kaida wa ngara
Member
- Jul 14, 2020
- 72
- 67
Hiyo ni habari mby xan kwa ccm kwani hapo walipo mavi yanawagonga chupi
Uzuri bado kuna makamanda wenye akili zao bado.M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B), Mhe. Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.
View attachment 1512217
CDF kote huko?Hiyo safari anatokea mbinguni.....maana story nyingi mwisho wa siku atasema anaahirisha kwa sababu cdf hajamuhakikishia usalama wake.
Lisu ni mtata mtata sana.
Ikiwa umatnzania utamsikiliza na ubishi usiufanye.Eti watanzania mi sio msukule
Ni wapuuziKila wanachosema kuhusu Lissu ni Segerea tu . Hivi hawa huwa hawana hija zingine zaidi ya kufunga watu kwa kubambikia kesi, kuteka hadi kuua??
Hii kitaalamu tunasema "ukikimbia nchale, ukisimama McHale"Serikali,ama kwa kutumia, Polisi, Mahakama,ama Tume ya Uchaguzi ama wanaCCM ama wasiojulikana,
Wataanza kumbuguzi,na ninategemea watambugudhi ili asichukue fomu Wala asitulie na ikiwezekana hata kumfunga kabisa.
Haya kama yakitokea, yatakua makosa makubwa Sana ya kiufundi na yataigharimu CCM na Taifa kitaifa na kimataifa.
Wakijichanganya tu,
Watakua wanamtangaza zaidi hasa kwa watu na mataifa yaliyokua hayafuatilii habari zake,kumbukA Kuna Mabalozi wa nchi nyingi hapa.kuna wananchi hapa.
Vyombo vya habari vyote vikubwa vitaripoti matukio haya,
Watu watamuonea huruma,
Jumuiya ya Kimataifa itapiga kelele,
Vyombo vya Haki vya Kimataifa. Vitapiga kelele,
Mwisho wa siku wataamua kumwacha na kumpa Haki yake ya kugombea,
matokeo yake watakua wamempigia kampeni wao wenyewe,na mwisho wa siku watu watampigia kura za huruma kwa mamilioni,
Jumuiya ya Kimataifa itataka kuona uhesabuji wa kura na kutangazwa matokeo unakua wa Haki.
Kwa muktadha huo Ushindi kwa Lissu utakua umechangiwa na Vyombo vya Dola.
Kumeza ngumu kutema ngumu.
Wasipombugudhi maana yake watu kwa maelfu watataka kwenda kumpokea,kumsikiliza na kumshangilia,habari zake zitazambaa kwa kasi ya ajabu,
Mwisho wa siku atachukua fomu.
Tundu Lissu Ni fundi wa kuongea,kujenga hoja,kujibu hoja na anauwezo wa kuvumilia madongo,kumbukA huyu Ni mwanasheria na wakili mzoefu.
Tutasikia mengi.
Kwahiyo risasi 40 walikuwa wanatania. We ni fala.Angetakiwa kweli kuuliwa eti na serikali Wala asingepona siku ya tukio na hata huko alipo kwa mabwana zake mabeberu ingekuwa kazikwa na kashaoza siku nyingi serikali haina haja na mgonjwa wa sonona wa Kazi gani kwa mfano,muulizeni mbowe na dereva wa lisu Alie fichwa Nani alitaka kumuuwa sio Kukariri maneno Kama kasuku sijui mnakwama wapi wana Sacco's ya mtaa wa ufipa
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B), Mhe. Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.
View attachment 1512217
Mpumbavu no mamako na uchi wake.Ngoja arudi pumbavu zake
Mpumbavu no mamako na uchi wake.