Yaani hapa kosa ni kutangaza tuu hii nafasi??

Mbona hizi kazi zipo miaka mingi na sidhani kama kuna mtanzania hadaway kusikia kuna watu wanazikwa na manispaa au halmashauri ya mji.

Kuna mambo wakati mwingine huwa mnajiaibisha sana tuu, watu kutekwa imekuwa ni suala la kisiasa zaidi kwa hizi trend mnazoleta humu.
 
Yaani hapa kosa ni kutangaza tuu hii nafasi??

Mbona hizi kazi zipo miaka mingi na sidhani kama kuna mtanzania hadaway kusikia kuna watu wanazikwa na manispaa au halmashauri ya mji.

Kuna mambo wakati mwingine huwa mnajiaibisha sana tuu, watu kutekwa imekuwa ni suala la kisiasa zaidi kwa hizi trend mnazoleta humu.
Kumbuka: Hata yule Mwandishi wa Habari Bw. Azory Gwanda zipo taarifa kwamba alitekwa na 'watu wasiojulikana' akiwa huko huko Mkuranga zilikotangazwa hizi nafasi za kuzika Watu wasio na ndugu.
 
Yaani hapa kosa ni kutangaza tuu hii nafasi??

Mbona hizi kazi zipo miaka mingi na sidhani kama kuna mtanzania hadaway kusikia kuna watu wanazikwa na manispaa au halmashauri ya mji.

Kuna mambo wakati mwingine huwa mnajiaibisha sana tuu, watu kutekwa imekuwa ni suala la kisiasa zaidi kwa hizi trend mnazoleta humu.


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom