Tuwashitaki Oman kwa biashara haramu ya utumwa

Mkuu Pona huwezi kuwachafua wayahudi kwa kusitiri ushetani uliofanywa na mashetani waarabu wakati wa biashara ya utumwa! Let's call a spade by its name, waarabu wameua na kutesa mababu zetu.

Anzisha mada kuhusu wayahudi, na pia wana haki kutimua watu weusi eneo lao ni dogo sana na linaingia Mara 700 kwenye eneo linalokaliwa na waarabu. Ingekuwa busara kuwapa wapalestina eneo na kuwahamisha pale

Kuhusu wayahudi kubagua weusi hata mtume wenu alikejeri watu weusi. Fikiria

Tatizo lako kubwa nikuwa unaweka stories za kusadikika bila ya kuweka ushahidi unaosapoti maneno yako!!!!

Unaposema waarabu wamewauwa na kuwatesa mababu zako lingekuwa jambo la maana kama ungetoa ushahidi unaosapoti maneno yako unayoyatoa kinywani mwako vyenginevyo utakuwa unatupa maneno ya kulishwa kama yale wanayolishwa watu wanaotembelea kanisa la mkunazini unguja.

Utakapokwenda kutembelea kanisa la mkunazini Zanzibar watakupa namna waarabu walivyokuwa wanawatesa waafrika na kukuonyesha pale walikuwa wanawafanya hivi au vile huku wakisahau kuwa wakati Kanisa linaingia Zanzibar liliukuta utawala wa kiarabu upo Zanzibar miaka mingi iliyopita na huyo huyo Sultan ndie alietoa kiwanja ambacho lilijengwa hilo kanisa!!!!!!

Sasa jambo la kujiuliza hiyo historia ya utumwa wanayosimulia kanisa hivi sasa kwanini haikuwepo wakati mwarabu anatawala Zanzibar na badala yake ianze baada ya mwarabu kuondoka Zanzibar!!??? TAFAKARI.

Kuhusu wayahudi kuwa na eneo Dogo nadhani haijawa excuse ya kuhalalisha ubaguzi wao juu ya watu weusi!!!! America ni nchi kubwa duniani lakini hadi ninavyoandika kila siku watu weusi wanabaguliwa hadi kufikia kupigwa risasi na kuuliwa na vyombo vya usalama.

Kumbuka hata mababu zako walikuwa wanakamatana wenyewe kwa wenyewe na kuuzana utumwani kabla ya hata mwarabu kuja Africa! Pia kabla ya maendeleo ya viwanda barani ulaya basi biashara kubwa iliyokuwa inawaingizia kipato ilikuwa ni biashara ya utumwa! Hao unaowathamini na kuwaona bora wayahudi nao hawakuachwa nyuma katika biashara hii na wao hasa ndio waanzilishi.

Kuhusu kutokujua kusoma na kuandika kwa mtume Muhammad nadhani hilo ni sifa moja wapo ya kumfanya yeye kuwa mtume wa mungu! Sifikirii kama alitokezea mtume wa mungu alikuwa anajuwa kusoma au kuandika! Mitume yote Mwalimu wao ni Mungu na mafundisho yake hayatumii ubao wala chaki! Yanakuja direct katika moyo wa mtume wake.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lako kubwa nikuwa unaweka stories za kusadikika bila ya kuweka ushahidi unaosapoti maneno yako!!!!

Unaposema waarabu wamewauwa na kuwatesa mababu zako lingekuwa jambo la maana kama ungetoa ushahidi unaosapoti maneno yako unayoyatoa kinywani mwako vyenginevyo utakuwa unatupa maneno ya kulishwa kama yale wanayolishwa watu wanaotembelea kanisa la mkunazini unguja.

Utakapokwenda kutembelea kanisa la mkunazini Zanzibar watakupa namna waarabu walivyokuwa wanawatesa waafrika na kukuonyesha pale walikuwa wanawafanya hivi au vile huku wakisahau kuwa wakati Kanisa linaingia Zanzibar liliukuta utawala wa kiarabu upo Zanzibar miaka mingi iliyopita na huyo huyo Sultan ndie alietoa kiwanja ambacho lilijengwa hilo kanisa!!!!!!

