Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,294
- 10,970
Poyoyo ni ni wewe mlamba viatu wa ufipaNimewauliza, kati yake na nyie mapoyoyo nani mjinga? It is you obviously
Poyoyo ni ni wewe mlamba viatu wa ufipaNimewauliza, kati yake na nyie mapoyoyo nani mjinga? It is you obviously
Unanipotezea muda mbwa wewePoyoyo ni ni wewe mlamba viatu wa ufipa
Wahi kunywa madawa ya kulevya ya mbowe punga weweUnanipotezea muda mbwa wewe
Kwenda kula birianiWameitwa kwenda kufanya Ufisadi?
Imesokia jiwe amewaita wafanyaboashara nchi nzima? Ndiyo kutisika kwenyewe utaona mambo magumu na hayaendiWatanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.
Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.
Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
Sio kwelinchi iko tuli kama maji ya mtungini.
Swali zuri sana!Wameitwa kwenda kufanya Ufisadi?
Rais kuongea na wafanyabiashara ni jambo lenye afya kwa ustawi wa Taifa!Imesokia jiwe amewaita wafanyaboashara nchi nzima? Ndiyo kutisika kwenyewe utaona mambo magumu na hayaendi