Kuelekea 2025 Ubalozi wa Marekani: Tumeshtushwa na taarifa za kuaminika kwamba polisi walitumia nguvu kupita kiasi kuwadhibiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe kwa akili yako unafikiri huyo Balozi wa US atafanyanini? Slavery mentality inakusumbua. Badala ya kuwategemea watz unawaza kuwategemea mabeberu unafikiri watawasaidia kuchukua nchi au?!
Usiwapuuze wala usiwabeze Marekani, wanatufahamu vizuri zaidi kuliko sisi Watanzania tunavyowafahamu wao.

Aidha, Marekani Wana mbinu nyingi sana za kuweza kutudhibiti sisi. Tawala nyingi sana kama siyo zote kabisa zilizopo barani Afrika zinaweza kuhujumiwa kwa urahisi Sana na Marekani, tusiwabeze hata kidogo. Yaani ni Bora tukae kimya bila kujibizana nao hao Watu. Wakiamua kutuhujumu ni kazi ndogo kabisa kwao.
 
Hawajashtushwa na Trump kutaka kuuwawa??

Haya mabeberu bwana, kwa kuzuga tu hayajambo.
 
Ubalozi wetu utoe tamko la kulaani attempted homicide on D Trump. katika kipindi cha kampeni za uchaguzi
Jingalao katika ubora wako. İle ni attempted assassination na sio homicide. Na marekani walishughulikia kikamilifu mpaka mkurugenzi wa secret service alilazimika kujiuzulu kwa sababu ya uzembe
 
Serikali ya Tanzania nayo itoe tamko juu ya shambulio la mgombea wa chama Cha Republic- ndugu D.Trump,unyama -unyama
Kwani wanakatazwa? Ni wewe tu lkn itakuwa ni sawa na kusikia Marekani imepata majanga eti unapereka msaada wa kusaidia waathirika.
 
Walishashindwa labda umebarehe karibuni ndio maana hujui mambo mengi. Walijaribu miaka ya 70s na 80s wakati huo na mpaka sasa TZ iko na Warusi na Wachina.
 
Wapigwa ban washiriki wote katika uovu huu kama ilivyokuwa kwa yule kijana mkorofi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…