Sasa jambo la kujiuliza hiyo historia ya utumwa wanayosimulia kanisa hivi sasa kwanini haikuwepo wakati mwarabu anatawala Zanzibar na badala yake ianze baada ya mwarabu kuondoka Zanzibar!!??? TAFAKARI.

Kuhusu wayahudi kuwa na eneo Dogo nadhani haijawa excuse ya kuhalalisha ubaguzi wao juu ya watu weusi!!!! America ni nchi kubwa duniani lakini hadi ninavyoandika kila siku watu weusi wanabaguliwa hadi kufikia kupigwa risasi na kuuliwa na vyombo vya usalama.

Kumbuka hata mababu zako walikuwa wanakamatana wenyewe kwa wenyewe na kuuzana utumwani kabla ya hata mwarabu kuja Africa! Pia kabla ya maendeleo ya viwanda barani ulaya basi biashara kubwa iliyokuwa inawaingizia kipato ilikuwa ni biashara ya utumwa! Hao unaowathamini na kuwaona bora wayahudi nao hawakuachwa nyuma katika biashara hii na wao hasa ndio waanzilishi.

Kuhusu kutokujua kusoma na kuandika kwa mtume Muhammad nadhani hilo ni sifa moja wapo ya kumfanya yeye kuwa mtume wa mungu! Sifikirii kama alitokezea mtume wa mungu alikuwa anajuwa kusoma au kuandika! Mitume yote Mwalimu wao ni Mungu na mafundisho yake hayatumii ubao wala chaki! Yanakuja direct katika moyo wa mtume wake.

Kitu usichotaka kukubali ni kwamba waarabu walitutawala na kututesa kama waingereza, wareno na wajerumani! Na ukweli mchungu kwako ni kwamba uislam unaruhusu utumwa na mtume wenu Mwamedi aliteka mateka na baadhi aliwalazimisha ngono.

Uislam umebagua watu weusi na hata leo hii ukienda Zanzibar sisi wa Tanganyika tunaitwa "machogo". Nimetembelea Bagamoyo yote kuanzia Nzinga, Sellian, Badea n.k. note hadi picha zinazoonesha watu weusi wamefungwa minyororo na mwarabu na kilemba chake na bakora.

Akina Tippu Tipp walifanya biashara ya watumwa na meno ya tembo. Babu zetu walitolewa Ujiji na kupelekwa hadi Bwagamoyo

Tatizo hajui tafsiri ya UTUMWA, hata kutuletea dini ni utumwa pia na kuweka kuwa lazima kuhiji mwende kwao (ukoloni mambo Leo)
 
Kitu usichotaka kukubali ni kwamba waarabu walitutawala na kututesa kama waingereza, wareno na wajerumani! Na ukweli mchungu kwako ni kwamba uislam unaruhusu utumwa na mtume wenu Mwamedi aliteka mateka na baadhi aliwalazimisha ngono.

Uislam umebagua watu weusi na hata leo hii ukienda Zanzibar sisi wa Tanganyika tunaitwa "machogo". Nimetembelea Bagamoyo yote kuanzia Nzinga, Sellian, Badea n.k. note hadi picha zinazoonesha watu weusi wamefungwa minyororo na mwarabu na kilemba chake na bakora.

Akina Tippu Tipp walifanya biashara ya watumwa na meno ya tembo. Babu zetu walitolewa Ujiji na kupelekwa hadi Bwagamoyo

Tatizo hajui tafsiri ya UTUMWA, hata kutuletea dini ni utumwa pia na kuweka kuwa lazima kuhiji mwende kwao (ukoloni mambo Leo)

kuhusu hizo Picha unazoziona za watu weusi wamefungwa minyororo na waarabu nadhani bado unaendelea kuamini Yale Yale simulizi ambazo hazina ukweli Wa hata asilimia moja! Kaa chini ujiulize katika Picha zote ulizoziona kwanini zote ziwe ni Picha za kuchora!!??? Kwanini zisipatikane Picha halisi za kamera!!??? Kumbuka wakati huo tayari camera zilikuwa zimeshaanza kufanya Kazi!! Lakini Picha zote zinazohusu warabu na utumwa ama zitakuwa za kuchora au za kuchonga.

