Tanzania SGR Bridges vs Kenyan

Huu mradi ukikamilika naamini Rais Magufuli atakumbukwa na watanzania kwa vizazi vingi.
Hongera Rais Magufuli na Waziri wa Miundo Mbinu Makame Mbarawa kwa kazi nzuri. Ni uhakika mradi huu hauna harufu ya rushwa kwani serikali ya Uturuki inapiga vita sana masuala ya rushwa
 
Tuongee ukweli japo bado sijaona architectural designs za terminus zetu lakini za Kenya zipo poa kinyama zimechukua credit zote za maeneo mengine ya sgr yao.

Nategemea Tanzania na sisi tutawafunika kwenye terminus kama tulivyofanya kwenye electrified railway.
Hatuhitaj terminus kama zile vijijini. Kwa reli ya Dar-Mwanza, mijini kama Morogoro, Dodoma Singida, Tabora na Mwanza tu inatosha.
 
Hatuhitaj terminus kama zile vijijini. Kwa reli ya Dar-Mwanza, mijini kama Morogoro, Dodoma Singida, Tabora na Mwanza tu inatosha.
Lakini Mkuu nimesikia video Mbarawa anasema hii ya morogoro dodoma itakua na terminal 8 za abiria na 6 za mizigo acha ile ya Dar morogoro sijui ina terminal 9 pia.
 
Lakini Mkuu nimesikia video Mbarawa anasema hii ya morogoro dodoma itakua na terminal 8 za abiria na 6 za mizigo acha ile ya Dar morogoro sijui ina terminal 9 pia.
Ndio lakini hizo Terminus za vijijini kama Visiga na Ngerengere hazipaswi kuwa mahekalu bali vituo vya kawaida. Kwa maoni yangu badala yake waongeze spidi ya treni for more economical sense.
 
Ndio lakini hizo Terminus za vijijini kama Visiga na Ngerengere hazipaswi kuwa mahekalu bali vituo vya kawaida. Kwa maoni yangu badala yake waongeze spidi ya treni for more economical sense.
Sure, Mbarawa anasema mazungumzo bado yanaendelea na mikataba itasainiwa miezi michache ijayo kutoka Dom kuendelea anasema hata speed itakua 200/hr sababu ya geographical phenomenon sio challenging kama huko nyuma.

Baada ya kusainiwa hii ya pili ndio nimelata imani hii project ipo serious nadhani AfDB wataanza kuingiza pesa kwenye phases zijazo sababu hii inaonekana kuna mkono wa Turkey Exim
 
Sure, Mbarawa anasema mazungumzo bado yanaendelea na mikataba itasainiwa miezi michache ijayo kutoka Dom kuendelea anasema hata speed itakua 200/hr sababu ya geographical phenomenon sio challenging kama huko nyuma.

Baada ya kusainiwa hii ya pili ndio nimelata imani hii project ipo serious nadhani AfDB wataanza kuingiza pesa kwenye phases zijazo sababu hii inaonekana kuna mkono wa Turkey Exim
Nilishasema huko nyuma atalizwa mtu na hizi project mbili kinzani yaani Mombasa-Malaba-Kampala vs Dar-Mwanza/Dar-Isaka-Kigoma-Bujumbura/Kigali na naona hilo linaanza kujidhihirisha wazi yetu ikigonga speed 200/h nina uhakika Uganda 90% cargo watapitisha Tanzania. Aisee JUBILEE na Wachina wanawafinya Wakenya vibaya mno...
 
Nilishasema huko nyuma atalizwa mtu na hizi project mbili kinzani yaani Mombasa-Malaba-Kampala vs Dar-Mwanza/Dar-Isaka-Kigoma-Bujumbura/Kigali na naona hilo lijijidhihirisha wazi yetu ikigonga speed 200/h nina uhakika Uganda 90% cargo watapitisha Tanzania. Aisee JUBILEE na Wachina wanawafinya Wakenya vibaya mno...
Hahaha Dah wachina wamefanyia umafia wa kutisha na ndicho walichokua wanataka kukifanya na Tanzania, ilikua si rahisi kumuona Magufuli akidrop ule mkataba na China mpaka ceo wa Exim China alikuja Dodoma tayari kumwaga mipesa,

Ghafla tunasikia jamaa anatangaza tenda upya, hapo ndipo nikajua there was something fishy jamaa keshakisoma, ila kama sio umakini wake hata sisi tungekua na msiba pia kama wenzetu walivyonyukwa.
 
Wacha tujenge siku moja mtu atasema anajisikia proud kuwa mwana afrika mashariki.
Ni ndoto tuu asubuhi.
 
Mi nadhani tungebadili katiba yetu kwa rais wetu huyu atawale japo miaka 20 nna imani tutakuwa mbali sana.
 
For the first time I read something positive from you, however, you and I shall continue to debate issues on here but from now on, I will hold you with high regard.

Ni ukweli, siasa ni za hivyo na ukiendekeza hatufiki. hata Tanzania wanasiasa wa hovyo ni wengi pengine kuliko kwenu hasa Chadema. Wanaongea hovyo na kufanya mambo ya hovyo mno to an extent kwamba mimi natamatu turudi kwenye chama kimoja.
Hapa siafiki; we need Lissu et al to curb Magufuli’s disrespect of laws of the Country! So many families r homeless right now cause of Magu's ego, lack of tolerance n personal vendettas towards certain conmunities n political foes to the extent his actions undermine the Presidency itself as he stamps on the constitution that he swore to protect on October 2015.
 
