TCRA, kampuni za Google, Facebook, Whatsapp, Instagram zakwepa kodi ya mabilioni Tanzania

Ndio mkuu. Inaoperate bure apa Tanzania.
Na ishu ya kulipia, na wao kupata faida wanaipata kwy matangazo ya biashara inayotokeaga unavyofungua Facebook ktk computer. Na ndio maana matumizi ya Facebook ktk simu inawapunguzia faida. Wanabaki wanapata faida yao ktk Megabytes za kifurushi.
Kuna kampuni ambayo haina ofisi Tanzania, haijasajiliwa Tanzania na inalipa kodi Tanzania?
 
Suala si Google inahitaji kifurushi au haihitaji kifurushi.

Suala ni, unapolipia kifurushi unalipia nini? Unalipia Google access au internet access?

Unapolipia kifurushi unamlipa nani?

Unamlipa Google au kampuni yako ya simu?
VIPI KUHUSU ONLINE ADVERTS ZA BIDHAA ZA BONGO KIBAO ZINAZOWAINGIZIA MAMILLIONI YA FWEZA
 
VIPI KUHUSU ONLINE ADVERTS ZA BIDHAA ZA BONGO KIBAO ZINAZOWAINGIZIA MAMILLIONI YA FWEZA
Tatizo kubwa ni kwamba huna jinsi ya kumtoza kodi mtu ambaye hana ofisi Tanzania. Online si Tanzania. Hawajafungua ofisi Tanzania. Hawajawaomba Watanzania watumie mtandao wao. Hawajawakataza Watanzania kuufungia mtandao wao. Utaanzaje kuwatoza kodi?

Kuna kampuni gani ambayo haina ofisi, haina server na haijasajiliwa Tanzania ambayo inalipa kodi Tanzania?
 
Unachanganya mambo! Kwanza unatakiwa kufahamu Google wana permanent European Office in Ireland na pale kuna Google workforce na Google operations leading to Google's business zinafanyika pale! Katika mazingira kama hayo Google lazima walipe kodi Ireland.

Pamoja na Ireland, pia wana operational centers kwenye baadhi ya nchi na kazi kubwa ya hizi centers ni kufanya sales support for European HQ. Lakini ikiwa kwenye some of these operational centers kunafanyika active sales activities, of course, Google watalazimika kulipa! Kinyume chake, none of the above business environment exists in Tanzania with Google or Facebook! www.google.co.tz is just search engine with .tz domain (Tanzania) but hiyo sip business entity with permanent establishment in Tanzania. Under existing laws huwezi kuwakata kodi labda utengeneze mfumo mgeni kabisa wa kodi kwenye e-commerce and Internet business duniani. Na hapo lazima iibuke legal battle kv utakuwa unafanya double taxation... WHY?ALL activities zinazohusika na uuzaji matangazo Tanzania zinafanyika nchi nyingine na huko wanalipa kodi!

www.google.co.tz
hii Tanzania inatumika kama serch Engine au Browser??https://www.tznic.or.tz/index.php/en/domains/price-list
Je .co.tz wamelipia Tznic ?
kama wanalipia website kwanini wasilipie browser?
 
Tatizo kubwa ni kwamba huna jinsi ya kumtoza kodi mtu ambaye hana ofisi Tanzania. Online si Tanzania. Hawajafungua ofisi Tanzania. Hawajawaomba Watanzania watumie mtandao wao. Hawajawakataza Watanzania kuufungia mtandao wao. Utaanzaje kuwatoza kodi?

Kuna kampuni gani ambayo haina ofisi, haina server na haijasajiliwa Tanzania ambayo inalipa kodi Tanzania?
Facebook paid 3.6% tax on profits outside of US last year
How US companies stash billions overseas without paying taxes
inawezekana chief, ni mipango tu sema hata hizi zilizo wazi bado changamoto.
 
www.google.co.tz
hii Tanzania inatumika kama serch Engine au Browser??https://www.tznic.or.tz/index.php/en/domains/price-list
Je .co.tz wamelipia Tznic ?
kama wanalipia website kwanini wasilipie browser?
Browser kivipi?! Ikiwa browser what about Google Chrome, Fire Fox, Internet Explorer, Safari n.k hizo tutaziitaje!!

Halafu hizo ulizoonesha sio kodi... are just fee! Hiyo fee iwe wanailipa kampuni ya Kitanzania or otherwise bado sio kigezo cha wao kulipa kodi Tanzania! Kwa mfano, kama hawajabadilisha, Jamiiforums.com hosting company wao (aliyewauzia .com domain) alikuwa GoDaddy
kwahiyo monthly na annual fee JF wanalipa kwa GoDaddy ambao ni American company but kodi JF wanalipa Tanzania!
 