Kuhusu uislamu kuwabaguwa watu weusi hilo nalo unalisema bila ya kuwa na maarifa nalo!! Uislamu haumbagui MTU yoyote yule na huu hapa ni ushahidi wa kutoka katika Quran tukufu

Enyi watu! Hakika Sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezi Mungu ni huyo aliye mchamngu zaidi katika nyinyi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye khabari. (Al-Hujraat 49:13, Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani)

Hayo mengine unauzulia uislamu! Ubaguzi ni sifa ya ukristo, katika ukristo MTU mweusi ni shetani na mweupe ni malaika.

Kuhusu uislam kuruhusu utumwa mimi naona unasema vis visa maana mafundisho mengi ya ukristo yanafundisha utumwa mfano hizi aya.

WAEFESO 6:5,KUTOKA 21:20,26,27, WAKOLOSAI 4:1, PETRO1,2:18, TITO 2:9, KUMBUKUMBU LA TOURATI 24:15 na nyengine nyinginyingi.

Hivi uislamu ndivyo unavyosema kuhusu utumwa:-


If any of you does not have the means to marry a believing free woman, then marry a believing slave– God knows best [the depth of] your faith: you are [all] part of the same family– so marry them with their people’s consent and their proper bride-gifts. [Make them] married women, not adulteresses or lovers. If they commit adultery when they are married, their punishment will be half that of free women. This is for those of you who fear that you will sin; it is better for you to practise self-restraint. God is most forgiving and merciful, (An-Nisa 4:25, English - Abdel Haleem)

Worship God; join nothing with Him. Be good to your parents, to relatives, to orphans, to the needy, to neighbours near and far, to travellers in need, and to your slaves. God does not like arrogant, boastful people, (An-Nisa 4:36, English - Abdel Haleem)


Sasa hayo unayosema kuwa Mtume Muhammad aliwateka wanawake na wengine akawalazimisha ngono sijui wapi unapata!!! Wamepewa ruhsa kuwaowa watumwa wanawake baada ya kuwapa mahari yao.

Kuhusu ubaguzi hata makanisani kwenu mnao, siku zote matajiri wanawekwa nafasi za mbele na nyinyi makapuku mnakaa mistari ya nyuma kabisa.
 
Do you want me to unlearn formal education and embrace your Islamic rituals? Nina akili nzuri kuliko mtume wenu aliyekufa hata kusoma hajui, HELL NOO

Mtume asiejua kusoma wala Kuandika Leo ana Wafuasi Zaidi ya Bilion 2.3 Duniani.
Na Dini yake Inazidi kukuwa kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba MAKAFIRI wanakosa Usingizi na Kufanya kila mbinu kuipunguza Speed.

Wewe unaeabudu Holywood actor kila siku inabidi Mfanye promo kuwashawishi kondoo kuingia japo mara moja kwa Wiki kanisani.
Wakati waislamu wanaswali mara TANO KWA SIKU na Miskiti HAITOSHI.

Lzm Roho ikuume Maluuni km Wewe.

Na bado.
 
Mtume asiejua kusoma wala Kuandika Leo ana Wafuasi Zaidi ya Bilion 2.3 Duniani.
Na Dini yake Inazidi kukuwa kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba MAKAFIRI wanakosa Usingizi na Kufanya kila mbinu kuipunguza Speed.

Wewe unaeabudu Holywood actor kila siku inabidi Mfanye promo kuwashawishi kondoo kuingia japo mara moja kwa Wiki kanisani.
Wakati waislamu wanaswali mara TANO KWA SIKU na Miskiti HAITOSHI.

Lzm Roho ikuume Maluuni km Wewe.

Na bado.

Sheikh taan upo? Long time hapo jamvini, Ijumaa kareem na Ramadan Kareem
 
Sheikh taan upo? Long time hapo jamvini, Ijumaa kareem na Ramadan Kareem

Iko siku na wewe Mungu akipenda utaiona haki.
Wamesilimu MAPADRI wakubwa kabisa itakuwa Wewe?

Endelea Kumuomba Mungu akuonyeshe njia ilio sahihi kabla hujafa.
Ukishatokwa na roho hakuna kurudi tena nyakageni.
Jeuri imeponza wengi sana.
 
