Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,968
- 6,135
Ni takribani miaka 16 sasa, tangu kutokea kwa tukio la kushtusha pale mataa ya Ubungo mara baada ya majambazi kadhaa tena wengine kusadikiwa ni kutoka lugalo kuvamia magari ya fedha za NMB zilizokuwa zinasafirishwa kuelekea Morogoro.
Unalikumbuka tukio hilo? Nini hasa kilijiri? Usipite bila kuweka neno hapa? Karibuni
Unalikumbuka tukio hilo? Nini hasa kilijiri? Usipite bila kuweka neno hapa? Karibuni