Tuliaminishwa wakiguswa tu nchi itatikisika, mbona wameguswa na nchi imetulia?

Aguse hayo mafisadi papa au wauza sembe papa, aone kama nchi haitatikisika, akina Escrow, EPA,RICHMOND, IPTL, nk...afu waguse mapapa wa sembe akina Rizmoko, Baraka K, Chief.....
 
Ukizoea muvi za kibongo na akili inakuwa level ile ile..
Umeambiwa wakiguswa nchi itatikisika... Mgusaji kanjanja kawagusa kina TID kinyume cha utaratibu we ndo tayari unafikiri muvi imeisha...!
 
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.

Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.

Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
Pia Ufisadi kama wa Richmond, wa kulipa mil.152 kwa siku ambao hadi leo tunamlipa huyu jamaa mwenye ubia na Vidacom.
 
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.

Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.

Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
Kama tulivyoaminishwa mahakama ya mafisadi ikiisha watafikishwa imeisha tunaambiwa Babaambiliki hafukui Makaburi. Kama kwa mafisadi tumefyanta VP kwa wazee WA Sembe?
 
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.

Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.

Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!

Ni nani aliyesema wakiguswa nchi itatikisika?
 
Manji kashitakiwa kwa kosa moja tu la kutumia na siyo kufanya biashara ya dawa za kulevya.
 
Hamjiulizi kwanini rais nae alikimbia na kuhaha usiku na mchana mpaka kumteua na kumuapisha kamishana na kuchukua majina ya wahusika kimya kimya kwa makonda bila kuwataja.
 
Akili za sisi watanzania ni vacuum kabisa. Yaani mmepeleka Manji Kisutu kwa kesi ya kipuuzi eti mtumiaji wa madawa ya kulevya half mnajisifia?? Sijui nani katuloga sisi??

Worse enough,mlichokifanya siyo chumvi mmeitia kwenye mboga kua itakolea faster,subirini Manji afanye maamuzi magumu ndo mtaona impact yake.

Imekua ni serikali ya kupambana na matajiri. Tambueni alopewa kapewa tu
 
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.

Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.

Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
Wewe ni kila.za usiyeelewa chochote...kwa akili yako unafikiri Manjia ataendelea kufanya biashara kubwa Tanzania? Kwa akili yako ataendelea kuweka pesa zake hapa? Kwa akili yako watu kama akina Mohammed Dewji na Bakhresa wataendelea kumwamini Le Mburulazzz? Nikusaidie tu kukwambia kuwa wafanyabiashara wote wakubwa kwa sasa hawatawekeza tena Tanzania, na wengine watahamisha pesa zao zote hapa, ifike mahali mwache ujinga!
 
Nakumbuka Makonda na Siro walipoimba ule wimbo wa mooooto utawaka leooo mooooto utawaka leooo,

Hahahaha ndo akakamatwa usiku huo Masogange
 
Nachukia sana, Watu au Mtu anayepotosha Jamii na Taifa. Tumia akili unapoamua kuanzia Mada. Tuwe na uhakika tunacho Post. Hatujengi Taifa, tunabomoa Taifa.


Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.

Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.

Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
 
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.

Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.

Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
nan?? kaguswa?wema na TID
 
kama haijatikisika imekuwaje awamu ya tatu ikaenda kimya kimya

AKILI KUMKICHWA
Awamu ya 3 inaendeshwa kisheria na watalaam, awam zilizopita zimeendeshwa na wanasiasa. hata hivyo dhana ya kutoguswa kina Fulani ni mbwembwe tu.serikali ikiamua wanaguswa na mambo yanaendelea tu. cha msingi vigezo na msharti vizingatiwe
 
Watanzania tujifunze uzalendo tuache uoga.Wakati wa skendo ya majengo ya NSSF tuliaminishwa kwamba baadhi ya wafanyabiashara wakiguswa tu nchi itatikisika, wabunge wa wakati ule wakapiga makofi ya kushangilia.

Leo miongoni mwa walewale wafanyabiashara wameguswa na nchi iko tuli kama maji ya mtungini.

Kwa kweli nadharia nyingine si za kutilia maanani.Nafikiria tu kama hatua hizi zingeanza kuchukuliwa wakati ule pengine hata ufisadi aina ya escrow usingefanyika.Watanzania tuwe wakweli na wazalendo!
Haya sasa, mwenzio hatimaye kaomba poo ameamua kuwaita hao wafanyabiashara tarh 7 June, sasa sijui kati yako na yeye nani mjinga!
 
Back
Top Bottom