Tanzania SGR Bridges vs Kenyan

Bridge yenu kama ni hilo linakaa vizuri kabisa..pongezi kwa designers.kandarasi imetiwa saini juzi ma tayari kuna render, sijui ilichorwa lini na nani...
Anyway, kama ulivyosema kwa Nada, Tanzania bridges vs Kenya bridges, ulilo onyesha ni daraja moja tu ambalo limewrkwa suspension kwasababu barabara ya leni nne inapita na chini, kenya kuna Mahali barabara ya leni sita inapita chini ya sgr lakini hakukua na haja ya kuweka bridge ya aina hio..
View attachment 601125

Alafu hio picha ulioeka hilo si daraja la Nairobi national park, kuna kesi inaendelea kotini mpaka iishe ndo daraja la NNP lijengwe, daraja hilo litakaa maka floating tunnel

View attachment 601132

Alafu pia upande wa northern coriddor kutakua na suspesiin bridge... Kama hio hapa itakengwa phase 3C Malaba-Kampala
View attachment 601135
Tazara (Mbeya 1960 technology)
x846.tazara_crossing_bridge.jpg.pagespeed.ic.Bt1gsHhjg6.jpg
Passenger-train-crossing-one-of-the-23-tunnels.jpg
 
huwezi linganisha Yapi Merkezi na vikampuni vya Kichina, kenya waliingia cha kike
Mkuu ni heli wangeingia cha kike wakawa na uhakika hii ni jinsia yetu lkn hawa mchina kawaingiza cha jinsia mbili.
 
Sure, Mbarawa anasema mazungumzo bado yanaendelea na mikataba itasainiwa miezi michache ijayo kutoka Dom kuendelea anasema hata speed itakua 200/hr sababu ya geographical phenomenon sio challenging kama huko nyuma.

Baada ya kusainiwa hii ya pili ndio nimelata imani hii project ipo serious nadhani AfDB wataanza kuingiza pesa kwenye phases zijazo sababu hii inaonekana kuna mkono wa Turkey Exim

raisi magufuli kasema ni fedha za serikali 100% zinafadhili phase II.
 
kiukweli, ni uchungu sana kusema ila hongereni watanzania heri nyie mnaletewa treni za kisasa...hata bridges naona ziko poa sana...most importantly, hamjaibiwa kama wananchi...huku kwetu, treni ni za diesel ila zimekuwa ndio bei ghali kabisa kuliko zote...SMH Mr. Magu, I respect you...sisi tunafuata nyayo za Nigeria jinsi corruption inavotutafuna...juzi tu tumeshindwa kujenga stadium zitakazotumika kwa CHAN ilhali Rwanda ili host mchezo huo vizuri kabisa...:(:(:(sasa hivi tuna vuta nikuvute kati ya serikali, opposition, electroral commission na Supreme court, wakenya wanaumia kwa njaa, wengine hawana makao wanaofaa kuishi wanadamu..vijana hawana ajira.:(:(:( yaani wanasiasa wanatulet down sana...Pengine private sector ndio wanajaribu na kutuletea mijengo na hoteli za kisasa ila ni za kazi gani wakati wanasiasa wanaharibu kila kitu...:(:(:( kwa utawala wa Magu, Tanzania hii sio ile ya kale...
Only corruption is the issue kwenu lakini katika nyanja zingine kama rule of law mmnaanza kutuacha mbali, sisi mode ya economy haieleweki kama ni ya ujamaa au ubepari bora mnajua kwenu ni ubepari
 
Actually 1960s technology considering the planning phase of TAZARA project.
Jamaa wanadhani wamepata, kweli kipofu akiona jua ni taabu duniani kote watajua
Rovos-Rail-Tanzania-Hills-View-from-Coach.jpg


Nakumbuka kipindi kile cha ujenzi walikuja hapa ku justify gharama kubwa za reli yao hizi Bridge zao wanasema ndio zilizopandisha bei ya ujenzi ilibidi nitulie niwe mvumilivu.

Jamaa anashangaa vipi mkataba usainiwe juzi designs zitoke siku hiyo hiyo nataka nimwambie hii project ni design and build hayo madaraja ni ya Dar Moro sababu sehemu yote ya mjini Dar huenda ikapitiwa na hili daraja.

