TRC sehemu ya kununua tiketi za SGR online haifanyi kazi, shughulikieni

Cute Wife

JF-Expert Member
Nov 17, 2023
2,011
5,188
Wakuu,

Nataka nikaionje SGR lakini naona TRC Railway wanataka kunihujumu. Website yao inafunguka vizuri tu lakini ukifika sehemu ya kukata tiketi za SGR inakwama. Kuna nini? Au wametoa taarifa huko kuwa sight yao kwenye kipengele hiko ipo down?

Ujumbe uwafikie waheshimiwa TRC, fanyeni mambo tukaone kama ni kweli ngedere na bundi husababisha umeme kukatika :BearLaugh: :BearLaugh:

Tanzania Railways Corp
 
Huu ni Uhujumu uchumi wa wazi kabisa. In most cases unaweza kuingia kwenye system ukate ticket an unakuta nafasi ipo moja au mbili tu. Siku ya safari unakuta almost 35% ya behewa halina watu

Hata kama kuna watu ambao huwa wanaachwa au wanaahirisha safari at last minute, namba ya empty seats huwa ni kubwa mno kuliko reality
 
Huu ni Uhujumu uchumi wa wazi kabisa. In most cases unaweza kuingia kwenye system ukate ticket an unakuta nafasi ipo moja au mbili tu. Siku ya safari unakuta almost 35% ya behewa halina watu

Hata kama kuna watu ambao huwa wanaachwa au wanaahirisha safari at last minute, namba ya empty seats huwa ni kubwa mno kuliko reality
Hili tatizo bado lipo? Maana walisema wamelishughulikia
 
Back
Top Bottom