Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Narudi kama Mwananchi huru tarehe 27 Julai 2020, Serikali inipe Ulinzi. Kesi zangu 6 zina dhamana, sitakamatwa

Kelele za nini, si arudi tu bongo? Tunamsubilia terminal 3 aje ajibu mashtaka kwa nini aliwatoroka wadhamini wake! Anazurula na kuswampa kwa mabeberu kuichafua nchi!

Je watu wasafi huchafuliwa kwa mabeberu wa wapi? Ukitenda haki na msafi kama Yesu huna haja ya kuogopa kuchafuliwa na majirani.
 
Akitua tu Segerea, hilo ajiandae tu anasubiriwa kwa hamu .Kutia nia ya uraisi hakuondoi hatia aliyonayo.Hilo ajiandaew na akae analijua kuwa milango ya Segerea iko wazi inamsubiria na Court order ziko mikononi 24/7 za kumdaka awaishwe Segerea

Hilo ni yeye tu kujipanga kisaikolojia kuwa from Belgium to Segerea prison na uzuri hajasumbua interpol wala nini anakuja mwenyewe kwa nauli yake

Haji hadi barua ya chama chake ipate majibu chanya toka kwa wakuu wa usalama. I see this as a minus for chadema.
 
Anakiwa kuongelea kuhusu kwenda Segerea hayo ya sijui kwenda kura ya maoni sijui kuchukua fomu kugombea kutoka NEC hayo asahau breki ya kwanza Segerea .akikaa kule kama wiki tatu hivi napendekeza apelekwe mahakamani halafu kesi iahirishwe hadi october 30 itakaposikilizwa tena baada ya kupita uchaguzi mkuu tarehe 28 October 2020 halafu baada ya hapo isikilizwe mfululizo hadi hukumu itakapotolewa
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B), Mhe. Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.





SHUKRANI
Michango, maombi na sala zenu ndiyo zilizosababisa leo nazungumza habari za kurudi nyumbani.

Nimekaa Ubelgiji kwa miaka miwili na nusu. Niwashukuru majirani na wananchi wenzangu wa mji wa kwa kunihifadhi kwa miaka hii miwili kwa mapenzi na upendo mkubwa, kwa kuniwezesha kujiona sehemu ya maisha yao kwa kipindi hiki cha miaka miwili na nusu.

Nikisema nashukuru ni kwa niaba ya familia yangu, mke wangu watoto wangu na ndugu zangu popote walipo.

USALAMA WANGU
Waliokuja kuniua hiyo siku na waliowatuma au waliowaelekeza bado wanaitwa watu wasiojulikana. Maana yake ni kwamba hao watu bado wapo, na kwasababu bado wapo na hawajasema kama lengo lao la kuniua wameliacha, bado natafakari juu ya maisha yangu. Kwahiyo narudi nchini kwangu katika mazingira ambayo hatari dhidi yangu bado haijaondoka, lakini narudi tu, ni nyumbani kwetu – inabidi nirudi.

Katika hii miezi 6 iliyopita, Uongozi wangu wa Chama, Mwenyekiti wangu wa Taifa Mh. Mbowe ameandika barua kwa vyombo vya ulinzi na usalama wan nchi yetu ili kuomba nipatiwe ulinzi nitakaporudi nyumbani. Hadi sasa tunasubiri majibu ya wakuu wa vyombo vyetu vya usalama ambao ndiyo wana jukumu la kuhakiksha nipo salama nitakaporudi nyumbani. Hata kujibu tu barua hawajafanya hivyo

Naomba niseme hivi kwa ajili ya kumbukumbu, mimi sina na siwezi kuwa na jeshi binafsi la kunilinda. Sinan a siwezi kuwa na rafiki au taasisi au nchi itakayotoa jeshi la kunilinda mimi nitakaporudi nyumbani.

Wajibu wa kunilinda mimi kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania ni Jeshi la Polisi la Tanzania. Siyo jeshi la Polisi la Ubelgiji au la Kenya au la nchi nyingine – ni wajibu wa Jeshi la Polisi la Tanzania.

