inanikumbusha yule mbwiga wa iringa sijui njombe alikuwa anamuigiza mwendakuzimu hadi jinsi ya kuvaa mikoti oversize kama misomisondo naye sijui kaishia wapi nchi ina vijana wa hovyo sana hiyo. watu wanajipendekeza kwa namna zozote zile plus uchawi etc etc, kwa hali hiyo suala la maendeleo SAHAUNI.hii nchi in watu wa ovyo sana, badala kutafuta kazi akfanya anaendekeza upuuzi, na kubwa zaidi akiamini huo upuuzi unaweza kumtoa kimaisha