Mtu kabla hujasoma hiyo habari unaweza kufahamu kwamba hiyo issue haihusiani na mazingira ya Tanzania.

Mosi, ili kukwepa gharama kubwa za kodi za US, Facebook walifungua subsidiary Ireland. Kwahiyo shughuli za Facebook outside North America zinafanyika Ireland; which means mapato yote generated from outside North America, kodi yake inaenda Ireland na sio US! Sasa hao wanalilia kv wanafahamu endapo FB wasingefungua Permanent Office in Ireland, manake kodi ingeenda US! Hata Google nao wana permanent office in Ireland! These guys love Ireland kv jamaa kodi yao ni ndogo sana compared to other countries including US!
 
Hujajibu swali nililokuuliza.

Facebook wanalipa kodi sehemu ambazo wana ofisi. Google wanafanya hivyo pia.

Kenya wanaweza kuwatoza kodi Google. Google wana ofisi Nairobi. Wamesajiliwa. Wakenya wanaweza kuwatoza kodi Google.

Tunachotakiwa ni kukuza uchumi tuwe na market base na infrastructure ya kutosha ku attract Google waje kufungua ofisi na kulipa kodi hapa Tanzania.

Ukitaka Google walipe kodi wakasema hatulipi sasa hivi utafanyaje?

Kanuni moja kubwa ya taxation, wale waliosoma taxation watakumbuka, ni kwamba taxation must be enforceable. Huwezi kutaka kutoza kodi ambayo hata huna uwezo wa kuikusanya wala uwezo wa kujua ukusanye nini.

Ona ramani ya sehemu ambazo Google ina ofisi. Kuna nchi 40 Google ina ofisi. Tanzania haimo.

Google locations – Company – Google
 
Mmh yaani unapewa huduma ya bure bado unataka wakulipe kodi! Mmh ww kiboko anzisha apps zako basi!
 
Kabla ya kusema tutoze kodi hiki na kile ni muhimu kuelewa kanuni za msingi za kodi. Pata shule ya bure kama hujui. Mimi nililipia ndiyo maana hata najua kwamba kuna kanuni za kodi. Kuna watu naona wanataka kutoza kodi tu bila hata kujua kanuni za kodi zikoje.

Read more: http://www.businessdictionary.com/definition/taxation-principles.html#ixzz4B5eiR700

Basic concepts by which a government is meant to be guided in designing and implementing an equitable taxation regime. These include:
(1) Adequacy: taxes should be just-enough to generate revenue required for provision of essential public services.

(2) Broad Basing: taxes should be spread over as wide as possible section of the population, or sectors of economy, to minimize the individual tax burden.

(3) Compatibility: taxes should be coordinated to ensure tax neutrality and overall objectives of good governance.

(4) Convenience: taxes should be enforced in a manner that facilitates voluntary compliance to the maximum extent possible.

(5) Earmarking: tax revenue from a specific source should be dedicated to a specific purpose only when there is a direct cost-and-benefit link between the tax source and the expenditure, such as use of motor fuel tax for road maintenance.

(6) Efficiency: tax collection efforts should not cost an inordinately high percentage of tax revenues.

(7) Equity: taxes should equally burden all individuals or entities in similar economic circumstances.

(8) Neutrality: taxes should not favor any one group or sector over another, and should not be designed to interfere-with or influence individual decisions-making.

(9) Predictability: collection of taxes should reinforce their inevitability and regularity.

(10) Restricted exemptions: tax exemptions must only be for specific purposes (such as to encourage investment) and for a limited period.

(11) Simplicity: tax assessment and determination should be easy to understand by an average taxpayer.



Read more: http://www.businessdictionary.com/definition/taxation-principles.html#ixzz4B5eTrGAe
 
A rent seeking government in this age is doomed to fail.

Naona watu bado wapo kwenye mawazo ya rent seeking.
 
Kuna kampuni ambayo haina ofisi Tanzania, haijasajiliwa Tanzania na inalipa kodi Tanzania?
Mkuu zipo kampuni za ndege hazijasajiliwa Tanzania lakini zinatulipa landing fee, parking fee, hangar fee na navigation fee.. Regardless watatoa huduma kwa Watanzania au wageni. Hapa haya makampuni ya mtandao lazima yalipe kodi kwa sababu yanatoa huduma hapa kwetu +255. Kinachotufanya tunapoteza hizi Kodi ni kuamini kwamba sisi tunawategemea wao kuliko wao kututegemea sisi kama Wateja.

