mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,151
Inaonekana CUF ina encourage timu za taifa kujitoa katika mashindano. Hii ni kwa sababu adhabu ni ndogo ssna mil 44 hata majimaji wansweza kulipa hii faini. Halafu eti unawapa adhsbu ya kutoshiriki mashindano ya CUF kwa mwaka huo wakati ndicho walikitaka wenyewe.
Nashauri adhabu ingekuwa Tsh mil 200 na kufungia miaka mitatu kutoshiriki mashindano yoyote ya CAF kwa timu za taifa na club. Otherwise kwa adhabu iliyopo sass hata km mimi ningejitoa kwa sababu kuna unafuu zaidi kujitoa kiliko kuendelea na mashindano_!
Nashauri adhabu ingekuwa Tsh mil 200 na kufungia miaka mitatu kutoshiriki mashindano yoyote ya CAF kwa timu za taifa na club. Otherwise kwa adhabu iliyopo sass hata km mimi ningejitoa kwa sababu kuna unafuu zaidi kujitoa kiliko kuendelea na mashindano_!