Ninarudi, nafahamu nikiwa mmojawapo wa wanaoomba kuteuliwa na chama change kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mujibu wa sheria zetu za Uchaguzi, Jeshi la Polisi lina wajibu kisheria wa kuwapatia ulinzi wale ambao wamejitokeza kuomba kuteuliwa kuwa wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Narudi nyumbani, natazamia, kuna kipindi nilisema knafuatwa fuatwa, polisi waingilie kati na wakapuuza na matokeo yake nikashambuliwa. Sasa narudi nyumbani, natarajia mara hii Jeshi la Polisi la Tanzania litatekeleza wajibu wake wa kunilinda na kulinda maisha yangu dhidi ya wale wanaowaita Watu wasiojulikana”

KESI MBALIMBALI (6) ZILIZOPO KISUTU
Nimeulizwa ulizwa sana na nimetishwa tishwa sana kwamba nikirudi nitakamatwa, nitakamatwa aidha kwa kesi ambazo zipo au pengine nitafunguliwa kesi nyingine. Naomba hili nalo jilizungumze for the record, kwenye kumbukumbu.

Nina kesi za jinai 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Na kesi zote hizi zinahusu kitu kimoja tu; maneno au kauli ambazo nimezitoa ambazo zinaikosoa au kuipinga au kutokukubaliana na sera, matendo au mipango ya Serikali ya Tanzania.

Kwa mijibu wa sheria za Tanzania kwa kadiri ninzavyozifahamu, yote niliyoyasema na kushitakiwa nayo, siyo makosa ya jinai.

Katika kesi hizo zote 6 zilizopo mahakamani, nilikuwa nje kwa dhamana ya mahakama na sijawahi kukimbia wala kuruka dhamana hiyo. Dunia inafahamu, Watanzania wanafahamu na Mahakama inafahamu sababu na mazingira yaliyofanya niondolewe nchini, na ambayo yamenifanya nibaki nje ya nchi hadi hapa ninapozungumza. Ndiyo maana katika kipindi chote hiki, katika kesi zote hizo 6, Mahakama haijafuta dhamana katika hata kesi moja.

Kwahiyo, narudi siyo kama mfungwa aliyekimbia dhamana; narudi siyo kama mhalifu aliyefutiwa dhamana; narudi kama raia huru – ambaye kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Tanzania anahesabiwa kuwa huru na kuwa hana hatia hadi hapo Mahakama itakapoamua vinginevyo.

Sasa, hivyo vitisho na kelele kuwa ukija utakamatwa, nitakamatwa kwasababu gani? Nitakamatwa kwa kosa lipi? Mahakama haijafuta dhamana kwa kesi hata moja kati ya hizo 6 nilizozisema.

Kama kuna agenda nyingine ya kunikamata ili kunizuia nisishiriki katika mchakato wa uchaguzi, sasa hilo ni linguine na tutalizungumza endapo litajitokeza.

Kwahiyo niseme tu kwamba, narudi kama raia huru wa Tanzania asiyekuwa na kosa lolote au jinai yoyote.

KUSHIRIKI MCHAKATO WA UCHAGUZI
Narudi ili kushiriki katika mchakato wa kuipatia nchi yetu viongozi wapya kwa miaka mitani inayokuja kuanzia tarehe ya uchaguzi mkuu.

Nawaombeni wananchi, nawaombeni wananchi mujitokeze kwa wingi wenu, kwa mamilioni yenu kila mahali nchini ili mwaka huu tuweze kuamua hatma ya nchi yetu.

Uchaguzi huu utakuwa uchaguzi muhimu kuliko uchaguzi mwingine wowote katika historia ya nchi yetu tangu uhuru.

Karibu nyumbani Tundu. Pole kwa yote yaliyokusibu.
 
