Tuwashitaki Oman kwa biashara haramu ya utumwa

Acha uongo wako
hakuna Mbaguzi kama Mwarabu hawa Waarabu koko tuliobaki nao tu wanabaguliwa sembuse Waafrika?
Ni kwanini huko Falme za Kiarabu Watumwa weusi hawakubaki au kizazi cha mtu mweusi km huko Bara la amerika kwa akina Martin Luther King ili angalau leo wadai haki zao
Kwanini huyo Muoman asiombe radhi km Mzungu alivyokiri na akakubali kuoana nao

Naomba utupe tafsiri ya waa rabu kutuita PUNDA HAPANDI MUSCAT na mpaka leo hawakubali Mabinti zao kuolewa na Nyani aliyekatwa Mkia kutoka mapori ya Tanganyika
Ukwaju....vipi Kanisa na Wazungu unawazungunziaje au ndiyo mahaba niuwe.
 
omani people na waarabu kwa jumla wanaamini mtu mweusi ni mtumwa. hata mkiweka mkataba wao kwao ni kipande cha karatasi tu. mwarabu hajui kumuajiri mtu zaidi ya kumfanya mtumwa wake. ukienda kufanya kazi huko uwe tayari kufanyisha vitendo vya kudhalilishwa na unaweza hata kuuliwa kikatili.

Muongo wee, mie nimewahi kuishi Oman sijayaona hayo (labda uliota au ulidanganjwa na manabii wako wa uongo).
 
Acha uongo wako
hakuna Mbaguzi kama Mwarabu hawa Waarabu koko tuliobaki nao tu wanabaguliwa sembuse Waafrika?
Ni kwanini huko Falme za Kiarabu Watumwa weusi hawakubaki au kizazi cha mtu mweusi km huko Bara la amerika kwa akina Martin Luther King ili angalau leo wadai haki zao
Kwanini huyo Muoman asiombe radhi km Mzungu alivyokiri na akakubali kuoana nao

Naomba utupe tafsiri ya waa rabu kutuita PUNDA HAPANDI MUSCAT na mpaka leo hawakubali Mabinti zao kuolewa na Nyani aliyekatwa Mkia kutoka mapori ya Tanganyika

Watu weusi wapo katika falme za Kiarabu lakini hawakuja kama watumwa.

Haki zote wanazipata na hao watu weusi ni Waislamu safi kabisa.
 
sijakuelewa Mkandara ina maana hujui Historia ya Utumwa walioipinga Biashara hii ya Utumwa ni kina nan?
Hao waliojenga Makanisa kutoka Anglican walishawahi kununua Watumwa
Huku Bara Ujiji Tabora Mpwapwa na kwingineko walikopita Watumwa, ni Biashara ilianza au Makanisa?

The_inspection_and_sale_of_a_slave.jpg



Kama unaelewa kwamba Utumwa haukuanza kabla ya wakoloni kuingi nchini sijui nikueleze kipi zaidi. Ujinga ni pale tunapotaka kuwafagilia wanunuzi wa Watumwa kwa kumchulia mlanguzi. Mzungu ndiye mwanzo wa mwisho wa utumwa!

Leo hii mnasafirisha wanyama na pembe za ndovu lkn mnawakamata wananchi wawindaji hata wenye kuwinda swala kwa ajili ya chakula mkawaacha Wachina na viongozi walopewa vibali vya kuwinda wanyama kama tembo na simba. Kama sii ujio wa hawa Wachina na wazungu Tembo wetu wangekuwa wamejaa ktk mbuga zetu lakini ili lawama ikomae lazima atafutwe mnyonge.
 
Wewe kauzu kweli unataka kila mtu awe mateka wa Mbowe na Dr.Slaa, hakuna serikali yeyote duniani itakuwa kuletea pesa ya kula bila kufanya kazi, tafuta kazi ufanye siyo kulalamika tu.


Mimi ni zaidi ya Dagaa wewe ubasema kauzu? serikali inatakiwa itengeneze miundo mbinu ya watu wake kama kingunge mpaka leo hana meno na hajastaafu unadhani wengine wataajiriwaje? subiria tuu 2015 Nov lazima ubadilishe ID
 


Ndugu yangu hebu jaribu kufuata maneno ya wazee yanayosema akili za kuambiwa changanya na zakwako!

Hii YouTube yako uliyoweka ni moja ya propaganda za ukristo dhidi ya uislamu.

Uislamu Kama dini ya mungu basi viongozi wake hawezi kufanya biashara ya utumwa! Tafuta muda na vitabu vya kiislamu ujaribu kuvisoma labda unaweza ukajiona sehemu uliyopo sasa uko sahihi hivyo ukazidi kujikita nayo au ukakuta sio sehemu sahihi hivyo ukaondoka kutafuta sehemu sahihi.