Iko siku na wewe Mungu akipenda utaiona haki.
Wamesilimu MAPADRI wakubwa kabisa itakuwa Wewe?

Endelea Kumuomba Mungu akuonyeshe njia ilio sahihi kabla hujafa.
Ukishatokwa na roho hakuna kurudi tena nyakageni.
Jeuri imeponza wengi sana.

huu uzi hauzungumzii uislaam, unazungumzia waarabu wa oman, mambo yenu ya dini ukristo/uislaam yanaingiaje hapa?
 
Wazungu ndio waliokuwa wakifanya biashara hii wakiwanunua watumwa kwa kupeleka kwenye viwanda vyao mwarabu alikuwa Dalali wa wazungu tu, na ndio maana hata fidia inaomnwa nchi za ulaya si oman
 
Wazungu ndio waliokuwa wakifanya biashara hii wakiwanunua watumwa kwa kupeleka kwenye viwanda vyao mwarabu alikuwa Dalali wa wazungu tu, na ndio maana hata fidia inaomnwa nchi za ulaya si oman

Wahi Milembe sheikh unaumwa wewe si bureeeeeeeee
 
Kwa mwislamu mweusi husemi kitu kibaya cha mwarabu aka kuelewa. Kwa mkristo mweusi husemi kitu kibaya cha myahudi au mara ingine hata mzungu akakuelewa.

Mara ingine ni kama sisi weusi tunawaona hao waarabu au wayahudi au mara chache hao wazungu kama muingu yetu.

Watu wanawahusisha hao watu na dini zao moja kwa moja. Ukiwa sema vibaya hata mambo ya wazi kabisa watakupinga kwa nguvu zote. Hii si sawa. Hili ni tatizo la hizi dini za kigeni na kujidharau wenyewe.

Waarabu walitufanyia mabaya miaka ile na wanstahili kutulipa fidia. Wazungu pia walitufanyia mabaya wanstahili kutulipa fidia pia.

Barani Africa waarabu na wazungu wote walihusika na biashara dhalili ya kuteka na kuuza binadam kama mbuzi.
 
Kwa mwislamu mweusi husemi kitu kibaya cha mwarabu aka kuelewa. Kwa mkristo mweusi husemi kitu kibaya cha myahudi au mara ingine hata mzungu akakuelewa.

Mara ingine ni kama sisi weusi tunawaona hao waarabu au wayahudi au mara chache hao wazungu kama muingu yetu.

Watu wanawahusisha hao watu na dini zao moja kwa moja. Ukiwa sema vibaya hata mambo ya wazi kabisa watakupinga kwa nguvu zote. Hii si sawa. Hili ni tatizo la hizi dini za kigeni na kujidharau wenyewe.

Waarabu walitufanyia mabaya miaka ile na wanstahili kutulipa fidia. Wazungu pia walitufanyia mabaya wanstahili kutulipa fidia pia.

Barani Africa waarabu na wazungu wote walihusika na biashara dhalili ya kuteka na kuuza binadam kama mbuzi.

Teh teh teh.

We kwa ufahamu wako hizi biashara za kuuza watu unadhani zimekwisha?

Nenda kanisa la Gwajima ukajionee mwenyewe Kondoo wanavyonunuliwa kwa maneno tu ya wiii wii wiii!

Unakuja mazima na senti zako zoote na akiba yako Yoote unamkabidhi Gwajima Halafu yeye anachofanya ni kuchukua Spika tu na kukupigia kelele na mziki mmoja wa nguvu wa kwasa kwasa.
Mchezo umeisha.

GWAJIMA......... ...1
Mwana kondoo ....0
 
Teh teh teh.

We kwa ufahamu wako hizi biashara za kuuza watu unadhani zimekwisha?

Nenda kanisa la Gwajima ukajionee mwenyewe Kondoo wanavyonunuliwa kwa maneno tu ya wiii wii wiii!

Unakuja mazima na senti zako zoote na akiba yako Yoote unamkabidhi Gwajima Halafu yeye anachofanya ni kuchukua Spika tu na kukupigia kelele na mziki mmoja wa nguvu wa kwasa kwasa.
Mchezo umeisha.