Haji hadi barua ya chama chake ipate majibu chanya toka kwa wakuu wa usalama. I see this as a minus for chadema.
Atasubiri sanaaaaa!!!! .Kazi ya vyombo vya usalama sio kumlinda mhalifu ni kumkamata mhalifu.Lisu anatakiwa Segerea na court order zipo,pingu zipo na magari ya kumbeba yapo na askari wapo .Yeye anatakiwa kukamatwa halafu eti inaandikwa barua kwa vyombo vya ulinzi eti vimpe ulinzi mhalifu !! that is ridiculous!! Barua Chadema waliyoandika ilitakiwa isomeke hivi sisi kama chama tunachojali sheria tunaomba Lisu akitua tu mkamateni mpelekeni Segerea kama court order zinavyotaka
 
Anakiwa kuongelea kuhusu kwenda Segerea hayo ya sijui kwenda kura ya maoni sijui kuchukua fomu kugombea kutoka NEC hayo asahau breki ya kwanza Segerea .akikaa kule kama wiki tatu hivi napendekeza apelekwe mahakamani halafu kesi iahirishwe hadi october 30 itakaposikilizwa tena baada ya kupita uchaguzi mkuu tarehe 28 October 2020 halafu baada ya hapo isikilizwe mfululizo hadi hukumu itakapotolewa
A view of a sadist.
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B), Mhe. Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.





SHUKRANI
Michango, maombi na sala zenu ndiyo zilizosababisa leo nazungumza habari za kurudi nyumbani.

Nimekaa Ubelgiji kwa miaka miwili na nusu. Niwashukuru majirani na wananchi wenzangu wa mji wa kwa kunihifadhi kwa miaka hii miwili kwa mapenzi na upendo mkubwa, kwa kuniwezesha kujiona sehemu ya maisha yao kwa kipindi hiki cha miaka miwili na nusu.

Nikisema nashukuru ni kwa niaba ya familia yangu, mke wangu watoto wangu na ndugu zangu popote walipo.

USALAMA WANGU
Waliokuja kuniua hiyo siku na waliowatuma au waliowaelekeza bado wanaitwa watu wasiojulikana. Maana yake ni kwamba hao watu bado wapo, na kwasababu bado wapo na hawajasema kama lengo lao la kuniua wameliacha, bado natafakari juu ya maisha yangu. Kwahiyo narudi nchini kwangu katika mazingira ambayo hatari dhidi yangu bado haijaondoka, lakini narudi tu, ni nyumbani kwetu – inabidi nirudi.

Katika hii miezi 6 iliyopita, Uongozi wangu wa Chama, Mwenyekiti wangu wa Taifa Mh. Mbowe ameandika barua kwa vyombo vya ulinzi na usalama wan nchi yetu ili kuomba nipatiwe ulinzi nitakaporudi nyumbani. Hadi sasa tunasubiri majibu ya wakuu wa vyombo vyetu vya usalama ambao ndiyo wana jukumu la kuhakiksha nipo salama nitakaporudi nyumbani. Hata kujibu tu barua hawajafanya hivyo

Naomba niseme hivi kwa ajili ya kumbukumbu, mimi sina na siwezi kuwa na jeshi binafsi la kunilinda. Sinan a siwezi kuwa na rafiki au taasisi au nchi itakayotoa jeshi la kunilinda mimi nitakaporudi nyumbani.

Wajibu wa kunilinda mimi kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania ni Jeshi la Polisi la Tanzania. Siyo jeshi la Polisi la Ubelgiji au la Kenya au la nchi nyingine – ni wajibu wa Jeshi la Polisi la Tanzania.

Ninarudi, nafahamu nikiwa mmojawapo wa wanaoomba kuteuliwa na chama change kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mujibu wa sheria zetu za Uchaguzi, Jeshi la Polisi lina wajibu kisheria wa kuwapatia ulinzi wale ambao wamejitokeza kuomba kuteuliwa kuwa wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Narudi nyumbani, natazamia, kuna kipindi nilisema knafuatwa fuatwa, polisi waingilie kati na wakapuuza na matokeo yake nikashambuliwa. Sasa narudi nyumbani, natarajia mara hii Jeshi la Polisi la Tanzania litatekeleza wajibu wake wa kunilinda na kulinda maisha yangu dhidi ya wale wanaowaita Watu wasiojulikana”

KESI MBALIMBALI (6) ZILIZOPO KISUTU
Nimeulizwa ulizwa sana na nimetishwa tishwa sana kwamba nikirudi nitakamatwa, nitakamatwa aidha kwa kesi ambazo zipo au pengine nitafunguliwa kesi nyingine. Naomba hili nalo jilizungumze for the record, kwenye kumbukumbu.

