Salaam will enjoy six free rides for three days. The code is “MoveTanzania”.
Uber has been spreading across Africa this year so far. They launched in Ghana last week, and Uganda two weeks ago. Again, I’m wishing Uber the best in this new African country.
=======
Nini hatma ya Bodaboda, Bajaj na Taxi jijini Dar?
Na itakuwa vigumu dereva kusema gari iliharibika sikufanya kazi, maana itaonyesha km alizotembea na pia inaonyesha mahali alipo.Madereva Taxi wa bongo inabidi waitumie hii kama nafasi ya kujikwamua na kupanua wigo wao wa soko.
Wakipinganana nayo itawa'cost kama wale madereva taxi wa France.
If you want to win business in modern world, you should embrace technology, the whole world is heading towards that direction.
Hao ni madereva wa aina gani? sijaelewa
Ubbber wataingia hadi mitaa ya uswahilini kweli, maana mita zao zinaweza kushindwa kusoma kwenye barabara mbaya.
DSM baby!Ni hivi...kwa mfano mimi ninakuwa na ki Alteza changu.
Halafu nina download Uber partner App kwenye smart phone yangu. Nikishapewa rukhsa na Uber ya kuanza kuendesha, watu ambao nao wamepakua Uber rider App wakiomba niwafuate na kuwapeleka sehemu watakazo kwenda, naenda kuwachukua na kuwapeleka. Hizo Apps ndo zinatuunganisha.
Kwa hiyo, ni huduma ya teksi lakini ambayo inatumia zaidi teknolojia kuunganisha madereva na abiria.
Na madereza wanakuwa wanatumia gari zao ambazo hazina alama yoyote ile kama ambavyo zilivyo teksi.
Na malipo yote ni electronic...yaani hakuna cha kubadilishana pesa taslimu kama ilivyo kwenye teksi.
Rider anapojisaliji anaweka credit au debit card information zake kwenye system na akiomba ride....ride ikija na kukamilika...basi gharama atakuwa charged automatically kupitia card yake.
Hizo zinatakuwa hazitumii Google bali Car Track ambayo inaonyesha kokote gari lilipo, Madereva wa Bongo imekala kwao. Nchni Rwanda hiyo Ubber imeajiri wanawake.Google maps inafanya kazi hata bongo...ila ni kwenye zile barabara ambazo zipo tayari kwenye ramani.
Uswazi haifanyi kazi.
Hii ilileta bifu kali kule Nairobi na Local Tax Drivers. Lakini kadri ilivyo, huduma yao ni mujaraab sawa na URDAT tu!June 15, 2016
Uber has officially launched its services in Dar es Salaam, Tanzania. This is the 9th African country and 475th city on Uber’s global network.
As usual, users in Dar es Salaam will enjoy six free rides for three days. The code is “MoveTanzania”.
Uber has been spreading across Africa this year so far. They launched in Ghana last week, and Uganda two weeks ago. Again, I’m wishing Uber the best in this new African country.
=======
Nini hatma ya Bodaboda, Bajaj na Taxi jijini Dar?
=======
Kwa wanaouliza kuhusu Uber:
Uber Technologies Inc. is an American multinational online transportation network company headquartered in San Francisco, California. It develops, markets and operates the Uber mobile app, which allows consumers with smartphones to submit a trip request which is then routed to Uber drivers who use their own cars.
So ina maana kale ka Suzuki Swift siweki banco tena Bali Unakua kama taxi bubu but alie kwenye system???Ni hivi...kwa mfano mimi ninakuwa na ki Alteza changu.
Halafu nina download Uber partner App kwenye smart phone yangu. Nikishapewa rukhsa na Uber ya kuanza kuendesha, watu ambao nao wamepakua Uber rider App wakiomba niwafuate na kuwapeleka sehemu watakazo kwenda, naenda kuwachukua na kuwapeleka. Hizo Apps ndo zinatuunganisha.
Kwa hiyo, ni huduma ya teksi lakini ambayo inatumia zaidi teknolojia kuunganisha madereva na abiria.
Na madereza wanakuwa wanatumia gari zao ambazo hazina alama yoyote ile kama ambavyo zilivyo teksi.
Na malipo yote ni electronic...yaani hakuna cha kubadilishana pesa taslimu kama ilivyo kwenye teksi.
Rider anapojisaliji anaweka credit au debit card information zake kwenye system na akiomba ride....ride ikija na kukamilika...basi gharama atakuwa charged automatically kupitia card yake.