Tanzania tena kwenye habari za kimataifa!

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
94,503
123,235
Labda ni hisia zangu tu ila naona kama vile Rais Samia kapunguza safari za mara kwa mara nje ya nchi.

Kama kweli safari zake zimepungua, moja ya sababu yaweza kuwa ni sifa mbaya ya serikali yake kuhusu uminywaji wa demokrasia.

Habari za kukamatwa kwa Tundu Lisu na zile za kutokushiri chaguzi, tayari zimeshaanza kuangaziwa na vyombo vya habari vya kimataifa.


View: https://youtu.be/XhtQ6ncUCEo?si=S8Px6mlI4KaKqsJe
 
Labda ni hisia zangu tu ila naona kama vile Rais Samia kapunguza safari za mara kwa mara nje ya nchi.

Kama kweli safari zake zimepungua, moja ya sababu yaweza kuwa ni sifa mbaya ya serikali yake kuhusu uminywaji wa demokrasia.

Habari za kukamatwa kwa Tundu Lisu na zile za kutokushiri chaguzi, tayari zimeshaanza kuangaziwa na vyombo vya habari vya kimataifa.


View: https://youtu.be/XhtQ6ncUCEo?si=S8Px6mlI4KaKqsJe

Sioni ajabu kwa kuwa hiyo ndiyo kazi ya vyombo vya habari. Kuijulisha dunia yale yanayoendelea mahali fulani.

Sasa Tundu kuanzisha uasi ili kuzuia uchaguzi siyo habari ya kuishia kwenye Mwananchi na ITV tu. Ngoja dunia ijulishwe. Hakuna cha ajabu. Maana taratibu zote za kisheria na haki za binadamu zimefuatwa katika kumkamata na kumfkisha Mahakamani.

Sasa tuiachie Mahakama ifanye kazi yake na tusiendeshwe na kelele za wanaharakati wanaopeleka huko BBC, CNN, VOA, DW etc
 
Sioni ajabu kwa kuwa hiyo ndiyo kazi ya vyombo vya habari. Kuijulisha dunia yale yanayoendelea mahali fulani.

Sasa Tundu kuanzisha uasi ili kuzuia uchaguzi siyo habari ya kuishia kwenye Mwananchi na ITV tu. Ngoja dunia ijulishwe. Hakuna cha ajabu. Maana taratibu zote za kisheria na haki za binadamu zimefuatwa katika kumkamata na kumfkisha Mahakamani.

Sasa tuiachie Mahakama ifanye kazi yake na tusiendeshwe na kelele za wanaharakati wanaopeleka huko BBC, CNN, VOA, DW etc
Taratibu gani hizo zilizofuatwa wakati wa kumkamata?
 
Nenda kwenye hizo media nilizokupa halafu leta taarifa kutoka kwao.

Tatizo unataka kutuongopea ili uonekana unajua Sanaa kumbe we ni mbugila tu!
Je alipokuwa anaenda huko nje hizo media ulizozitaja hapo zilikuwa zinatangaza habari zake?
 
Sioni ajabu kwa kuwa hiyo ndiyo kazi ya vyombo vya habari. Kuijulisha dunia yale yanayoendelea mahali fulani.

Sasa Tundu kuanzisha uasi ili kuzuia uchaguzi siyo habari ya kuishia kwenye Mwananchi na ITV tu. Ngoja dunia ijulishwe. Hakuna cha ajabu. Maana taratibu zote za kisheria na haki za binadamu zimefuatwa katika kumkamata na kumfkisha Mahakamani.

Sasa tuiachie Mahakama ifanye kazi yake na tusiendeshwe na kelele za wanaharakati wanaopeleka huko BBC, CNN, VOA, DW etc

Taratbu zipi za kisheria zilizofuatwa wewe. ndio uliyemkamata hebu tujuze,maana tunasikia alikamatwa kama jambazi hizo ndizo taratibu
 
Back
Top Bottom