Tanzia: Prof. Lwambuka afariki Dunia

Mkuu, code ni moja tu, SD, unless uwe unarefer kozi nyingine, but mwaka wa kwanza anafundisha SD.
bas ntakua nmesahau maana nikiambiwa now n SC baada ya civil eng kuunganishwa yote hakuna structure water au transport ya kina nyaoro
 
Wote mnakazi.au.wengine mnafanya kazi msizozisomea kwani hii imenionyesha kuwa tuna wasomi.wengi sana kwenye sayansi
 
Wote mnakazi.au.wengine mnafanya kazi msizozisomea kwani hii imenionyesha kuwa tuna wasomi.wengi sana kwenye sayansi
"wote tuna kazi au tunafanya kazi tusizozisomea" naamin wanatumia elimu waliopata kupambana na maisha mwanasayansi hashindwi kitu labda awe mzembe
 
mkuu usimbishie sd ilikua kwa watu wa structure eng (civil yote) ila wengne kama mining electrical telecom na coet wengne walikua na code tofaut na sd
acha kupotosha engineering wote mwaka wa kwanza tulikuwa tunasoma somo hilo likiitwa SD 106 so halikuwa na code tofauti kwa wengine maana wote tulikuwa tunahudhuria darasa moja theater pale
 
acha kupotosha engineering wote mwaka wa kwanza tulikuwa tunasoma somo hilo likiitwa SD 106 so halikuwa na code tofauti kwa wengine maana wote tulikuwa tunahudhuria darasa moja theater pale
nmesema nmesahau kha kwn nmebisha unakua kama ngwine bhna
 
Miaka hiyo akiwa Asst Lecturer wetu FoE.
Dr Lwambuka ni wa ukoo wa Kamuzora wa Kanyigo.
RIP Prof Lwambuka.


Ule ukoo wa Kamuzora wanaonekana wamesoma sana aisee. Kuna mmoja ni kamishina wa TIRA alafu mwingine ameteuliwa kuwa katibu mkuu sijui wizara gani ila alikuwa lecture pale Mzumbe. R.I.P Lwambuka
 
Prof alikua MTU poa sana. Nakumbuka swali lake moja kwenye UE alikua hajaweka 'mass' mwanafunzi mmoja akauliza, mwalimu hujaweka value ya mass!
Dr akajibu 'put your own weight'!
 
kama kawaida yenu, na wenzio watakuja hapa, yaani lazima mseme!
We kweli hata ethnicity studies hujapitia kabisa,mkwa post yako isiyo na elimu.
Nilimheshimu Prof Lwambuka kwa vile he was a soft spoken engineer who had intergrity.
Hatukuwa kabila moja,nna nina mheshimu kwa hiyo intergrity and uprightness.
Kitu ambacho nyie vijana wa sasa hamna.
 
Back
Top Bottom