Pona
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 1,099
- 647
Mkuu Pona huwezi kuwachafua wayahudi kwa kusitiri ushetani uliofanywa na mashetani waarabu wakati wa biashara ya utumwa! Let's call a spade by its name, waarabu wameua na kutesa mababu zetu.
Anzisha mada kuhusu wayahudi, na pia wana haki kutimua watu weusi eneo lao ni dogo sana na linaingia Mara 700 kwenye eneo linalokaliwa na waarabu. Ingekuwa busara kuwapa wapalestina eneo na kuwahamisha pale
Kuhusu wayahudi kubagua weusi hata mtume wenu alikejeri watu weusi. Fikiria
Tatizo lako kubwa nikuwa unaweka stories za kusadikika bila ya kuweka ushahidi unaosapoti maneno yako!!!!
Unaposema waarabu wamewauwa na kuwatesa mababu zako lingekuwa jambo la maana kama ungetoa ushahidi unaosapoti maneno yako unayoyatoa kinywani mwako vyenginevyo utakuwa unatupa maneno ya kulishwa kama yale wanayolishwa watu wanaotembelea kanisa la mkunazini unguja.
Utakapokwenda kutembelea kanisa la mkunazini Zanzibar watakupa namna waarabu walivyokuwa wanawatesa waafrika na kukuonyesha pale walikuwa wanawafanya hivi au vile huku wakisahau kuwa wakati Kanisa linaingia Zanzibar liliukuta utawala wa kiarabu upo Zanzibar miaka mingi iliyopita na huyo huyo Sultan ndie alietoa kiwanja ambacho lilijengwa hilo kanisa!!!!!!
Sasa jambo la kujiuliza hiyo historia ya utumwa wanayosimulia kanisa hivi sasa kwanini haikuwepo wakati mwarabu anatawala Zanzibar na badala yake ianze baada ya mwarabu kuondoka Zanzibar!!??? TAFAKARI.
Kuhusu wayahudi kuwa na eneo Dogo nadhani haijawa excuse ya kuhalalisha ubaguzi wao juu ya watu weusi!!!! America ni nchi kubwa duniani lakini hadi ninavyoandika kila siku watu weusi wanabaguliwa hadi kufikia kupigwa risasi na kuuliwa na vyombo vya usalama.
Kumbuka hata mababu zako walikuwa wanakamatana wenyewe kwa wenyewe na kuuzana utumwani kabla ya hata mwarabu kuja Africa! Pia kabla ya maendeleo ya viwanda barani ulaya basi biashara kubwa iliyokuwa inawaingizia kipato ilikuwa ni biashara ya utumwa! Hao unaowathamini na kuwaona bora wayahudi nao hawakuachwa nyuma katika biashara hii na wao hasa ndio waanzilishi.
Kuhusu kutokujua kusoma na kuandika kwa mtume Muhammad nadhani hilo ni sifa moja wapo ya kumfanya yeye kuwa mtume wa mungu! Sifikirii kama alitokezea mtume wa mungu alikuwa anajuwa kusoma au kuandika! Mitume yote Mwalimu wao ni Mungu na mafundisho yake hayatumii ubao wala chaki! Yanakuja direct katika moyo wa mtume wake.
Last edited by a moderator: