...kwa utaalamu gani wa sheria alionao...?
Nachoka kabisa
Jamani naomba kuuliza hivi mwizi anaweza kumuhukumu mwizi mwenzie?
...Ibra, Hao ndio Chi CHi eM wanajaribu kutusahaulisha kuwa Chenge ni fisadi aliyekubuhu na ndio maana wamemuweka kwenye hiyo tume ni njia ya kumrudisha kundini..Ufisadi hauwezi kwisha kwa njia hii jamaa anaendelea kujitafunia tujisenti twake kiulainiiiiiiiiiiHawa CCM nao ni mabwege sana. Huyu Chenge ni mmoja wa watu ambaye amewapaka matope kwa questionable integrity na kwa umbumbumbu wake wa Sheria ameiingiza nchi kwenye matatizo makubwa sana na Kuifanya CCM ionekane ni ya MAfisadi leo wanampa kazi ya kupitia Mktaba wa UVCCM na mwekezaji; kwa utaalamu gani wa sheria alionao wakati kazi yake Kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali WAKATI WA AWAMU YA 3 aliprove hana utaalamu wowote?
Nachoka kabisa