Israel waliwahi kua na mjadala kama huu.. Pitia hapa mkuu Israel to tax foreign tech firms like Google, Facebook and Amazon for online business nafikiri utanielewesha zaidi pia kwa sababu wametumia kimombo hapo.
 
Tutaamini vipi kuwa ulikuwa kwenye kitengo kinachokuwezesha kupata taarifa za namna gani kodi zinatozwa kwa kukosa ofisi? Hivi hao Google wanalipa kodi kwenye nchi za jumuia ya Ulaya kwa sababu seva ziko huko? Halafu mnasema Google haijasajiliwa Tanzania, inatoa wapi nguvu za kuwa na www.google.co.tz ?

Sitaki uamini chochote, nataka ujue. Chunguza kila kisemwacho.

Google wanalipa kodi Ireland, wana ofisi Ireland. Nchi yoyote ambayo wana servers nchi hiyo ina mwanya wa kuwalipisha kodi.

Huhitaji kusajiliwa Tanzania kuwa na website ya .co.tz.

Unaweza kuwa na kampuni iko Marekani, hailipi kodi Tanzania, inafanya kazi dunia nzima na ina website ya .co.tz

Tanzania haina monopoly na hiyo domain name.

How to Register Your Own Domain Name: What to Do, Which Registrar, etc (thesitewizard.com)

Soma principles za taxation hapo juu uone ugumu wa kutoza kodi hii kampuni kama Google.
 
Mkuu zipo kampuni za ndege hazijasajiliwa Tanzania lakini zinatulipa landing fee, parking fee, hangar fee na navigation fee.. Regardless watatoa huduma kwa Watanzania au wageni. Hapa haya makampuni ya mtandao lazima yalipe kodi kwa sababu yanatoa huduma hapa kwetu +255. Kinachotufanya tunapoteza hizi Kodi ni kuamini kwamba sisi tunawategemea wao kuliko wao kututegemea sisi kama Wateja.

Israel waliwahi kua na mjadala kama huu.. Pitia hapa mkuu Israel to tax foreign tech firms like Google, Facebook and Amazon for online business nafikiri utanielewesha zaidi pia kwa sababu wametumia kimombo hapo.
Soma principles za taxation. Halafu tofautisha kodi na fee.

Hizo kampuni za ndege zinalipa fee kama ulivyosema. Na unaweza kuzihesabu ndege ngapi zimetua mara ngapi na kwa kila mara ndege inapotua naitoza fee kiasi gani. Na most likely kampuni ya ndege inayotua Tanzania imesajiliwa kwa namna moja ama nyingine Tanzania.

Unapotaka kuitoza kodi Google utaitoza kwa criteria gani?

Google wakisema hatuitambui hiyo kodi na hatulipi utafanya nini?

Umesoma principles of taxation hapo juu?
 
Soma principles za taxation. Halafu tofautisha kodi na fee.

Hizo kampuni za ndege zinalipa fee kama ulivyosema. Na unaweza kuzihesabu ndege ngapi zimetua mara ngapi na kwa kila mara ndege inapotua naitoza fee kiasi gani. Na most likely kampuni ya ndege inayotua Tanzania imesajiliwa kwa namna moja ama nyingine Tanzania.

Unapotaka kuitoza kodi Google utaitoza kwa criteria gani?

Google wakisema hatuitambui hiyo kodi na hatulipi utafanya nini?

Umesoma principles of taxation hapo juu?
Nmekuelewa mkuu, lakini bado sitaki kuamini kwamba hawawezi kutulipa kodi tena kwa kisingizio kidogo tu kwamba hawajasajiliwa nchini. Tunaweza kuwatoza fee per views pia kama kodi imetufunga kisheria. Tusiwaache hivi hivi.
 
Nmekuelewa mkuu, lakini bado sitaki kuamini kwamba hawawezi kutulipa kodi tena kwa kisingizio kidogo tu kwamba hawajasajiliwa nchini. Tunaweza kuwatoza fee per views pia kama kodi imetufunga kisheria. Tusiwaache hivi hivi.
Hatuna hata sheria inayosema kampuni ya mtandaoni ya kimataifa ambayo haijasajiliwa Tanzania ilipe kodi vipi.

Google wakisema tunataka kulipa kodi kwa mujibu wa sheria ya Tanzania iliyo specify kampuni za mitandaoni ambazo hazina ofisi Tanzania zinalipaje kodi tutawapa sheria gani?

Wakituambia tuwalipe kwa criteria gani kisheria tutasemaje?

Tutahakikishaje hiyo sheria inazingatia principles of taxation hapo juu na Google hawataipinga mahakama za kimataifa kwa kuwa kandamizi?
 
Back
Top Bottom