Ya Dodoma ndio itakua balaa zaidi sababu nakshi zitakua za kipekee hazitafanana na phase one
 
Jamaa wanadhani wamepata, kweli kipofu akiona jua ni taabu duniani kote watajua
Rovos-Rail-Tanzania-Hills-View-from-Coach.jpg


Nakumbuka kipindi kile cha ujenzi walikuja hapa ku justify gharama kubwa za reli yao hizi Bridge zao wanasema ndio zilizopandisha bei ya ujenzi ilibidi nitulie niwe mvumilivu.

Jamaa anashangaa vipi mkataba usainiwe juzi designs zitoke siku hiyo hiyo nataka nimwambie hii project ni design and build hayo madaraja ni ya Dar Moro sababu sehemu yote ya mjini Dar huenda ikapitiwa na hili daraja.

Ya Dodoma ndio itakua balaa zaidi sababu nakshi zitakua za kipekee hazitafanana na phase one
Mkuu wataelewa tu mbona miezi michache yapi merkezi wanawaeleza hatukuja kuuza sura tz na ndo hapo wataelewa tz huwa hatubaatishi tumeshaamua kusonga na tutafika.
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Mkuu wataelewa tu mbona miezi michache yapi merkezi wanawaeleza hatukuja kuuza sura tz na ndo hapo wataelewa tz huwa hatubaatishi tumeshaamua kusonga na tutafika.
Kweli tupo vizuri lazima watakubali Tanzania sio ya kubeza
 
Kuna ubaya gani mwenye mapenzi mema na Tanzania akiongea? BTW umeona daraja na tunnel kama zile zinazojengwa Tsavo na zinazojengwa Naivasha? Zetu sie zilijengwa 1960s!
chinA hadi wa leo wanajenga nA hiyo mtindo...kila nchi na tradition yao.
Angalia high speed zao za kisasa if haziko kama sgr ya kenya.(madaraja)
 
Tazara (Mbeya 1960 technology)
x846.tazara_crossing_bridge.jpg.pagespeed.ic.Bt1gsHhjg6.jpg
Passenger-train-crossing-one-of-the-23-tunnels.jpg
Wacha ushamba wewe, ushai skia msemo unaosema if it doesn't break dont fix it, technology ya kujenga kitu kama tunnel au bridge ni nadra sana kubadilishwa, hio ni chinies technology.... Niko very sure hata huyo mturuki, ukichunguza vizuri utangundua hio technology wanayotumia ina miaka mingi sana ya 'proven technology'
Kwa mfano nikifanya google kiasi ya american rail standard Ambato mtutuki anatumia napata picha hii ya suspension bridge iliyogengwa 1850 Niagra falls , wakati huo walikua wanatumia steel au wood lakini ukiangalia hio suspension bridge inafanana na hio yenu kweli


httphistoiredurailhistory_caimage_sectionpont_niagara_falls.jpg
Niagra falls 1850!
 
Wacha ushamba wewe, ushai skia msemo unaosema if it doesn't break dont fix it, technology ya kujenga kitu kama tunnel au bridge ni nadra sana kubadilishwa, hio ni chinies technology.... Niko very sure hata huyo mturuki, ukichunguza vizuri utangundua hio technology wanayotumia ina miaka mingi sana ya 'proven technology'
Kwa mfano nikifanya google kiasi ya american rail standard Ambato mtutuki anatumia napata picha hii ya suspension bridge iliyogengwa 1850 Niagra falls , wakati huo walikua wanatumia steel au wood lakini ukiangalia hio suspension bridge inafanana na hio yenu kweli


View attachment 601363 Niagra falls 1850!
Khaa umeanza kwa ubishi tu...yaani umefukunyua picha ili mradi tu upate kulinganisha! Sasa daraja la mbao na steel+concrete wapi na wapi?
 
Still remains non electrified railway and it will take over $400mln to electrify Mombasa-Nairobi alone meaning for the whole SGR project to Kampala n Juba, over $1.5 bln will be needed to electrify the whole rail network.
Uganda will be building electric rail with the context that they have signed, therefore they wont need additional cost for electrification, by the time the rail reaches kampala, Kenya is also expected to have aready electrified ..i.e by 2020..

Tomorrow I will post some renders of our bridges in phase 2A , phase 2A will have the highest bridge in EA with a height of 120m...
Meanwhile enjoy some of the stations you can expect from the other phases along the kenyan route ...

Phase 2A,B,C, 3A


httpi_imgur_comlLwAdjh.jpg



Kisumu
No title(203).jpg


Malaba
No title(204).jpg
 
Back
Top Bottom