John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 4,391
- 9,502
Usiwapuuze wala usiwabeze Marekani, wanatufahamu vizuri zaidi kuliko sisi Watanzania tunavyowafahamu wao.Wewe kwa akili yako unafikiri huyo Balozi wa US atafanyanini? Slavery mentality inakusumbua. Badala ya kuwategemea watz unawaza kuwategemea mabeberu unafikiri watawasaidia kuchukua nchi au?!
Aidha, Marekani Wana mbinu nyingi sana za kuweza kutudhibiti sisi. Tawala nyingi sana kama siyo zote kabisa zilizopo barani Afrika zinaweza kuhujumiwa kwa urahisi Sana na Marekani, tusiwabeze hata kidogo. Yaani ni Bora tukae kimya bila kujibizana nao hao Watu. Wakiamua kutuhujumu ni kazi ndogo kabisa kwao.