Kichwa Kontena
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 661
- 564
bon edo marcelo upo nduguMara nyingi kipindi huisha pale anapoongea kiswahili
bon edo marcelo upo nduguMara nyingi kipindi huisha pale anapoongea kiswahili
bas ntakua nmesahau maana nikiambiwa now n SC baada ya civil eng kuunganishwa yote hakuna structure water au transport ya kina nyaoroMkuu, code ni moja tu, SD, unless uwe unarefer kozi nyingine, but mwaka wa kwanza anafundisha SD.
"wote tuna kazi au tunafanya kazi tusizozisomea" naamin wanatumia elimu waliopata kupambana na maisha mwanasayansi hashindwi kitu labda awe mzembeWote mnakazi.au.wengine mnafanya kazi msizozisomea kwani hii imenionyesha kuwa tuna wasomi.wengi sana kwenye sayansi
Hi I pumba sasa
Kama ulisoma kwa kukariri kwa ajili ya mtihani hauwezi kukumbukaKuna watu wako vizuri, mnakumbuka mpaka code za masomo, binafsi nimesahau zote, r.i.p
eng saimon mzma wwR.I.P Prof Lwambuka...
Summation of forces along Y axis=0
yeah, ilikuwa lecture theatre 2 ; probably mkuu.mkuu tulikuwa mwaka mmoja nini?I remember ilikuwa lecture theatre 2
acha kupotosha engineering wote mwaka wa kwanza tulikuwa tunasoma somo hilo likiitwa SD 106 so halikuwa na code tofauti kwa wengine maana wote tulikuwa tunahudhuria darasa moja theater palemkuu usimbishie sd ilikua kwa watu wa structure eng (civil yote) ila wengne kama mining electrical telecom na coet wengne walikua na code tofaut na sd
nmesema nmesahau kha kwn nmebisha unakua kama ngwine bhnaacha kupotosha engineering wote mwaka wa kwanza tulikuwa tunasoma somo hilo likiitwa SD 106 so halikuwa na code tofauti kwa wengine maana wote tulikuwa tunahudhuria darasa moja theater pale
ha ha ha hanmesema nmesahau kha kwn nmebisha unakua kama ngwine bhna
vp ushaelewa kuchora maana drawng ya makoleo ilikuteaa saana mkuunmesema nmesahau kha kwn nmebisha unakua kama ngwine bhna
na wakati mwengine huisahau code kwa sababu ulipata sup au somo lilikua gumu kwakoKama ulisoma kwa kukariri kwa ajili ya mtihani hauwezi kukumbuka
R.I.P Prof
Miaka hiyo akiwa Asst Lecturer wetu FoE.
Dr Lwambuka ni wa ukoo wa Kamuzora wa Kanyigo.
RIP Prof Lwambuka.
We kweli hata ethnicity studies hujapitia kabisa,mkwa post yako isiyo na elimu.kama kawaida yenu, na wenzio watakuja hapa, yaani lazima mseme!