Nina kesi za jinai 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Na kesi zote hizi zinahusu kitu kimoja tu; maneno au kauli ambazo nimezitoa ambazo zinaikosoa au kuipinga au kutokukubaliana na sera, matendo au mipango ya Serikali ya Tanzania.

Kwa mijibu wa sheria za Tanzania kwa kadiri ninzavyozifahamu, yote niliyoyasema na kushitakiwa nayo, siyo makosa ya jinai.

Katika kesi hizo zote 6 zilizopo mahakamani, nilikuwa nje kwa dhamana ya mahakama na sijawahi kukimbia wala kuruka dhamana hiyo. Dunia inafahamu, Watanzania wanafahamu na Mahakama inafahamu sababu na mazingira yaliyofanya niondolewe nchini, na ambayo yamenifanya nibaki nje ya nchi hadi hapa ninapozungumza. Ndiyo maana katika kipindi chote hiki, katika kesi zote hizo 6, Mahakama haijafuta dhamana katika hata kesi moja.

Kwahiyo, narudi siyo kama mfungwa aliyekimbia dhamana; narudi siyo kama mhalifu aliyefutiwa dhamana; narudi kama raia huru – ambaye kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Tanzania anahesabiwa kuwa huru na kuwa hana hatia hadi hapo Mahakama itakapoamua vinginevyo.

Sasa, hivyo vitisho na kelele kuwa ukija utakamatwa, nitakamatwa kwasababu gani? Nitakamatwa kwa kosa lipi? Mahakama haijafuta dhamana kwa kesi hata moja kati ya hizo 6 nilizozisema.

Kama kuna agenda nyingine ya kunikamata ili kunizuia nisishiriki katika mchakato wa uchaguzi, sasa hilo ni linguine na tutalizungumza endapo litajitokeza.

Kwahiyo niseme tu kwamba, narudi kama raia huru wa Tanzania asiyekuwa na kosa lolote au jinai yoyote.

KUSHIRIKI MCHAKATO WA UCHAGUZI
Narudi ili kushiriki katika mchakato wa kuipatia nchi yetu viongozi wapya kwa miaka mitani inayokuja kuanzia tarehe ya uchaguzi mkuu.

Nawaombeni wananchi, nawaombeni wananchi mujitokeze kwa wingi wenu, kwa mamilioni yenu kila mahali nchini ili mwaka huu tuweze kuamua hatma ya nchi yetu.

Uchaguzi huu utakuwa uchaguzi muhimu kuliko uchaguzi mwingine wowote katika historia ya nchi yetu tangu uhuru.

Pole Lissu, Tanzania ulioiacha sio hii tuliyo nayo sasa. Utafutika katika uso wa dunia na hakuna atakae hoji uko wapi na tutakusahau baada ya muda mfupi, Kumbuka maneno yako "Raisi anajua walionishambulia/ Jaribio la mauaji ya kisiasa( Political assassination)" Maneno haya ni uhaini..!! .Utakamatwaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!. Usijeeeeeeeeeeeeeee!!!!!. Gombea ukiwa hukohukooooooo
 
Those gunmen are still at large though. Na polisi wetu wanaamini sehemu salama kwa any person of interest ni LOCK-UP selo za polisi. Hawa polisi hawatompa Lissu ulinzi na no boira CHADEMA wafanye mpango wa kumlinda wao wenyewe
 
M/Mkiti wa CHADEMA Taifa(B), Mhe. Tundu Lissu, Julai 21, 2020 saa 7.00 mchana atazungumza na Watanzania, atakapohutubia taifa kuhusu safari ya kurejea nyumbani baada ya kuwa nje ya nchi takriban miaka 3 kwa matibabu, tangu aliponusurika jaribio la mauaji, Sep' 7, 2017, Dodoma-Tumaini Makene on twitter.