GWAJIMA......... ...1
Mwana kondoo ....0

Kumbe nawewe huwa unaudhuria kwa Gwajima kimyakimya? Gooood. Keep it up
 
,
Kwa mwislamu mweusi husemi kitu kibaya cha mwarabu aka kuelewa. Kwa mkristo mweusi husemi kitu kibaya cha myahudi au mara ingine hata mzungu akakuelewa.

Mara ingine ni kama sisi weusi tunawaona hao waarabu au wayahudi au mara chache hao wazungu kama muingu yetu.

Watu wanawahusisha hao watu na dini zao moja kwa moja. Ukiwa sema vibaya hata mambo ya wazi kabisa watakupinga kwa nguvu zote. Hii si sawa. Hili ni tatizo la hizi dini za kigeni na kujidharau wenyewe.

Waarabu walitufanyia mabaya miaka ile na wanstahili kutulipa fidia. Wazungu pia walitufanyia mabaya wanstahili kutulipa fidia pia.

Barani Africa waarabu na wazungu wote walihusika na biashara dhalili ya kuteka na kuuza binadam kama mbuzi.

Asante kwa maerlezo yako makini. In fact Hata kurle Kenya wamasai warlidao fidia za mabomu ya arldhini ya waingerleza enzi ya maumau.Kurle kagerla bunazi, kyaka, tunatakiwa turlipwe fidia za iddi amini.
Rlakini bakini kwenye Uzi japo kidogo kwa sasa tuna mjadirli Mwarlabu. Na yeye aturlipe maherla ya kiwese. Manake warle matajirli kwa kwerli. Hatutaki tende..
 
,

Asante kwa maerlezo yako makini. In fact Hata kurle Kenya wamasai warlidao fidia za mabomu ya arldhini ya waingerleza enzi ya maumau.Kurle kagerla bunazi, kyaka, tunatakiwa turlipwe fidia za iddi amini.
Rlakini bakini kwenye Uzi japo kidogo kwa sasa tuna mjadirli Mwarlabu. Na yeye aturlipe maherla ya kiwese. Manake warle matajirli kwa kwerli. Hatutaki tende..
2013 your avatar speaks by itself, that is why you like to put blame on Arabs. But your people are the one who were chasing your own people in the wilderness and sold them to the middle men (The Arabs, Indians, Africans) and hence to the market traders locally and Internationally, it was like farmers who sells their stock so the first to pay reparations are your own grand parents, and then you can include middle men who were resellers and transporters shippers including traders in the markets and also the governments that allowed and legitimized the trading in their lands and then the end users who used them as slaves.
However, I recall somewhere in the late 90's or later there was an UN sponsored international conference on slavery in South Africa where the Zanzibar Government during Dr. Salmin they attended and asked for reparations and were turned down because of the killings of 1964 revolution, they were told that they cannot ask for reparation because the killings and rapping and forced married the Arabs in Zanzibar disqualified their claim. And that included the URT since those things happened with the Tanganyikans particiption and after the April 1964 Union.
 
Last edited by a moderator:
Wayahudi wanasema, "mwarabu mwema ni aliyekufa tu" wako sahihi 100%

Kwani wayahudi wanatofauti gani na wazungu na wayahudi wanaosema "MTU MWEUSI NI NYANI NA SHETANI"!!!???

Wako sahihi kwa 200%
 
Kwani wayahudi wanatofauti gani na wazungu na wayahudi wanaosema "MTU MWEUSI NI NYANI NA SHETANI"!!!???

Wako sahihi kwa 200%
kwani wakituita manyani kuna ubaya gani?kwani sisi ni nyani kweli?hata sie tunaweza kuwaita tunavyotaka lakini itakuwa jina tu na si hali halisi,ndo maana mambo ya dini ni utumwa tu.
 
Kwani wayahudi wanatofauti gani na wazungu na wayahudi wanaosema "MTU MWEUSI NI NYANI NA SHETANI"!!!???

Wako sahihi kwa 200%

Teh teh teh.
Huyo dada Nyakageni msamehe bure.
Dr Slaa kapigwa chini na Fisadi mwenye Mapesa yake. Sasa kijana kapata wazimu. Aliahidiwa kuwa Mlinzi pale Tawi la Chadema Kamachumu lkn naona ndoto yake kaamshwa kabla haija kamilika.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom