The Radar Scandal: Investigation & Progress

Kama rada imezimwa kwa mwezi sasa, sijapata habari kwenye redio yangu ya mbao kama kuna ndege zozote zimeanguka au nchi imevamiwa. Kumbe tungeweza kuliendeleza libeneke kwa mwezi mzima bila ya hiyo rada. Tuliihitaji kweli? Nauliza tu....
 
ningependa kujibiwa na kikwete hadi sasa hiyo rada imeingiza revenue ya kiasi gani? ......manakae alisema tusizungumzie ununuzi tu, tuzungumzie na faida. na atuambie tuijue faida yake
 
Anyway, let's not make the issue too broad.

Fundi mchundo hapo juu kasema kweli, Redundancy!!!!

Kuendesha system kama hiyo kwa kutegemea ups moja ni aibu. Technical staff should have foreseen it!!
 
Anyway, let's not make the issue too broad.

Fundi mchundo hapo juu kasema kweli, Redundancy!!!!

Kuendesha system kama hiyo kwa kutegemea ups moja ni aibu. Technical staff should have foreseen it!!
 
Wanajamii forums, leo nimeona kwa juu juu habari fulani kwenye magazeti kwamba ile radar iliyokuwa mbovu imepona, baada ya kurekebisha sijui UPS, sijui kitu gani..
Mwenye habari zaidi naomba tujulishane, ilikuwa na tatizo gani? na kweli imepona au ndo zilezile propaganda
 
Komando Nape kaibuka kidedea katika sakata la mradi wa jengo la umoja wa vijana.Namsifu Kikwete kwa kufanikisha hilo Dodoma.Ambacho sikuelewa ni Bwana Chenge kuwa mjumbe tena wa kamati ya kuchunguza tuhuma hizo.Mtu huyu anahusishwa na tuhuma nzito mbalimbali za ufisadi.Kwangu mimi haingii akilini inakuaje tena mtu huyo huyo achunguze mafisadi wenzie.Jamani haya mawazo gani, kama sio kutaka kulindana ni nini.Kikwete changamka tusonge mbele,tutaendelea kurudi nyuma mpaka lini?
 
Huyu chenge wa nini tena jamani? Si anafanyiwa uchunguzi huyu? Mbona watanzania tun ataka kufanywa wajinga?CCM acheni hizo,watanzania wa sasa si wale mliowazoea,kama hamuamini subirini 2010
 
Komando Nape kaibuka kidedea katika sakata la mradi wa jengo la umoja wa vijana.Namsifu Kikwete kwa kufanikisha hilo Dodoma.Ambacho sikuelewa ni Bwana Chenge kuwa mjumbe tena wa kamati ya kuchunguza tuhuma hizo.Mtu huyu anahusishwa na tuhuma nzito mbalimbali za ufisadi.Kwangu mimi haingii akilini inakuaje tena mtu huyo huyo achunguze mafisadi wenzie.Jamani haya mawazo gani, kama sio kutaka kulindana ni nini.Kikwete changamka tusonge mbele,tutaendelea kurudi nyuma mpaka lini?

Hapo ndipo napozidi kuona kua CCM ni wababaishaji........hamna chama apo
 
Hapo ndipo napozidi kuona kua CCM ni wababaishaji........hamna chama apo

Hiki ni chama cha kifisadi kikiongozwa na mwenyekiti fisadi, sasa unategemea nini zaidi ya maigizo tunayoyaona kila siku. Kikwete hakuwahi kukanusha kwamba yeye si fisadi kama alivyotuhumiwa!
 
Komando Nape kaibuka kidedea katika sakata la mradi wa jengo la umoja wa vijana.Namsifu Kikwete kwa kufanikisha hilo Dodoma.Ambacho sikuelewa ni Bwana Chenge kuwa mjumbe tena wa kamati ya kuchunguza tuhuma hizo.Mtu huyu anahusishwa na tuhuma nzito mbalimbali za ufisadi.Kwangu mimi haingii akilini inakuaje tena mtu huyo huyo achunguze mafisadi wenzie.Jamani haya mawazo gani, kama sio kutaka kulindana ni nini.Kikwete changamka tusonge mbele,tutaendelea kurudi nyuma mpaka lini?[/QUOTE]

MAKAMBA ATAJIBU HIZI:- Jamani tuacheni na chama chetu, haya ni mambo ya kichama, na jengo la UVCCM ni mali ya chama ambayo Chenge ni mwanachama wake.

Kwani nafasi ya Jeshi la POLICE na TAKUKURU iko wapi hapa..
Lakini boss ya wizara ya mambo ya ndani naye ni mjumbe mwenye cheo cha juu UVCCM...kazi kweli kweli..
 
Tulisha sema hatuna serikali mkabiiiiiiiiiisha weeeeeeeeeeee angalia sasa fisadi anamchunguza fisadi mwenzie sijui inakaaje hapo...........tutasikia kuwa mradi ulifuata taratibu zote za kisheria hapo hawa wanasafishana tu,,,,,,,
 
Tulisha sema hatuna serikali mkabiiiiiiiiiisha weeeeeeeeeeee angalia sasa fisadi anamchunguza fisadi mwenzie sijui inakaaje hapo...........tutasikia kuwa mradi ulifuata taratibu zote za kisheria hapo hawa wanasafishana tu,,,,,,,

Hata Yesu alisema "Kipofu akimuongoza kipofu mwenzie wote watatumbukia shimoni" Hapo muundaji wa tume ana lake jamb.
 
JK kachemka hana jimpya nilijua hawezi kukemea UFISADA zaidi ya KUUKUMBATIA kama alivyofanya kwenye hotuba yake ya mwisho.
 
Nachoka kabisa Chenge again!!! yani mtu anatuhumiwa bado anawekwa kwenye kamati!! Fisadi kumchunguza fisadi!!! hatari sana...
 
Ukishangaa ya Musa utaona ya Farao.
Fisadi akimchunguza fisadi mwenzake tayari majibu tunayo.Hilo ni changa la macho.Ila ni kuwa hakuna kilichofichika hata watumie pesa kiasi gani kwa hilo la jengo hawawezi kumdanganya mtu.
Hilo jengo lilijengwa kwa pesa ya wananchi na sio pesa ya CCM.Wanavuta toka mapato ya nchi halafu wanajigawia.Laana ya Mungu itawatafuna na watendelea kujichanganya tu.
Eti Nape amefungiwa na mbinguni.Hapo Mungu atamchapa mtu kiboko.Binadamu mwizi na fisadi huwezi kuwa na mamlaka ya kumfungia mtu mbinguni zaidi ya kujifungia mwenyewe.
Mkataba ule hata mtoto aliye chekechea hataukubali walahi.......
 
Back
Top Bottom