SHUKRANI
Michango, maombi na sala zenu ndiyo zilizosababisa leo nazungumza habari za kurudi nyumbani.

Nimekaa Ubelgiji kwa miaka miwili na nusu. Niwashukuru majirani na wananchi wenzangu kwa kunihifadhi kwa miaka hii miwili kwa mapenzi na upendo mkubwa, kwa kuniwezesha kujiona sehemu ya maisha yao kwa kipindi hiki cha miaka miwili na nusu.

Nikisema nashukuru ni kwa niaba ya familia yangu, mke wangu watoto wangu na ndugu zangu popote walipo.

USALAMA WANGU
Waliokuja kuniua hiyo siku na waliowatuma au waliowaelekeza bado wanaitwa watu wasiojulikana. Maana yake ni kwamba hao watu bado wapo, na kwasababu bado wapo na hawajasema kama lengo lao la kuniua wameliacha, bado natafakari juu ya maisha yangu. Kwahiyo narudi nchini kwangu katika mazingira ambayo hatari dhidi yangu bado haijaondoka, lakini narudi tu, ni nyumbani kwetu – inabidi nirudi.

Katika hii miezi 6 iliyopita, Uongozi wangu wa Chama, Mwenyekiti wangu wa Taifa Mh. Mbowe ameandika barua kwa vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi yetu ili kuomba nipatiwe ulinzi nitakaporudi nyumbani. Hadi sasa tunasubiri majibu ya wakuu wa vyombo vyetu vya usalama ambao ndiyo wana jukumu la kuhakiksha nipo salama nitakaporudi nyumbani. Hata kujibu tu barua hawajafanya hivyo

Naomba niseme hivi kwa ajili ya kumbukumbu, mimi sina na siwezi kuwa na jeshi binafsi la kunilinda. Sina na siwezi kuwa na rafiki au taasisi au nchi itakayotoa jeshi la kunilinda mimi nitakaporudi nyumbani.

Wajibu wa kunilinda mimi kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania ni Jeshi la Polisi la Tanzania. Siyo jeshi la Polisi la Ubelgiji au la Kenya au la nchi nyingine – ni wajibu wa Jeshi la Polisi la Tanzania.

Ninarudi, nafahamu nikiwa mmojawapo wa wanaoomba kuteuliwa na chama change kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa mujibu wa sheria zetu za Uchaguzi, Jeshi la Polisi lina wajibu kisheria wa kuwapatia ulinzi wale ambao wamejitokeza kuomba kuteuliwa kuwa wagombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Narudi nyumbani, natazamia, kuna kipindi nilisema knafuatwa fuatwa, polisi waingilie kati na wakapuuza na matokeo yake nikashambuliwa. Sasa narudi nyumbani, natarajia mara hii Jeshi la Polisi la Tanzania litatekeleza wajibu wake wa kunilinda na kulinda maisha yangu dhidi ya wale wanaowaita "watu wasiojulikana”

KESI MBALIMBALI (6) ZILIZOPO KISUTU
Nimeulizwa ulizwa sana na nimetishwa tishwa sana kwamba nikirudi nitakamatwa, nitakamatwa aidha kwa kesi ambazo zipo au pengine nitafunguliwa kesi nyingine. Naomba hili nalo jilizungumze for the record, kwenye kumbukumbu.

Nina kesi za jinai 6 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu. Na kesi zote hizi zinahusu kitu kimoja tu; maneno au kauli ambazo nimezitoa ambazo zinaikosoa au kuipinga au kutokukubaliana na sera, matendo au mipango ya Serikali ya Tanzania.

Kwa mijibu wa sheria za Tanzania kwa kadiri ninzavyozifahamu, yote niliyoyasema na kushitakiwa nayo, siyo makosa ya jinai.