Hawa hapa ni baadhi ya ambao waliamuwa kuacha uvivu na kuusoma uislamu hata Kama walikuwa wanauchukia kuliko hata wewe unavyouchukia sasa.


http://m.kesq.com/nationalnews/corbin-im-feminist-and-converted-to-islam/29115636

http://islamnewsroom.com/news-we-need/2077-ex-islam-dutch-hater-became-muslim
 
Last edited by a moderator:
sikatai mimi ni stupid number one,ila nilishasema kuwa kwenye biashara ya utumwa wazungu ndio wamekuwa wanalumiwa mnoo kupita waarabu,na kama kuna mtu anasema au anawatetea wazungu kisa ni ukristo basi huyo ana matatizo kichwani na hafai,vivo hivyo hata nyinyi mnaojiita waislamu kama mnawatetea waarabu kisa ni hiyo dini basi mna matatizo makubwa na ni hatari kuwa na watu kama ninyi,period!

Hatari sana kuwa na watu kama ninyi makafiri (hamna faida duniani).
Hata Mungu mnampinga!!!

Mungu kawapa mahitaji yenu yote na bado mnamzulia uongo na kumsingizia eti aligeuka (akawa) mtu kisha akafa kifo cha laana (Astaghfirullah)

Mungu hafi. God is Immortal.

Hata Biblia pia inasema kwamba Mungu hafi.

The Bible, 1 Timothy 6:16 says:

"who alone is immortal and who lives in unapproachable light, whom no one has seen or can see. To him be honor and might forever. Amen."

(New International Version)
 
Ndugu yangu hebu jaribu kufuata maneno ya wazee yanayosema akili za kuambiwa changanya na zakwako!

Hii YouTube yako uliyoweka ni moja ya propaganda za ukristo dhidi ya uislamu.

Uislamu Kama dini ya mungu basi viongozi wake hawezi kufanya biashara ya utumwa! Tafuta muda na vitabu vya kiislamu ujaribu kuvisoma labda unaweza ukajiona sehemu uliyopo sasa uko sahihi hivyo ukazidi kujikita nayo au ukakuta sio sehemu sahihi hivyo ukaondoka kutafuta sehemu sahihi.

Hawa hapa ni baadhi ya ambao waliamuwa kuacha uvivu na kuusoma uislamu hata Kama walikuwa wanauchukia kuliko hata wewe unavyouchukia sasa.


Corbin: I'm feminist, and converted to Islam | National News - Home

ex-Islam (Dutch) He Attacked Islam - But Now He is A Muslim

Thank you brother Pona.
 
...............Usisahau Wazungu na Kanisa !........ndio walikuwa wateja. Ndio maana 'weusi' wamejaa bara Amerika (Kaskazini na Kusini na Ulaya)
Jipe muda wa 'kutwalii' kidogo kabla ya kukurupuka !
:cool2: shilanona

The Royal African Company

In the early part of the 17th century, British merchants and Parliament had frowned on the idea of slavery being acceptable in any part of their empire.

However, as trade with the Caribbean colonies began to grow it became obvious that there was a shortage of labour, which would need to be rectified to ensure profits could be maintained. In 1662 Parliament granted a charter to a newly formed company - The Company of Royal Adventurers Trading to Africa - which allowed and encouraged them to involve themselves in the slave trade. To the great dissatisfaction of merchants from other cities, however, the charter provided exclusive rights to the Company, which effectively meant the merchants of London.

For various reasons, the Company was not successful, so in 1672 a new company was formed - The Royal African Company.- Once again, they were comprised merchants from London and were granted exclusive rights.
The slave trade now began in earnest, with many powerful merchants such as Edward Colston engaging wholeheartedly in shipping slaves from Africa. They had forts built on the West African coast to protect their trade and to provide holding pens for slaves. Any other slave traders, or interlopers, had to pay a tax of 10% to the Royal African Company. Between 1680 and 1686 an average of 5000 slaves a year were transported to the Caribbean.

However, after much opposition from groups of merchants like Bristol's Society of Merchant Venturers, Parliament repealed the monopoly on slavery in 1698. The Royal African company tried hard to win back their exclusive rights to the slave trade, but were unable to do so. By 1750, the Company was wound up when it became a full partner in a new company of merchants trading with Africa.


Edward Colston

In present day Bristol, Edward Colston is a name that cannot be ignored. There is Colston Street, The Colston Hall, Colstons' Schools and even a Colston Bun.

But who was he?

Edward Colston was the son of a wealthy merchant born in Bristol in 1636. He made his money initially by trading with Spain and other Mediterranean countries. However, although he went to great lengths to keep it a secret, Colston became a member of the Royal African Company in 1680 and took a very active part in the planning and financing of slaving ventures to Africa, his name appearing in the company records for 11 years.

Although closely involved with the slave trade, Colston was a popular benefactor to the City of Bristol, providing money for various charities throughout his life despite the fact that he lived in London from the time he was 18 until his death.



