Tanzania tena kwenye habari za kimataifa!

coverage ya habari iwe kwenye vichwa vikubwa vya habari katika media mbalimbali.

Kama si mtu wa masuala ya media, basi jaribu hata kufuatilia wanayoyasema newscaster wakati wa habari hasa kwenye vyombo nilivyoviorodhesha ndio utagundua what is an international news!!!
Hivi kweli unapoteza muda na huyo mkuu?
Watu wa namna hiyo kuelimika kwao ni kazi, hasa ukizingatia ni kikongwa hana muda wa kupoteza.
 
Back
Top Bottom