Katika kesi hizo zote 6 zilizopo mahakamani, nilikuwa nje kwa dhamana ya mahakama na sijawahi kukimbia wala kuruka dhamana hiyo. Dunia inafahamu, Watanzania wanafahamu na Mahakama inafahamu sababu na mazingira yaliyofanya niondolewe nchini, na ambayo yamenifanya nibaki nje ya nchi hadi hapa ninapozungumza. Ndiyo maana katika kipindi chote hiki, katika kesi zote hizo 6, Mahakama haijafuta dhamana katika hata kesi moja.

Kwahiyo, narudi siyo kama mfungwa aliyekimbia dhamana; narudi siyo kama mhalifu aliyefutiwa dhamana; narudi kama raia huru – ambaye kwa mujibu wa Katiba na Sheria za Tanzania anahesabiwa kuwa huru na kuwa hana hatia hadi hapo Mahakama itakapoamua vinginevyo.

Sasa, hivyo vitisho na kelele kuwa ukija utakamatwa, nitakamatwa kwasababu gani? Nitakamatwa kwa kosa lipi? Mahakama haijafuta dhamana kwa kesi hata moja kati ya hizo 6 nilizozisema.

Kama kuna agenda nyingine ya kunikamata ili kunizuia nisishiriki katika mchakato wa uchaguzi, sasa hilo ni linguine na tutalizungumza endapo litajitokeza.

Kwahiyo niseme tu kwamba, narudi kama raia huru wa Tanzania asiyekuwa na kosa lolote au jinai yoyote.

KUSHIRIKI MCHAKATO WA UCHAGUZI
Narudi ili kushiriki katika mchakato wa kuipatia nchi yetu viongozi wapya kwa miaka mitani inayokuja kuanzia tarehe ya uchaguzi mkuu.

Nawaombeni wananchi, nawaombeni wananchi mujitokeze kwa wingi wenu, kwa mamilioni yenu kila mahali nchini ili mwaka huu tuweze kuamua hatma ya nchi yetu.

Uchaguzi huu utakuwa uchaguzi muhimu kuliko uchaguzi mwingine wowote katika historia ya nchi yetu tangu uhuru.

Uchaguzi huu utaamua kama Tanzania itaendelea kuwa nchi ya vyama vingi vya siasa; kuwa nchi inayoheshimu haki za binadamu; kuwa nchi inayoheshimu utu. Au, uchaguzi huu utaamu tuwe nchi itakayorudi katika zama za giza za utawala wa chama kimoja cha mfumo wa utawala usiojali haki za binadamu ambako neon la mkuu wa nchi ndiyo sheria ya nchi.

Nawaomba, nawaombeni kwa mamilioni yenu katika vyama vyenu, kila moja wenu ajitokeze na ajiandae kushiriki kikamilifu katika mchakato huu wa uchaguzi.

Baada ya haya, naomba niwashukuruni sana. Naomba tukutane siku ya Jumatatu ijayo mchana, nitakapokuwa narejea nyumbani kwetu kuja kukutana na nyie na kuja kuendelea kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu mbele.

Nawashukuruni na Mungu awabariki.

Ahsanteni sana!

karibu nyumbani shujaa wetu wa uhuru mpya.... karibu baba. karibu tena nyumbani.
 
Air Tanzania imefufuliwa, SGR imekamilika zaidi ya 80%, Stiglers Gorge inakamilika punde, vijana Wanapata mikopo kusoma Elimu ya juu, ELIMU BILA MALIPO(Darasa la kwanza-kidato Cha nne) Watazania hawataki Maandamano na Malalamiko.
 
Mungu azidi kukulinda na akusimie, Karibu sana nyumbani - we missed u a lot our Brother!!

"Hope for the BEST comrade and welcome back home"
 
Kuna watu wanataka utawala wa Sheria lakini wenyewe wanaogopa hizo hizo Sheria. Njoo nyumbani boss upambane na kesi zako
 
Back
Top Bottom