Here is a record kept by a Bristol Slave Merchant:

An estimate for a cargo to purchase 250 Negroes at Bonny

80 rolls of blue chintz cloth
100 rolls of cotton cloth with fine small stripes (small)
100 rolls of cotton cloth with fine small stripes (large)
100 cotton rolls with red and blue mixed stripes
30 cloths blue and white checked

300 muskets bright barrels
300 muskets black barrels
40 pair common large pistols

2 tons lead in small bars
14 tons iron 1000 copper rods

80 cases bottles of brandy

5 cases pipe beads


Bristol and Slavery - The Royal African Company - http://www.flocs.com/websites/bristolslavery/people/royalafricancompany.htm

The Pinney Family:

Bristol Merchants and Plantation Owners

Azariah Pinney (1661-1720)

He was banished from England in 1685 because he was involved in a rebellion. He left England with £15 and sailed to the Island of Nevis in the West Indies. He was a clever businessman and he managed to make money and buy land. Using slaves he turned this land into a sugar plantation. When he die he left his sons £23,000.

John Pinney I (1686-1720)

Though he died young he added to the family fortunes. He married a rich young girl who owned a plantation next to his father's. In those days anything owned by a woman immediately belonged to her husband when they married.

John Frederick Pinney (1718-1762)

He only visited Nevis twice. He left managers in charge and lived the life of a country gentleman in England. He lived well, on the money made for him by his slaves working on his plantation. When he died he left £16,000.

John Pinney II (1740-1818)

He was a cousin of John Frederick who had never married. He went to Nevis in 1764. He expressed concerns about the "rights and wrongs" of owning slaves but recognising the money he could make, convinced himself that owning slaves was acceptable.
In a letter dated 1765 he wrote:

"Since my arrival I've purchased 9 Negro slaves in St Kitts and can assure you I was shocked at the first appearance of human flesh for sale. But surely God ordained 'em for the use and benefit of us otherwise his Divine Will would have been made manifest to us by some particular sign or token "

-
For twenty years he stayed in the West Indies making his plantations as profitable as possible. He left Nevis in 1783 and came home to Bristol worth about £70,000.

In Bristol, he set up in business as a sugar merchant. He made even more money than he had as a plantation owner. He owned grand houses in the country and had a smart new town house built - 'The Georgian House' - now owned by Bristol Museum.

When he died he left £340,000.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu hebu jaribu kufuata maneno ya wazee yanayosema akili za kuambiwa changanya na zakwako!

Hii YouTube yako uliyoweka ni moja ya propaganda za ukristo dhidi ya uislamu.

Uislamu Kama dini ya mungu basi viongozi wake hawezi kufanya biashara ya utumwa! Tafuta muda na vitabu vya kiislamu ujaribu kuvisoma labda unaweza ukajiona sehemu uliyopo sasa uko sahihi hivyo ukazidi kujikita nayo au ukakuta sio sehemu sahihi hivyo ukaondoka kutafuta sehemu sahihi.

Hawa hapa ni baadhi ya ambao waliamuwa kuacha uvivu na kuusoma uislamu hata Kama walikuwa wanauchukia kuliko hata wewe unavyouchukia sasa.


Corbin: I'm feminist, and converted to Islam | National News - Home

ex-Islam (Dutch) He Attacked Islam - But Now He is A Muslim
Maneno matupu hayavunji Mfupa yakhe. Mbona ushaidi upo wazi tena ni wa kihistoria?
LiveLeak.com - Slavery in Africa and Islam, the untold story of the Muslim slave trade of blacks

 
Last edited by a moderator:
Hahahaha,

Ishmael hizo video zinafanywa na makafiri wenzako, nani ataziamini? uongo mtupu.
 
Tena mwandishi kaandika kwa staha sana. Amekuwa very neutral lakini uweli hauko hivi. Nilikuwa Nairobi wiki iliyopita ndipo niliposikia hizi habari kwa upana wake.

Wafanyakazi wananyanyasika si kwa kufanya kazi. Wanabakwa kwenye zile familia wanazozifanyia kazi. Hawana ruhusa ya kusema. Wanakuwa sodomized kwa nguvu ndani ya yale majumba ya waarabu na tena wanatishiwa kwamba habari zile zikisikika, majambia yatahalalisha shingo zao. Wako ugenini wanafanya je?

Hawana confidence na local authorities kwa sababu karibu kila familia matendo haya ni halali.

Wat wa JF, hasa ukiangalia wenye ubia na uarabu ndio wanaobisha na kutetea ushetani huu lakini hii ndiyo kwlei.

NAENDA IBADANI.

Chuki zenu za kike zinawatokea puani kazi yenu kuropoka maujinga yaliyowajaa kichwani. Maneno ya kijinga bila ya proof yeyote anaweza sema kwa jinsi anavyojisikia.
 
Maneno matupu hayavunji Mfupa yakhe. Mbona ushaidi upo wazi tena ni wa kihistoria?
LiveLeak.com - Slavery in Africa and Islam, the untold story of the Muslim slave trade of blacks



Ndugu yangu narudia tena kukuomba kuwa wacha kuamini kila unaloambiwa na viongozi wako wa kikirsto! wakati mwengine husema uwongo mkubwa kwa maslahi yao binafsi.

hebu jaribu kumsikiliza huyu mkristo mwenzako anaeleza kitu muhimu ambacho hakisemwi kuhusu biashara ya utumwa! huyu ni Professor TONY MARTIN

The Truth on the Black Slave Trade Dr. Tony Martin Lecture | Unity of Nobility

https://www.youtube.com/watch?v=Ut7I75Q_-zA
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom