1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 453
- 1,800
Huyu mtu anaona akiongea kwa jazba, akitukana Rais au akisema hovyo ndio ataonekana wa maaana.
Sasa hv ongea yake ya hovyo lengo ni kuwaaminisha wenzake kuwa ana uwezo wa kuwa mwenyekiti wa chama hicho, anaona Mbowe ameshindwa kazi.
Kwake yeye Lissu siasa ni harakati kabisa kabisa.
Kusema chama chake kinapewa hela na CCM ni dhahiri kuwa huyu mtu amechanganyikiwa.
Mwanasheria mzima unayejidai kuwa msomi unaongea vitu bila evidence.
Kwamba kuna hela nyingi ndani ya chama, kama huna hela wewe ndio unafikiri na wenzako, CCM imwage hela kwa Chadema inatafuta nini?
Nchi hii ambayo watu wameihangaikia kufika hapa ilipo uje ww mwenye mdomo kama chuchunge upewe nchi.
Kama alikosa nchi Augustine Mrema enzi hizo siasa ni siasa kweli mwaka 1995 akiwa NCCR Mageuzi ndio mtaweza ss hv waongo waongo nyie
Sasa hv ongea yake ya hovyo lengo ni kuwaaminisha wenzake kuwa ana uwezo wa kuwa mwenyekiti wa chama hicho, anaona Mbowe ameshindwa kazi.
Kwake yeye Lissu siasa ni harakati kabisa kabisa.
Kusema chama chake kinapewa hela na CCM ni dhahiri kuwa huyu mtu amechanganyikiwa.
Mwanasheria mzima unayejidai kuwa msomi unaongea vitu bila evidence.
Kwamba kuna hela nyingi ndani ya chama, kama huna hela wewe ndio unafikiri na wenzako, CCM imwage hela kwa Chadema inatafuta nini?
Nchi hii ambayo watu wameihangaikia kufika hapa ilipo uje ww mwenye mdomo kama chuchunge upewe nchi.
Kama alikosa nchi Augustine Mrema enzi hizo siasa ni siasa kweli mwaka 1995 akiwa NCCR Mageuzi ndio mtaweza ss hv waongo waongo nyie