Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,373
- 6,084
Huu mradi ukikamilika naamini Rais Magufuli atakumbukwa na watanzania kwa vizazi vingi.
Hongera Rais Magufuli na Waziri wa Miundo Mbinu Makame Mbarawa kwa kazi nzuri. Ni uhakika mradi huu hauna harufu ya rushwa kwani serikali ya Uturuki inapiga vita sana masuala ya rushwa
Hongera Rais Magufuli na Waziri wa Miundo Mbinu Makame Mbarawa kwa kazi nzuri. Ni uhakika mradi huu hauna harufu ya rushwa kwani serikali ya Uturuki inapiga vita sana masuala ya rushwa