Actually 1960s technology, unajua hawa watu wana ushamba wa kujikweza. Vitu vyote anavyofanya Mchina leo Kenya, alifanya Tanzania 1960s mpk hata tunnels kwa Cape Gauge Railway ambayo ni just fewer inches narrow. Ujinga ni mali yao
Ninakubaliana na wewe, huwa wakenya wanakurupuka sana, kitu kikifanyika Kenya, hwajiulizi kwamba kuna uwezekano hiki kitu kingefanyika vizuri ya hivi, wao wanaanza kusifia, baadae wanagundua kwamba kumbe dunia ni pana zaidi kuliko walivyofikiria, sasa hivi wanafurahia hiyo tunnel inayojengwa kama vile ni kitu cha ajabu, wangekuja kuona tunnels za TAZARA zilizojengwa 1970 wakalinganisha ni hiyo yao, wangeinamisha vichwa chini
 
Kenya wamejenga tiyari sisi ndo tunaanza wabongo huwajui huenda mkandarasi ali quote kidogo ili aje aibuke na variations kibao.
Tusubiri iishe tuje tujilinganishe na Kenya.
Alafu makandarasi wakituzengua tuwapeleke mahakama ya usuluhishi watuamue tisivunje mkayaba tu
 
huwezi linganisha Yapi Merkezi na vikampuni vya Kichina, kenya waliingia cha kike
 
Kenya wamejenga tiyari sisi ndo tunaanza wabongo huwajui huenda mkandarasi ali quote kidogo ili aje aibuke na variations kibao.
Tusubiri iishe tuje tujilinganishe na Kenya.
Alafu makandarasi wakituzengua tuwapeleke mahakama ya usuluhishi watuamue tisivunje mkayaba tu
Wewe darasa la ngapi umeishia kutojua maana ya neno mkataba? Uache ujinga..
 
November 8 2016 kampuni hodhi ya rasilimali za Reli ‘RAHCO’ ilitangaza zabuni kwenye mradi wa ujenzi wa reli ya umeme kiwango cha ‘Standard Gauge’ kipande cha Morogoro-Makutopora. Kampuni ya Yapi Merkezi Insaat ve Sanayi A.S ya Uturuki ilionekana kukidhi vigezovya kiufundi na kifedha.

Leo September 28 2017 Serikali ya Tanzania imetia saini mkataba wa pili wa kujenga reli mpya ya Standard Gauge yenye uwezo wa kusafirisha mizigo ya tani MILIONI 17 kwa mwaka. Reli itakuwa inapitisha treni za umeme zenye mwendokasi wa kilomita 160 kwa saa.

Reli hii kutoka Morogoro hadi Makutupora itakua na makalavati 123 na Madaraja 243
Pia kutakua na tunnels refu zitakazopitisha treni chini ya milima kadhaa.

Tuangalie madaraja ya juu yatakayojengwa maeneo yenye barabara kwa upande wa Tanzania dhidi ya daraja lililokatiza juu ya mbuga ya wanyama ya Nairobi nchini Kenya

Tanzania View attachment 598855View attachment 598856 View attachment 598857 View attachment 598858

Kenya
View attachment 598859 View attachment 598860 View attachment 598861

Ikumbukwe Tanzania SGR yenye umeme inagharimu USD 3 million kwa kilometer moja wakati Kenya iligharimu USD 3.4 million kwa kilometer moja bila umeme.
Bridge yenu kama ni hilo linakaa vizuri kabisa..pongezi kwa designers.kandarasi imetiwa saini juzi ma tayari kuna render, sijui ilichorwa lini na nani...
Anyway, kama ulivyosema kwa Nada, Tanzania bridges vs Kenya bridges, ulilo onyesha ni daraja moja tu ambalo limewrkwa suspension kwasababu barabara ya leni nne inapita na chini, kenya kuna Mahali barabara ya leni sita inapita chini ya sgr lakini hakukua na haja ya kuweka bridge ya aina hio..
httpnews_xinhuanet_comenglish2017-0609CnbbeeE005019_20170609_NBMFN0A002_11n.jpg


Alafu hio picha ulioeka hilo si daraja la Nairobi national park, kuna kesi inaendelea kotini mpaka iishe ndo daraja la NNP lijengwe, daraja hilo litakaa maka floating tunnel

sgr nnp.jpg


Alafu pia upande wa northern coriddor kutakua na suspesiin bridge... Kama hio hapa itakengwa phase 3C Malaba-Kampala
No title(201).jpg
 
Bridge yenu kama ni hilo linakaa vizuri kabisa..pongezi kwa designers.kandarasi imetiwa saini juzi ma tayari kuna render, sijui ilichorwa lini na nani...
Anyway, kama ulivyosema kwa Nada, Tanzania bridges vs Kenya bridges, ulilo onyesha ni daraja moja tu ambalo limewrkwa suspension kwasababu barabara ya leni nne inapita na chini, kenya kuna Mahali barabara ya leni sita inapita chini ya sgr lakini hakukua na haja ya kuweka bridge ya aina hio..
View attachment 601125

Alafu hio picha ulioeka hilo si daraja la Nairobi national park, kuna kesi inaendelea kotini mpaka iishe ndo daraja la NNP lijengwe, daraja hilo litakaa maka floating tunnel

View attachment 601132

Alafu pia upande wa northern coriddor kutakua na suspesiin bridge... Kama hio hapa itakengwa phase 3C Malaba-Kampala
View attachment 601135
Still remains non electrified railway and it will take over $400mln to electrify Mombasa-Nairobi alone meaning for the whole SGR project to Kampala n Juba, over $1.5 bln will be needed to electrify the whole rail network.
 
Back
Top Bottom